Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Wewe unawaza kama Mimi mkuu, mpaka sasa Mimi sidhani kama mama anatoa baraka kwa matukio ya namna hiyo sidhani.
Nachokiona Kuna watu washamzidi mama ujanja watu hao wako ndani ya mfumo. Kuna namna wameona udhaifu wa mama hivyo wanamchezesha sikundumbwi.

Yule mama hata kwa matendo na maneno huoni kbs kama anahusika na mambo hayo
Samia Anatoa baraka na kuyabariki haya matukio. Yangekuwa yanamgusa hata kidogo angeyakemea mara moja na kuunda task force kushughulika nao. Yana baraka zake 100%.

Vitu villivyomgusa huwa anavishughulikia mara moja kama mtu akiwa maarufu, Slaa, Luvuki, Kabudi, Makonda huwa anawatoa mara moja vitu ambovyo havimgusi anaviaacha kama Loliondo, DP World, Kuuza Misitu.
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Serikali zetu ni za kipumbavu, hata mipango ya kuua watu inapangwa kipumbavu. NI kama ilivyokuwa mauaji ya Ouko nchini Kenya, na kama ambavyo inafanywa na Rwanda, na hata ilivyokuwa inafanywa na Idd Amin, Uganda.

Tanzania ya Samia iko ktk mbinu hizo ambazo lengo lake ni kutisha watu kwa uwazi ili aachiwe nafasi yake.
 
Ni muda wa kuweka mambo wazi serikali iunde CID (Central investigation department) iwe huru iwe juu ya police,Takukuru na TISS vinginevyo rais yeyote anaweza chafuliwa jina na genge la wahuni wasiompenda then lawama zote akapewa yeye.
 
Sasa kwanini serikali isifanye mpango wa maalum wa kubaini na kutokomeza hicho kikundi? Serikali inawaacha genge wapete, wateke, watese, waue yenyewe iko kimya? Kuna serikali hapo au ni washiriki?

Kwanini tuna serikali. Serkali, mifumo kazi yake ni nini kama sio kulinda uhai na mali za watu?
Kuna mpasuko mkubwa chamani, kama hujui kuna watu wachama wananguvu na ushawishi huko kwenye majeshi na wanayatumia kufanya huu uovu.

Kudeal na hilo kundi sio kazi ndogo kama unavyofikiria, kumbuka hilo kundi ndio lilizamisha lile jiwe kubwa mtoni, hili kundi sio la mchezo wakiamua jambo.

Hata mimi zamani nilikuwa nafikiria kama wewe kwamba ukishakuwa pale juu wewe ndio kilakitu, kumbe kuna njemba zikiamua kukuyumbisha unayumba na hata kudondoka kabisa
 
Kazi yenu ni moja ya kazi za hovyo sana. Haina huna tofauti na Mbwa;akiambiwa Kamata huyo, mbio anakamata bila hata kujiuliza kosa la huyu niliyeambiwa kumkamata ni lipi? Hajiulizi.

Kazi za Ki-Mbwa mbwa niliapa tangu nikiwa form 2 kwamba sitakuja kuzifanya. Niko zangu kijijini nauza pombe ya ulanzi na nimeridhika na maisha. Ila kazi za Mbwa hata kama Zina pesa nyingi mie NOOOO!
 
Unamaanisha kuna kikundi kina nguvu kuliko serikali?
Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.

Ndomana unaona kuna upande unateka na kuna upande chamani unatoa kauli tata tena kwa style ileile. Haya mambo hayatokei bahati mbaya.

Ukumbuke hili kundi ndilo lilimuondoa jiwe, sio kundi la mchezo.
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
kama waliopata zero na 4 kitado cha 4 na 6 ndio walinzi wa raia na mali zao,,nini unategemea hapo?
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Lisakwe na likamatwe na waliolituma kazi?
 
Unamaanisha tunaishi Central African republic ? A failed state isn’t?
 
Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.

Ndomana unaona kuna upande unateka na kuna upande chamani unatoa kauli tata tena kwa style ileile. Haya mambo hayatokei bahati mbaya.

Ukumbuke hili kundi ndilo lilimuondoa jiwe, sio kundi la mchezo.
Kaka umeandika nadharia ya uongo kusafisha mawazo yako.
Hakuna kundi lina nguvu kuliko serikali
 
One day yes
1725875184231.jpg
 
Kuna mpasuko mkubwa chamani, kama hujui kuna watu wachama wananguvu na ushawishi huko kwenye majeshi na wanayatumia kufanya huu uovu.

Kudeal na hilo kundi sio kazi ndogo kama unavyofikiria, kumbuka hilo kundi ndio lilizamisha lile jiwe kubwa mtoni, hili kundi sio la mchezo wakiamua jambo.

Hata mimi zamani nilikuwa nafikiria kama wewe kwamba ukishakuwa pale juu wewe ndio kilakitu, kumbe kuna njemba zikiamua kukuyumbisha unayumba na hata kudondoka kabisa
Sasa Lyetu sisi kama wananchi tukubali utekaji, uuaji au tunafanyaje? Maoni yako. Kundi la wananchi ni ⁸kubwa kuliko kundi la CCM, watekaji, watesaji na wauaji. Najua kuna CCM wengi hawakubali huu uhuni.
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane
Amefanya mwenyekiti wenu hilo liko wazi...ngoja watu wamsomee kunut ajajua hajui....policeccm wamefuata maagizo ya muajiri wa igp
 
Haya mambo yanaratibiwa chamani na hili kundi kwa kushirikiana na majeshi ya nchi ya ahadi ambayo yanautii kwa chama. Si ndani kuna nyufa hawapikiki chungu kimoja.

Ndomana unaona kuna upande unateka na kuna upande chamani unatoa kauli tata tena kwa style ileile. Haya mambo hayatokei bahati mbaya.

Ukumbuke hili kundi ndilo lilimuondoa jiwe, sio kundi la mchezo.
Nakubaliana na wewe kuna kundi la kuuza nchi. Bila shaka linapewa support na USA EU kùua viongozi wote wazalendo na wananchi wanaopiganigia haki.
 
Amefanya mwenyekiti wenu hilo liko wazi...ngoja watu wamsomee kunut ajajua hajui....policeccm wamefuata maagizo ya muajiri wa igp
Wasoma vitabu hawapo siku hizi, Lissu kwa nini hajaenda msibani na hajatoa salamu za pole? Akili kichwani
 
Back
Top Bottom