Mauaji ya kutisha yafanyika Wilayani Mwanga. Rais tafadhali ingilia kati uisaidie hii familia

Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
Anakera kweli kila anachoulizwa yeye kupest namba za wahanga tu pumbavu zake
 
Mkuu nasikitika kukuambia mpaka Sasa hv hakuna simu yoyote wahanga wamepigiwa na mamlaka!!! Sio Mkuu wa mkoa, wilaya, OCD, Usalama, wala nani! Ama kweli tusiokua na channel tunakufa kama kuku Mkuu....
Mkuu kwa Tanzania wao ndiyo wanatakiwa wa-push. Kama wamekaa wanasubiri kupigiwa simu watasubiri bila chochote kutokea. Kwa nini wasitoka waliko waende kuonana na hao viongozi? Waombe na waandishi waandike na kurekodi masaibu yao. Au waombe msaada kutoka kituo cha kutoa msaada wa sheria. Bila wao kuchakarika ni bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…