Kwasababu walikuwa ni Matajiri wa Mifugo na kwasababu kipindi hicho kulikuwa hakuna Pesa Watutsi waliweza kutawala Makabila mengine kutokana na utajiri wao.unajua watusi waliwezaje kuchukua umwami wakati wao walikua minority??
Fatilia historia
we unajua kuanzia ukoloni
ππππmkuu excuse meπππKwasababu walikuwa ni Matajiri wa Mifugo na kwasababu kipindi hicho kulikuwa hakuna Pesa Watutsi waliweza kutawala Makabila mengine kutokana na utajiri wao.
Mtutsi ndio Mtu wa kwanza kuingia na Ng'ombe kwenye eneo hilo Imagine Makabila mengine yalikuwa hayajawahi kuona Ng'ombe katika maisha yao.ππππmkuu excuse meπππ
uko serious!!
unaeza toka hapa unde na uko wakoo mkawatawale masai kisa tu una utajiri??
Haileti sense !!
akamq hujui jifunze mkuu usiwe muoga kuachilia kitu ulichokishika kimakosa
Walikuwa na ngβombe na ardhi kuliko wenzaounajua watusi waliwezaje kuchukua umwami wakati wao walikua minority??
Fatilia historia
we unajua kuanzia ukoloni
sasa unakuta kabila lingine hawapendi kupeleka watoto shule wanaabudu kuchunga ngombe unategemea nini? acha hizoIla kuna ukabila wa chini chini bado upo japo ni makabila machache hasa kwenye kuwekana nafasi za ajira,
Wachangiaji wanajifanya hawajuiIla kuna ukabila wa chini chini bado upo japo ni makabila machache hasa kwenye kuwekana nafasi za ajira,
Nyie wanahabari ndio mnachochea hayo mambo mbona wenyewe wanaishi vizur na wamerizikaIdadi / population ya warwanda
Wahutu 85 %
Watutsi 14 %
Watwa 1%.
Kwa hisoria fupi, mauaji ya Kimbari 1994 yalianza baada ya waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame kulipua ndege aliyokuwemo Rais wa Rwanda mhutu (pia akiwemo rais wa Burundi mhutu), ndipo Wahutu wa Rwanda wakaamua kulipa kisasi kwa kuanza kuwaua watutsi, Waasi wa kitutsi waliingia vItani na hatimae wakashinda.
Baada ya mapinduzi mpaka sasa ni kama wahutu wametengwa licha ya wao kuwa wengi, Vyeo vingi vya Serikalini, Jeshini, Taasisi, n.k. wanajazana watutsi.
View attachment 2962823
View attachment 2962821
View attachment 2962814
View attachment 2962815
View attachment 2962816
View attachment 2962817
View attachment 2962818
View attachment 2962819
View attachment 2962820
View attachment 2962822
Sio waarabu kweli maana wale ni shida kila walipo sindioRwanda irudi kuwa Kingdom kwasababu ilikuwa mfumo huo kwa miaka mingi na hakukua na mauaji ya kimbari lakini Wabeleji ndio waluikuja kuleta fitina na kufunza ubaguzi.
Hawana tatizo lolote.Sio waarabu kweli maana wale ni shida kila walipo sindio