Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
kabisa mkuu. kwa hiyo kama sio vyombo vya dola tulia anabidi akubali kuwa kuna dharura tanzania tunaelekea kuwa kama haiti kwamba raia tu wana machine guns wanaweza kuteka mtu hadharani so si salama.
Damu huacha alama, haisafishiki. Mtulie, mmezoea mnaowatupia mamba, kuna wengine vijukuu vya Mtume. Walichotaka wao, kummaliza na tindikali asijulikane, ila Mungu ni mkubwa zaidi yao. Mwili umepatikana na kutambuliwa.
Sijafuatilia utekwaji na mauwaji ya huko nyuma. Lakini kwa hili na mauwaji ya Ali Mohamedi Kibao nina uhakika vyombo vya usalama havijahusika. Waliohusika ni kundi lenye nia ya kuleta fujo nchini na ni wapinzani wa chama tawala. Waweza kuwa ni wakereketwa wa chama chochote kile cha upinzani na...
www.jamiiforums.com
Wapuuzi nyie mmeamua kuwatetea wauaji!
Unadhani Mungu ni fala kama ninyi. Atawahibisha tu na mtajulikana tu.
Mungu hapendezwi na uovu mnaofanya. Fanyeni ufisadi ibeni kura ila suala la kuua mmevuka mipaka kwa Mungu.
Kabisa! Nimejisikia vibaya sana mzee wa watu yule maskini najaribu kufikiria walivokua wanamtesa na alivokua akiomba msamaha hata kwa makosa ambayo hayajui.
mimi ningekua ndugu wa huyo mzee nisingeacha ningehakikisha wanakatika mmoja mmoja.
Hizo kazi ningeenda njombe au makete huko kule hawakopeshi unaondoa mpaka familia zao.
Kabisa! Nimejisikia vibaya sana mzee wa watu yule maskini najaribu kufikiria walivokua wanamtesa na alivokua akiomba msamaha hata kwa makosa ambayo hayajui.
mimi ningekua ndugu wa huyo mzee nisingeacha ningehakikisha wanakatika mmoja mmoja.
Hizo kazi ningeenda njombe au makete huko kule hawakopeshi unaondoa mpaka familia zao.
Sijafuatilia utekwaji na mauwaji ya huko nyuma. Lakini kwa hili na mauwaji ya Ali Mohamedi Kibao nina uhakika vyombo vya usalama havijahusika. Waliohusika ni kundi lenye nia ya kuleta fujo nchini na ni wapinzani wa chama tawala. Waweza kuwa ni wakereketwa wa chama chochote kile cha upinzani na...
www.jamiiforums.com
Wapuuzi nyie mmeamua kuwatetea wauaji!
Unadhani Mungu ni fala kama ninyi. Atawahibisha tu na mtajulikana tu.
Mungu hapendezwi na uovu mnaofanya. Fanyeni ufisadi ibeni kura ila suala la kuua mmevuka mipaka kwa Mungu.
Damu huacha alama, haisafishiki. Mtulie, mmezoea mnaowatupia mamba, kuna wengine vijukuu vya Mtume. Walichotaka wao, kummaliza na tindikali asijulikane, ila Mungu ni mkubwa zaidi yao. Mwili umepatikana na kutambuliwa.
Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Nina imani kama ingekuwa ni proffessionals assassin wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.