Mauaji haya yangefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea sababu sio "dikteta"?

Mauaji haya yangefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea sababu sio "dikteta"?

Hapa vyombo vya dola wana nafasi nzuri ya kuwapata waliofanya mauaji.

Maana walionekana maeneo wakimsubiri marehemu arudi, hivyo hii ni operesheni inayojulikana.

Ili kupata majibu maswali haya yaulizwe :

  1. Nani alifungua faili la msako
  2. Kituo gani cha polisi kilipewa jukumu
  3. Au ni task force / kikosi gani maalum kilipewa jukumu
  4. Nani kama kiongozi, aliongoza operesheni kuelekea eneo alilodhaniwa marehemu watawakuwepo ili wakamatwe
  5. Kiongozi huyo alikuwa na watu wangapi ktk kikosi cha mauaji
  6. Watu waliokuwapo ktk kikosi ni kina nani
  7. Magari yaliyotumika katika operesheni yalikuwa yapi
  8. Madereva wake ni kina nani
  9. Baada ya kuwakamata na kuwapiga risasi raia, kina nani waliwaingiza ktk magari
  10. Magari hayo yalienda wapi
  11. Miili miwili iliokotwa wapi
  12. Polisi kituo gani walifika kuokota miili
  13. Nani aliifikisha miili Amana Hospitali Ilala jijini Dar es Salaam
  14. Mortuary attendant walikuwa kina nani
  15. Miili hiyo ilikuwa na risasi walizopigwa au waliongezewa risasi na miili kuharibiwa zaidi
  16. Nini sababu ya majeraha kuongezeka katika miili
NI utaratibu kuwa hakuna operesheni ambayo haijajadilliwa itafanyika vipi, silaha zitatoka wapi, mkuu wa operesheni ni nani, aliongoza watu wangapi na waliimaliza operesheni ya kipolisi muda gani.

Hayo yakifanyika ni rahisi kujua ni nani alihusika na operesheni hiyo, sababu ya operesheni pia usiri wa kutohusisha viongozi wa mtaa au hata watu waliokuwa ktk nyumba kuwa walifika hapo kikazi na wajitambulishe pia kusema wanakwenda wapi na mtuhumiwa/ watuhumiwa ili haki ya kujua ndugu yao wamepelekwa wapi na wapo ktk hali gani mikokoni mwa Polisi kabla hawajaondoka nao.

View: https://m.youtube.com/watch?v=B5x4UmcaKM8

Hamna mtu anayefuatilia
 
Utekaji na Mauaji haya vingefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea Kwa sababu sio "dikteta" au hafoki foki jukwaani

Soma taarifa hii uone polisi wanavyofanya utekaji na mauaji bila kificho chochote na hawafanywi chochote

≠=============================

View: https://youtu.be/AEIYY8IyB9w?si=HYXCGwq5FXvyGN_D

Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa nguvu nyumbani kwao Vingunguti Jijini Dar es salaam na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari na kisha kupelekwa kusikojulikana na baada ya Familia kuwatafuta bila mafanikio hatimaye December 28,2023 asubuhi miili yao ikafikishwa Amana Hospital na Watu waliojitambulisha ni Askari wakidai miili hiyo wameiokota.


Mzee Swalehe Kacheuka ambaye ni Baba Mzazi wa Shomari ameiambia @AyoTV_ kuwa “Babuu alikuwa anafanya kazi Kariakoo kampuni ya kuuza pikipiki, aliporudi kazini wakaja Wat waliojitambulisha ni Askari ila hawajavaa sare wakamsimamisha kwamba upo chini ya ulinzi akawauliza nimefanyaje wakawa wanabishana wakampiga risasi ya mguu, Kaka yake katoka wakamnyooshea bastola, akaja Rafiki yake Ismail wakati wanamkunja akasogea wakampiga risasi ya mguuni na wakawachukua wote wakaondoka nao, Ismail walimpakia kwenye IST, Bakari wakampakia kwenye Defender”


