Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Kuna manusura alisema alipigwa ngumi na kudondoka chini alivyoinuka akapigwa teke,

Ukipitia maelezo ya victim wa ushenzi huu, utabaini kwamba kuna kundi la watu waovu walio kuwa wamejipanga kuzua taharuki kwenye kongamano la Mwamposa, ili watu wakanyagane, waibiwe vitu vyao na wengine wapoteze maisha - lengo hasa ni kutaka kukasirisha Dola na wananchi ili mwisho wa siku Kanisa la Mwamposa lilazimike kufungwa na yeye kufuguliwa mashtaka.
 
Ukipitia maelezo ya victim wa ushenzi huu, utabaini kwamba kuna kundi la watu waovu walio kuwa wamejipanga kuzua taharuki kwenye kongamano la Mwamposa, ili watu wakanyagane, waibiwe vitu vyao na wengine wapoteze maisha - lengo hasa ni kutaka kukasirisha Dola na wananchi ili mwisho wa siku Kanisa la Mwamposa lilazimike kufungwa na yeye kufuguliwa mashtaka.

Spin Masters
 
Wananchi wanasema kuwa aliyetenda kafanya kafara
20 Kilimanjaro
20 Lindi ( japo haya ni Maafa ya mvua tuyaache)

Wadanganyika wanahoji mbona kama mkubwa kawa mpole Sana kwa Mwampo ; sio kawaida yake ; hata ikitokea ajali huwa anakemea hadi mawaziri kama Ilivyokua Mwigulu
Imekuwaje mauwaji ya Moshi kawa mpole hajakemea lolote hadi kwenye salaaaam za mwanzo hadi za leo za Mkuu wa mkoa

Hilo “kafara” aloenda kufanya mwampo alikua anamfanyia nani ; hata hakuona kuwa alichofanya mwampo kutoroka haikua ustaarabu? ?
Kweli hana la kukemea ? Anasema viongozi waachwe wafanye kazi zao ???!!!!!

Waliokufa hawana dhamani au damu yao ndio ilihitajika ....

Watu wakifikiria vibaya watakua wanakosea ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu naona umekaa kwenye kiti cha Mungu. Nadhani busara ingekuwa ni kusikia kutoka kwa washiriki wenyewe kama kuna watu walivamia kutoka nje. Mambo ya kafara ni imani za kishirikina

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Kauli ya RC ndiyo unaita visingizio? Lawama zote kwa Polisi, na hii ni indicator kwa Simbachawene kuwa mambo siyo ya kitoto kwenye desk lake jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hii ishu ni nzito maana ni mchanganyiko wa nguvu za giza against logical thinking. Kila mtu anatoa maelezo kulingana na imani yake.

Kiongozi akiwa msukule wa Mwamposa lazima atatoa hoja inayoelekea kumlinda au kumpaka rangi huku asiye na imani na mambo ya miujiza akimkandia vikali wa kuitwa mtume Tingatinga.
 
Kuna manusura alisema alipigwa ngumi na kudondoka chini alivyoinuka akapigwa teke,
🤣🤣🤣🤣🤣 huyo manusura alipokea kichapo kutoka kwa nani sasa? Hakukazia jibu kweli?
 
Tume ya polisi imeleta ripoti kamili ya tukio hili? Au ndiyo tunakubali mambo yaendelee kama hakuna kilichotokea? Kama tutaendelea kuambiwa tukakanyage mafuta najitangaza mimi siyo raia wa nchi hii. Hii nchi na serikali yake msinihesabu kama raia wenu. Nyie endeleeni tu na ujinga mliouamini kuwa utawakomboa.
Namba ya NIDA unayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipitia maelezo ya victim wa ushenzi huu, utabaini kwamba kuna kundi la watu waovu walio kuwa wamejipanga kuzua taharuki kwenye kongamano la Mwamposa, ili watu wakanyagane, waibiwe vitu vyao na wengine wapoteze maisha - lengo hasa ni kutaka kukasirisha Dola na wananchi ili mwisho wa siku Kanisa la Mwamposa lilazimike kufungwa na yeye kufuguliwa mashtaka.
Inawezekana kabisa bwashee!
 
Back
Top Bottom