Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
mbona mnahangaika sana?
 
The gang …carying machine gun, Hand cuffs and driving Land cruiser car 😂😂😂😂😂😂! How can you tell people they are not Police
kabisa mkuu. kwa hiyo kama sio vyombo vya dola tulia anabidi akubali kuwa kuna dharura tanzania tunaelekea kuwa kama haiti kwamba raia tu wana machine guns wanaweza kuteka mtu hadharani so si salama.
 

Wapuuzi nyie mmeamua kuwatetea wauaji!

Unadhani Mungu ni fala kama ninyi. Atawahibisha tu na mtajulikana tu.
Mungu hapendezwi na uovu mnaofanya. Fanyeni ufisadi ibeni kura ila suala la kuua mmevuka mipaka kwa Mungu.

Mtajulikana na kuachia vizazi vyenu laana
 
Mtaelewa tu wajinga nyie, Sumbawanga na Njombe hii kazi wanaiweza vizuri sn, kaeni na bunduki zenu sisi tutumie nguvu za giza
Kabisa! Nimejisikia vibaya sana mzee wa watu yule maskini najaribu kufikiria walivokua wanamtesa na alivokua akiomba msamaha hata kwa makosa ambayo hayajui.
mimi ningekua ndugu wa huyo mzee nisingeacha ningehakikisha wanakatika mmoja mmoja.
Hizo kazi ningeenda njombe au makete huko kule hawakopeshi unaondoa mpaka familia zao.
 
Kabisa! Nimejisikia vibaya sana mzee wa watu yule maskini najaribu kufikiria walivokua wanamtesa na alivokua akiomba msamaha hata kwa makosa ambayo hayajui.
mimi ningekua ndugu wa huyo mzee nisingeacha ningehakikisha wanakatika mmoja mmoja.
Hizo kazi ningeenda njombe au makete huko kule hawakopeshi unaondoa mpaka familia zao.
Hakuna sababu ya kwenda mahamani ni kupoteza muda, dawa ni Sumbawanga na Njombe tumalizane nao na bunduki zao
 

Wapuuzi nyie mmeamua kuwatetea wauaji!

Unadhani Mungu ni fala kama ninyi. Atawahibisha tu na mtajulikana tu.
Mungu hapendezwi na uovu mnaofanya. Fanyeni ufisadi ibeni kura ila suala la kuua mmevuka mipaka kwa Mungu.

Mtajulikana na kuachia vizazi vyenu laana
Hakuna kumwachia MUNGU, twende Sumbawanga na Njombe tupate kinga za uhakika na hawa watu washughulikiwe kuanzia aliyetuma mpk na bunduki zao
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Kwahiyo umemaliza kuharish.a mdomoni!
20240909_064617.jpg
 
Kama genge la wahuni wanaweza kufanya chochote kwenye nchi yenye mifumo yote, tena mchana kweupe, hiyo nchi imeoza kuanzia huko juu.

Vinginevyo wenye mamlaka ni sehemu ya hilo genge la wahuni.
Ndio maana tunataka wasakwe popote walipo
 
Hata kwa lisu mlisema hivihivi sativa je hawakuacha alama? Labda useme vyombo vyetu vya dola havina weledi.
Sika yuko wapi Mahakama imetoa Amri atafutwe tungeanzia hapo. zTatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
 
Back
Top Bottom