Babuu Wesaki Kilauwo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 357
- 488
Hata wakitoa Polisi kwa chama tawala ni jambo dogo, hata kama wanavunja sheria.Hizo bunduki na pingu walizitoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wakitoa Polisi kwa chama tawala ni jambo dogo, hata kama wanavunja sheria.Hizo bunduki na pingu walizitoa wapi?
Huwezi kujichunguza na kujikamata mwenyewe.Huwa najiuliza kwanini haya matukio yakitokea upande wa mlengwa kushoto wenye nchi wanakua na vigugumizi sana
Kama ni sehemu ya mamlaka ni vigumu kuja na majibu sahihi.Ndio maana tunataka wasakwe popote walipo
Samia Anatoa baraka na kuyabariki haya matukio. Yangekuwa yanamgusa hata kidogo angeyakemea mara moja na kuunda task force kushughulika nao. Yana baraka zake 100%.Wewe unawaza kama Mimi mkuu, mpaka sasa Mimi sidhani kama mama anatoa baraka kwa matukio ya namna hiyo sidhani.
Nachokiona Kuna watu washamzidi mama ujanja watu hao wako ndani ya mfumo. Kuna namna wameona udhaifu wa mama hivyo wanamchezesha sikundumbwi.
Yule mama hata kwa matendo na maneno huoni kbs kama anahusika na mambo hayo
Serikali zetu ni za kipumbavu, hata mipango ya kuua watu inapangwa kipumbavu. NI kama ilivyokuwa mauaji ya Ouko nchini Kenya, na kama ambavyo inafanywa na Rwanda, na hata ilivyokuwa inafanywa na Idd Amin, Uganda.Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Kuna mpasuko mkubwa chamani, kama hujui kuna watu wachama wananguvu na ushawishi huko kwenye majeshi na wanayatumia kufanya huu uovu.Sasa kwanini serikali isifanye mpango wa maalum wa kubaini na kutokomeza hicho kikundi? Serikali inawaacha genge wapete, wateke, watese, waue yenyewe iko kimya? Kuna serikali hapo au ni washiriki?
Kwanini tuna serikali. Serkali, mifumo kazi yake ni nini kama sio kulinda uhai na mali za watu?
Jambazi anakosaje bunduki na pingu?.Hizo bunduki na pingu walizitoa wapi?
Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.Unamaanisha kuna kikundi kina nguvu kuliko serikali?
kama waliopata zero na 4 kitado cha 4 na 6 ndio walinzi wa raia na mali zao,,nini unategemea hapo?Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Lisakwe na likamatwe na waliolituma kazi?Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Kaka umeandika nadharia ya uongo kusafisha mawazo yako.Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.
Ndomana unaona kuna upande unateka na kuna upande chamani unatoa kauli tata tena kwa style ileile. Haya mambo hayatokei bahati mbaya.
Ukumbuke hili kundi ndilo lilimuondoa jiwe, sio kundi la mchezo.
Sasa Lyetu sisi kama wananchi tukubali utekaji, uuaji au tunafanyaje? Maoni yako. Kundi la wananchi ni ⁸kubwa kuliko kundi la CCM, watekaji, watesaji na wauaji. Najua kuna CCM wengi hawakubali huu uhuni.Kuna mpasuko mkubwa chamani, kama hujui kuna watu wachama wananguvu na ushawishi huko kwenye majeshi na wanayatumia kufanya huu uovu.
Kudeal na hilo kundi sio kazi ndogo kama unavyofikiria, kumbuka hilo kundi ndio lilizamisha lile jiwe kubwa mtoni, hili kundi sio la mchezo wakiamua jambo.
Hata mimi zamani nilikuwa nafikiria kama wewe kwamba ukishakuwa pale juu wewe ndio kilakitu, kumbe kuna njemba zikiamua kukuyumbisha unayumba na hata kudondoka kabisa
Amefanya mwenyekiti wenu hilo liko wazi...ngoja watu wamsomee kunut ajajua hajui....policeccm wamefuata maagizo ya muajiri wa igpNina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.
Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.
Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Nakubaliana na wewe kuna kundi la kuuza nchi. Bila shaka linapewa support na USA EU kùua viongozi wote wazalendo na wananchi wanaopiganigia haki.Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.
Ndomana unaona kuna upande unateka na kuna upande chamani unatoa kauli tata tena kwa style ileile. Haya mambo hayatokei bahati mbaya.
Ukumbuke hili kundi ndilo lilimuondoa jiwe, sio kundi la mchezo.
Wasoma vitabu hawapo siku hizi, Lissu kwa nini hajaenda msibani na hajatoa salamu za pole? Akili kichwaniAmefanya mwenyekiti wenu hilo liko wazi...ngoja watu wamsomee kunut ajajua hajui....policeccm wamefuata maagizo ya muajiri wa igp