Kwa upande wake Mzazi wa Shemeji wa Bakari Ismail amesema “Tulipopata taarifa asubuhi December 28,2023 tukaamkia Polisi Buguruni tukaambiwa hawajaletwa, tukazunguka vituo vya polisi karibu sita hatukufanikiwa, tukazunguka Hospitali tukaambiwa hawajaletwa, mida ya saa 8 mchana tukaambiwa kuna miili Amana ambayo imepelekwa na Polisi wakisema wameowakota Vingunguti”


Familia hizo mbili zimesema miili ya Vijana hao imekutwa na matundu ya risasi na macho yao yametobelewa, Ayo TV imefanya jitihada za kulitafuta Jeshi la Polis Kanda Maalum ya Dar es salaam ili kupata taarifa zaidi kuhusu tukio hilo lakini hatujafanikiwa ingawa bado tunaendelea na jitihada za kuwatafuta



Uchunguzi zaidi unahitajika, tupate na taarifa za upande mwingine wa pili.
 
utawala huu majambazi unaweza kukutana nayo yakakunyang'anya vitu na kukusindikiza nyumbani huku wanakupigia mziki na maumivu husikii ila polisi ni zaidi ya magaidi hatujui nani anatulonda raia na mali zetu hapo itaundwa tume ya mavi na mkojo vitapelekwa maabara majibu yatakuwa marehemu walikula mihogo buguruni sheli na maembe bila kuoshwa shenzi kabisa!
🤣🤣Aaah
 
Ingekuwa awamu ya 5 zito angekuwa hewani kusema Magufuli anaua watu, leo yuko mezani ana kula huwezi msikia.

Tushughulikie tatizo sio personalities. Kula kwa Zitto hakuhalalishi Polisi kuua watu hoyvo. Polisi ni tatizo kwani wameua wangapi?
 
30 December 2023
Dar es Salaam, Tanzania

WALINZI WA SUNGUSUNGU NA WAKAAZI WANAWAKATI MGUMU VIGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM


View: https://m.youtube.com/watch?v=RsstoP_3nYw

Wahanga wa matukio ya kinyama ya uhalifu jijini wajitokeza kutoa ushuhuda

Walinzi wa kujitolea yaani sungusungu wapigwa mapanga na panya road wahofia maisha yao hawana bima ya afya wala kupatiwa matibabu na dawa bure na serikali

Pia wakaazi wengine wajeruhiwa na mapanga, kupigwa visu na kukabwa wengine wapoteza maisha.

Hali ya maeneo ya Vingunguti jijini hali ni kama uwanja wa vita wengi wananakovu ya majeraha na kuishi kwa wasiwasi
 
Utekaji na Mauaji haya vingefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea Kwa sababu sio "dikteta" au hafoki foki jukwaani

Soma taarifa hii uone polisi wanavyofanya utekaji na mauaji bila kificho chochote na hawafanywi chochote

≠=============================

View: https://youtu.be/AEIYY8IyB9w?si=HYXCGwq5FXvyGN_D

Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa nguvu nyumbani kwao Vingunguti Jijini Dar es salaam na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari na kisha kupelekwa kusikojulikana na baada ya Familia kuwatafuta bila mafanikio hatimaye December 28,2023 asubuhi miili yao ikafikishwa Amana Hospital na Watu waliojitambulisha ni Askari wakidai miili hiyo wameiokota.


Mzee Swalehe Kacheuka ambaye ni Baba Mzazi wa Shomari ameiambia @AyoTV_ kuwa “Babuu alikuwa anafanya kazi Kariakoo kampuni ya kuuza pikipiki, aliporudi kazini wakaja Wat waliojitambulisha ni Askari ila hawajavaa sare wakamsimamisha kwamba upo chini ya ulinzi akawauliza nimefanyaje wakawa wanabishana wakampiga risasi ya mguu, Kaka yake katoka wakamnyooshea bastola, akaja Rafiki yake Ismail wakati wanamkunja akasogea wakampiga risasi ya mguuni na wakawachukua wote wakaondoka nao, Ismail walimpakia kwenye IST, Bakari wakampakia kwenye Defender”


