Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Mhe. RC utaratibu mzuri ni pamoja na kuzuia watu wanaoweza kuingia kwenye geti la kutokea kama unavyodai kuwa watu walivamia mkutano kutokea nje. Kama hilo halikufanyika, unawezaje kuita ni utaratibu mzuri?
 
Mhe. RC utaratibu mzuri ni pamoja na kuzuia watu wanaoweza kuingia kwenye geti la kutokea kama unavyodai kuwa watu walivamia mkutano kutokea nje. Kama hilo halikufanyika, unawezaje kuita ni utaratibu mzuri?
Unahitaji uwezo wa kiroho kumuelewa mama Mghwira...... Vinginevyo utaendelea kukariri bwashee!
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.
[emoji117][emoji117][emoji117]it doesn't make sense!
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.

Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira amesema vijana hao hawaeleweki walikuwa wanaingia uwanjani kufanya nini kwani ibada ilishamalizika, yawezekana walikuwa vibaka.

Mkuu wa mkoa amewataka vijana hao wasiofahamika hadi sasa kutubu mbele za Mungu kwani dhambi waliyoitenda ni mbaya sana.

Mama Mghwira amesema Huduma za kiimani zitaendelea kama kawaida na kwamba mikutano ya Injili kuanzia sasa itaratibiwa kwa makini na ameomba kukutana na viongozi wote wa dini mkoani humo.

Mama Mghwira amesema aliongea na Rais Magufuli leo asubuhi na kwamba Rais alimtaka kutositisha shughuli za kidini bali waweke utaratibu mzuri wa kuzimonitor.

Source: TBC

Jr[emoji769]
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.
[emoji117][emoji117][emoji117]it doesn't make sense!

Jr[emoji769]
Kwanini haimake sense bwashee?!
 
Hii nilijua kabla
Mwamposa ni rafiki mkubwa na Mkulu na ndio maana kule Mwenge kiwanja alipewa na serikali
 
Mwenyekiti Wa Kamati ya ulinzi na usalama ,Mama Anna Mghirwa , sawa tumesikia

Pole kwa wafiwa
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.

Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira amesema vijana hao hawaeleweki walikuwa wanaingia uwanjani kufanya nini kwani ibada ilishamalizika, yawezekana walikuwa vibaka.

Mkuu wa mkoa amewataka vijana hao wasiofahamika hadi sasa kutubu mbele za Mungu kwani dhambi waliyoitenda ni mbaya sana.

Mama Mghwira amesema Huduma za kiimani zitaendelea kama kawaida na kwamba mikutano ya Injili kuanzia sasa itaratibiwa kwa makini na ameomba kukutana na viongozi wote wa dini mkoani humo.

Mama Mghwira amesema aliongea na Rais Magufuli leo asubuhi na kwamba Rais alimtaka kutositisha shughuli za kidini bali waweke utaratibu mzuri wa kuzimonitor.

Source: TBC
Mwambosa huwa anatembea na makamera pamoja na madrone, tuoneshwe hao vibaka waliovamia ibada.
 
Unahitaji uwezo wa kiroho kumuelewa mama Mghwira...... Vinginevyo utaendelea kukariri bwashee!
Mkuu wewe ndo RC au mwandishi wake binafsi? Mwambie ajipange vizuri ili aelekewe kwa wote hata wasio wa "kiroho"
 
Watu walitaman sana Mwamposa awajibishwe.. Jambo ambalo ni gumu!
Jamaa hana kesi ya kujibu, yeye hakuwatuma wakanyagane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadaye mtasema wahuni walivamia mageti ili waibe mafuta.
 
Back
Top Bottom