Jay El
JF-Expert Member
- Oct 13, 2020
- 459
- 728
Wakulungwa wa Jamii forums, wasalaam.
Kama tujuavyo hizi topic za mauaji kwa jina la wivu wa mapenz naona zimekua too much sasa Dodoma week hii nadhani kama sikosei yalikua matatu Mbeya napo mtu kaamua kunywesha sumu familia nzima.
Mimi kwa mtazamo wangu naona panatakiwa kufanyika jambo kwa kutumia wataalamu wa saikolojia wakishirikiana na serikali au basi ndoa ziruhusiwe kuwa za mikataba mana hatuwezi kuteketeza maelfu kisa vikojoleo tu.
Na kwa asilimia kubwa wanaume ndio tunashindwa kabisa kuhandle hizi stress. La pili family skills topic za namna ya kuhandle stress za kifamilia zingeingizwa kwenye mitaala ya vyuo, sekondari na shule za primary kwa msisitizo mkubwa.
Na nasisitiza hili kwa sababu mauaji yanayotojea sio baina ya walio kwenye ndoa rasmi tu bali hata kwenye mahusiano ya mapenzi kawaida kama uchumba na mengineyo. Mfano tukio la Dodoma kwa wale wanafunzi hawakua kwenye ndoa.
Wasomi wetu na maproffesor sijui wanawaza nini juu ya hili. Kulingana na taarifa za jeshi la polisi mauaji haya yanaongezeka ila Spika wa bunge anashauri yasitangazwe sasa sijui anatumia akili gani.
Badala atafute solution yeye anaminya uhuru wa habar, nilikua namuheshimu kulingana na elimu yake ya udaktari wa sheria ila kwa sasa napatwa maswali juu yake. Wadau wafanyie utafiti haya mambo waje na majibu sio kuzinyamazia hizi taarifa kama burudani za mziki.
Humu kuna great thinker naamini na wao watakua na mawazo makubwa pia. Natanguliza samahani ikiwa uandishi huu utawakwaza tujadili mada ila kuhusu mimi nisameheni. Naomba kuwasilisha. Asanteni
Kama tujuavyo hizi topic za mauaji kwa jina la wivu wa mapenz naona zimekua too much sasa Dodoma week hii nadhani kama sikosei yalikua matatu Mbeya napo mtu kaamua kunywesha sumu familia nzima.
Mimi kwa mtazamo wangu naona panatakiwa kufanyika jambo kwa kutumia wataalamu wa saikolojia wakishirikiana na serikali au basi ndoa ziruhusiwe kuwa za mikataba mana hatuwezi kuteketeza maelfu kisa vikojoleo tu.
Na kwa asilimia kubwa wanaume ndio tunashindwa kabisa kuhandle hizi stress. La pili family skills topic za namna ya kuhandle stress za kifamilia zingeingizwa kwenye mitaala ya vyuo, sekondari na shule za primary kwa msisitizo mkubwa.
Na nasisitiza hili kwa sababu mauaji yanayotojea sio baina ya walio kwenye ndoa rasmi tu bali hata kwenye mahusiano ya mapenzi kawaida kama uchumba na mengineyo. Mfano tukio la Dodoma kwa wale wanafunzi hawakua kwenye ndoa.
Wasomi wetu na maproffesor sijui wanawaza nini juu ya hili. Kulingana na taarifa za jeshi la polisi mauaji haya yanaongezeka ila Spika wa bunge anashauri yasitangazwe sasa sijui anatumia akili gani.
Badala atafute solution yeye anaminya uhuru wa habar, nilikua namuheshimu kulingana na elimu yake ya udaktari wa sheria ila kwa sasa napatwa maswali juu yake. Wadau wafanyie utafiti haya mambo waje na majibu sio kuzinyamazia hizi taarifa kama burudani za mziki.
Humu kuna great thinker naamini na wao watakua na mawazo makubwa pia. Natanguliza samahani ikiwa uandishi huu utawakwaza tujadili mada ila kuhusu mimi nisameheni. Naomba kuwasilisha. Asanteni