Kwa upande wake Mzazi wa Shemeji wa Bakari Ismail amesema “Tulipopata taarifa asubuhi December 28,2023 tukaamkia Polisi Buguruni tukaambiwa hawajaletwa, tukazunguka vituo vya polisi karibu sita hatukufanikiwa, tukazunguka Hospitali tukaambiwa hawajaletwa, mida ya saa 8 mchana tukaambiwa kuna miili Amana ambayo imepelekwa na Polisi wakisema wameowakota Vingunguti”


Familia hizo mbili zimesema miili ya Vijana hao imekutwa na matundu ya risasi na macho yao yametobelewa, Ayo TV imefanya jitihada za kulitafuta Jeshi la Polis Kanda Maalum ya Dar es salaam ili kupata taarifa zaidi kuhusu tukio hilo lakini hatujafanikiwa ingawa bado tunaendelea na jitihada za kuwatafuta



Sometimes unakita police ni form 4 failure.unategemea nini? Kutobolewa macho ni kuficha forensic pathology kwa sababu macho huwa yanapiga picha
 
Utekaji na Mauaji haya vingefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea Kwa sababu sio "dikteta" au hafoki foki jukwaani

Soma taarifa hii uone polisi wanavyofanya utekaji na mauaji bila kificho chochote na hawafanywi chochote

≠=============================

View: https://youtu.be/AEIYY8IyB9w?si=HYXCGwq5FXvyGN_D

Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa nguvu nyumbani kwao Vingunguti Jijini Dar es salaam na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari na kisha kupelekwa kusikojulikana na baada ya Familia kuwatafuta bila mafanikio hatimaye December 28,2023 asubuhi miili yao ikafikishwa Amana Hospital na Watu waliojitambulisha ni Askari wakidai miili hiyo wameiokota.


Mzee Swalehe Kacheuka ambaye ni Baba Mzazi wa Shomari ameiambia @AyoTV_ kuwa “Babuu alikuwa anafanya kazi Kariakoo kampuni ya kuuza pikipiki, aliporudi kazini wakaja Wat waliojitambulisha ni Askari ila hawajavaa sare wakamsimamisha kwamba upo chini ya ulinzi akawauliza nimefanyaje wakawa wanabishana wakampiga risasi ya mguu, Kaka yake katoka wakamnyooshea bastola, akaja Rafiki yake Ismail wakati wanamkunja akasogea wakampiga risasi ya mguuni na wakawachukua wote wakaondoka nao, Ismail walimpakia kwenye IST, Bakari wakampakia kwenye Defender”


Kwa upande wake Mzazi wa Shemeji wa Bakari Ismail amesema “Tulipopata taarifa asubuhi December 28,2023 tukaamkia Polisi Buguruni tukaambiwa hawajaletwa, tukazunguka vituo vya polisi karibu sita hatukufanikiwa, tukazunguka Hospitali tukaambiwa hawajaletwa, mida ya saa 8 mchana tukaambiwa kuna miili Amana ambayo imepelekwa na Polisi wakisema wameowakota Vingunguti”


Familia hizo mbili zimesema miili ya Vijana hao imekutwa na matundu ya risasi na macho yao yametobelewa, Ayo TV imefanya jitihada za kulitafuta Jeshi la Polis Kanda Maalum ya Dar es salaam ili kupata taarifa zaidi kuhusu tukio hilo lakini hatujafanikiwa ingawa bado tunaendelea na jitihada za kuwatafuta



Kweli kazin kwa Mama Dr Samia kuna Kaz, kuhakikisha anatolewa urais.Mama ondoka usingizini, fuataria vizuri na chukua hatua. unachafuliwa,.
 
Sometimes unakita police ni form 4 failure.unategemea nini? Kutobolewa macho ni kuficha forensic pathology kwa sababu macho huwa yanapiga picha
Kwanu walitoboa macho baada ya kufa au kabla?
 
30 December 2023
Dar es Salaam, Tanzania

WALINZI WA SUNGUSUNGU NA WAKAAZI WANAWAKATI MGUMU VIGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM


View: https://m.youtube.com/watch?v=RsstoP_3nYw

Wahanga wa matukio ya kinyama ya uhalifu jijini wajitokeza kutoa ushuhuda

Walinzi wa kujitolea yaani sungusungu wapigwa mapanga na panya road wahofia maisha yao hawana bima ya afya wala kupatiwa matibabu na dawa bure na serikali

Pia wakaazi wengine wajeruhiwa na mapanga, kupigwa visu na kukabwa wengine wapoteza maisha.

