Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

In Christianity neither morality nor religion come into contact with reality at any point-Friedrich Nietzsche
 
Ni ushirikina kuwaambia watu wakanyage mafuta wakati tuna Jina la Yesu linalopita majina yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Marko 6
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Akawaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu;


¹² Wakatoka, wakahubiri kwamba watu watubu.
¹³ Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.


Nimekuwekea andiko hilo ili uchunge kauli zako. Usikaririshwe, soma maandiko. Habari za Mwamposa baadaye kwanza, tuanzie hapo.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Marko 6
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Akawaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu;


¹² Wakatoka, wakahubiri kwamba watu watubu.
¹³ Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.


Nimekuwekea andiko hilo ili uchunge kauli zako. Usikaririshwe, soma maandiko. Habari za Mwamposa baadaye kwanza, tuanzie hapo.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Unachukua mstari mmoja halafu unafanya kuwa ndio msingi wa mafundisho. Kuna tofauti kati ya kupaka mafuta na kukanyaga mafuta.

Je waliokuja kukanyaga mafuta ni wagonjwa? Wagonjwa gani wanakanyagana mpaka wanakufa?

Halafu mafuta ni symbol ya Roho Mtakatifu ambaye already tunaye tangu siku ya Pentekoste, huu mbadala wa Roho Mtakatifu una umuhimu gani wakati Mungu Roho Mtakatifu yupo duniani leo?

Hili la watu kukanyagana kwenye ibada mpaka wanakufa ni jambo linalotia mashaka sana, yaani Mungu wa Mbinguni Yehova anashuhudia watu wanakufa kwenye ibada yake???? I don't take it in...honestly!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachukua mstari mmoja halafu unafanya kuwa ndio msingi wa mafundisho. Kuna tofauti kati ya kupaka mafuta na kukanyaga mafuta.

Je waliokuja kukanyaga mafuta ni wagonjwa? Wagonjwa gani wanakanyagana mpaka wanakufa?

Halafu mafuta ni symbol ya Roho Mtakatifu ambaye already tunaye tangu siku ya Pentekoste, huu mbadala wa Roho Mtakatifu una umuhimu gani wakati Mungu Roho Mtakatifu yupo duniani leo?

Hili la watu kukanyagana kwenye ibada mpaka wanakufa ni jambo linalotia mashaka sana, yaani Mungu wa Mbinguni Yehova anashuhudia watu wanakufa kwenye ibada yake???? I don't take it in...honestly!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lonatia mashaka. Lakini nimekwambia ya Mwamposa kando kwanza nikuone uelewa wako. Hayo ni mafungu yanayotumiwa zaidi. Nikusaidie tu kunielewa, mimi sijengi mafundisho kwa mstari mmoja. Nasoma sura nzima na kuoanisha na sura nyingine.

Hayo mafutavhayakuwa yakipakwa wagonjwa tu, labda husomi biblia. Lakini pia katika zama za agano jipya baada ya Kristo kudhihirishwa na kutwaa MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI, hatuhitaji tena kuwa na religious gudgets ili kumwona. Ndiye aliyetuagiza kwenda ulimwenguni kote KUIHUBIRI INJILI. Kwa sababu neno MASIHI lina maana ya MPAKWA MAFUTA (The annointed one), Kristo akiwa ndani yako una haja gani na mafuta mengine? Unataka ukanyage mafuta ili upate nini? Huoni kama huko ni kumkana yule aliye ndani yako?

Kumbe tukikaa ndani ya Kristo (Neno) naye akikaa ndani yetu, na tuombe lolote kwa jina lake na Baba yetu aliye mbinguni atafanya ili FURAHA YETU ITIMIZWE. Tatizo lilishasemwa na Kristo, hatujui kuomba itupasavyo, ndipo hapo Roho Mtakatifu anapoingilia kati, sio MAFUTA YA UPAKO. Tukiomba V8 Roho ansema mwanangu anahitaji nauli ya kumfikisha kazini, sasa sisi tunawaka hasira. Tukiomba nyumba Yeye anatuwekea mazingira ya kupata pesa ya kutosha kulipa kodi na kusaza huku tukijipanga zaidi. Mioyo yetu inajaa jazba sana, tunaanza kuulizana je, katika Israeli hakuna mungu mwingine ambaye hujibu papo kwa hapo? Ndipo wenye maarifa huujibu, yuko Mungu wa Mwamposa, yeye hahitaji mambo mengi na masharti yake ni mepesi tu. KANYAGA MAFUTA!!

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.

Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira amesema vijana hao hawaeleweki walikuwa wanaingia uwanjani kufanya nini kwani ibada ilishamalizika, yawezekana walikuwa vibaka.

Mkuu wa mkoa amewataka vijana hao wasiofahamika hadi sasa kutubu mbele za Mungu kwani dhambi waliyoitenda ni mbaya sana.

Mama Mghwira amesema Huduma za kiimani zitaendelea kama kawaida na kwamba mikutano ya Injili kuanzia sasa itaratibiwa kwa makini na ameomba kukutana na viongozi wote wa dini mkoani humo.

Mama Mghwira amesema aliongea na Rais Magufuli leo asubuhi na kwamba Rais alimtaka kutositisha shughuli za kidini bali waweke utaratibu mzuri wa kuzimonitor.

Source: TBC
Kumbe mlikuwa mnatuandaa kisaikolojia ili muweze kumuachie Mwamposa kwa kisingizio cha dhamana? Hongera mama mghwira kwa kuungana na mashetani
 
waziri wa mambo ya ndani...kaangushiwa zigo la kinyesi 😃😃😃...hili taifa matukio yake yanachekesha kuliko hata clip za charlie chaplin
 
Back
Top Bottom