Hali ya maeneo ya Vingunguti jijini hali ni kama uwanja wa vita wengi wananakovu ya majeraha na kuishi kwa wasiwasi

Hatar sana
Wameanza kurudi ?!! Panya r Au ??!!
 
Utekaji na Mauaji haya vingefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea Kwa sababu sio "dikteta" au hafoki foki jukwaani

Soma taarifa hii uone polisi wanavyofanya utekaji na mauaji bila kificho chochote na hawafanywi chochote

≠=============================

View: https://youtu.be/AEIYY8IyB9w?si=HYXCGwq5FXvyGN_D

Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa nguvu nyumbani kwao Vingunguti Jijini Dar es salaam na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari na kisha kupelekwa kusikojulikana na baada ya Familia kuwatafuta bila mafanikio hatimaye December 28,2023 asubuhi miili yao ikafikishwa Amana Hospital na Watu waliojitambulisha ni Askari wakidai miili hiyo wameiokota.


Mzee Swalehe Kacheuka ambaye ni Baba Mzazi wa Shomari ameiambia @AyoTV_ kuwa “Babuu alikuwa anafanya kazi Kariakoo kampuni ya kuuza pikipiki, aliporudi kazini wakaja Wat waliojitambulisha ni Askari ila hawajavaa sare wakamsimamisha kwamba upo chini ya ulinzi akawauliza nimefanyaje wakawa wanabishana wakampiga risasi ya mguu, Kaka yake katoka wakamnyooshea bastola, akaja Rafiki yake Ismail wakati wanamkunja akasogea wakampiga risasi ya mguuni na wakawachukua wote wakaondoka nao, Ismail walimpakia kwenye IST, Bakari wakampakia kwenye Defender”


Kwa upande wake Mzazi wa Shemeji wa Bakari Ismail amesema “Tulipopata taarifa asubuhi December 28,2023 tukaamkia Polisi Buguruni tukaambiwa hawajaletwa, tukazunguka vituo vya polisi karibu sita hatukufanikiwa, tukazunguka Hospitali tukaambiwa hawajaletwa, mida ya saa 8 mchana tukaambiwa kuna miili Amana ambayo imepelekwa na Polisi wakisema wameowakota Vingunguti”


Familia hizo mbili zimesema miili ya Vijana hao imekutwa na matundu ya risasi na macho yao yametobelewa, Ayo TV imefanya jitihada za kulitafuta Jeshi la Polis Kanda Maalum ya Dar es salaam ili kupata taarifa zaidi kuhusu tukio hilo lakini hatujafanikiwa ingawa bado tunaendelea na jitihada za kuwatafuta

Yaani Mungu ateupushe na watu kama hawa maana Dunia imeharibika mno kwa sasa
 
Historia za hao Vijana Tafadhali.

Pili hivi Kwa nini Polisi wanasikiaga Raha kutesa na kuua wengine?

Kuna Vijana kadhaa wameuwawa Kwa.kipigo Polisi Kwa makosa madogo tuu ya wizi wa vitu vya kawaida.

Sasa inakuaje wanaopiga wenzao Hadi Kufa Huwa wanajiskiaje?
Nyie mnao toa lawama kwa Police, kiufupi hamjawahi kukutana na kadhia ya majambazi au Panyaroad.

Hao wanao onyesha majeraha waliyopata kutokana na vipigo vya panya road, furaha yao ya kwanza kabisa ni kusikia panyaroad wote wametoweka duniani.
 
Inasikitisha sana uhai wa binadamu tena waTanzania wenzetu hauthaminiwi kabisa na serikali yetu pamoja pia na jamii.
Siku ukikutana na panyaroad wakakujeruhi kama hao wenzetu kwenye hiyo video clip, naamini huwezi andika haya.
 
Washkaji ndiyo wameenda hivyo.Inasikitisha sana.

Wasiojulikana wanalipwa mwisho wa mwezi, Mwijaku analipwa kwa siku.
 
Back
Top Bottom