Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Watanzania hawajawahi kumjua adui yao.Imagine Serikali inadai kuwa Wamasai hawana kibali cha kuishi Ngorongoro halafu anaibuka mtu anamlaumu Kitenge!

Kitenge ana mamlaka gani kwenye hii nchi ukimlinganisha na Serikali?Anaepaswa kulaumiwa hapa ni Kitenge au Serikali ambayo ina mamlaka?
View attachment 2109859
Great!!!
 
Usiandike kishabiki hali ya Ngorongoro inasikitisha,inakatisha tamaa & ina huzunisha.
Ni kweli Waasai wapo ngorongoro miaka mingi wakishi na wanyama pori na mifugo yao.Wakati huo Mamlaka inaanzishwa idadi ya watu ilikuwa 8,271 na idadi ya mifugo ilikuwa 30,000.Nyumba za wamaasai zilikuwa aina ya combi

View attachment 2109828

Leo idadi ya Maasai ni 120,000 huku idadi ya mifugo yao ikifikia zaidi ya 1,000,000 na makaazi yao yakiondoka katika uasilia na kwenda kwenye usasa.Leo hii mabati msouth yamejaa Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi mgeni akitembelea Ngorongoro anakutana na Kondoo,Mbuzi na Ng'ombe kwa wingi kuliko Simba au Nyati.

Lazima Tanzania ichukue hatua kali na madhubuti kuokoa Ngorongoro.Kumezuka NGOs nyingi tena nyingine zikiasisiwa Kenya zipo pale kwaali ya kutetea ujinga na kuona Ngorongoro inakufa.Hii vita asili yake kubwa ni Kenya ambayo inaumizwa sana na uwepo wa Ngorongoro,Serengeti na Kilimanjaro.Kenya kupitia idara yake ya ujasusi inafahamu wazi ushindani wa utalii ni vivutio na wakiangalia hizo Mbuga tatu wanaona bora waiumize walau moja ambayo ni Ngorongoro.

Hizi NGOs nyingi zinawadanganya wamaasai Ngorongoro ni mali yao,serekali haina chao sasa huu ujinga ungemalizwa na vingozi wenye maamuzi mazito ikiwemo kuirejesha Ngorongoro TANAPA na kuifanya HIFADHI kama zilivyo Manyara,Serengeti,Kilimajaro au Mikumi.Wamaasai wahamishwe wote Tanzania bado ina mapori mengi.
Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi

Hebu tuwekee picha hayo magorofa na nyumba za bati la misauzi zilizojengwa hifadhini!? Na kama zipo unataka kuaninisha kwamba mfugaji wa kimaasai anajenga hayo magorofa na kuishi humo?

Narudia kusema watz tupo manipulated na siasa za kijinga na kipumbavu zisizojali utu wa mwanadamu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hawaja kosea jamii zingine kusema SISI AFRICA watu weusi tuna low IQ ukilinganisha na jamii zingine.

Ukiangalia hawa wa MASAI utajiri walio nao wa mifugo na ukiangalia maisha wanayo ishi kama Ndege wanarandaranda tu huku na kule unajiuliza sisi watu WEUSI tulikosa nini Kwa M/MUNGU naweza kusema IN GENERAL JAMII YOTE YA WAFUGAJI WANAMATATIZO ya kiakili baado wapo kwenye maisha ya STONE AGE.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Unafahamu sababu za Ngorongoro kuwa mamlaka kamili ya hifadhi inayojitegemea?....Kwani hao wamasai hawakuwa kuhamishwa miaka ya nyuma?..

...hili suala linachanganya sababu kumeibuka wimbi la wasemaji wengi na ngumu kujua ukweli upo wapi...

anyway suala la Ngorongoro kulindwa ni lazima....ila isilindwe kwa gharama ya watu kuteseka,kuumizwa na kufanywa wakimbizi wa ndani....lazima utaratibu uwekwe na ufatwe.
Muhimu sanaa hii nikweli hakuna binadamu ambaye akieleweshwa anashindwa kuelewa
Yafaa kuhamishwa ilikutoa faida pande zote mbilii wakae chini wajadilii wafikie muhafaka walimalize hilo kwa maslahi ya pande zote mbili
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Africa Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Attack Serikali ..Kitenge is nothing utitiri wa NGOs Ololosokwani.....Kiruswa kapewa uwaziri....Yule dada yenu Manda mgogoro wa Thomson Safari....and Beyond kufufurushwa kwa mwarabu...Manongi kusimamia sheria bila kusikiliza majungu ya Wamasai na Wairaq.....kusomeshwa sheria eti kulinda Ardhi yetu

ONYO Ardhi ya Tanzania sio mali ya Kikundi au Kabila flani kujiona SPESHO

Niko jikoni UNESCO nausoma mchezo na kujuwa mshindi ni nani....
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Africa Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Ile population growth ya mule ndani siyo ya wale original tu… wameongezeka wahamiaji
 
Kweli hawaja kosea jamii zingine kusema SISI AFRICA watu weusi tuna low IQ ukilinganisha na jamii zingine.

Ukiangalia hawa wa MASAI utajiri walio nao wa mifugo na ukiangalia maisha wanayo ishi kama Ndege wanarandaranda tu huku na kule unajiuliza sisi watu WEUSI tulikosa nini Kwa M/MUNGU naweza kusema IN GENERAL JAMII YOTE YA WAFUGAJI WANAMATATIZO ya kiakili baado wapo kwenye maisha ya STONE AGE.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Wewe unaamini kuwa tajiri uishi kwenye ghorofa ya kupanga ulaya au!?
Umewazidi nini na kuishi kwako mjini zaidi ya fujo na moshi wa magari?
Ajabu ni kwamba hakuna omba omba huko lakini mjini utawakuta tele.
 
Kosa la Kitenge sijaliona, athari za mazingira lazima zitunzwe
 
Attack Serikali ..Kitenge is nothing utitiri wa NGOs Ololosokwani.....Kiruswa kapewa uwaziri....Yule dada yenu Manda mgogoro wa Thomson Safari....and Beyond kufufurushwa kwa mwarabu...Manongi kusimamia sheria bila kusikiliza majungu ya Wamasai na Wairaq.....kusomeshwa sheria eti kulinda Ardhi yetu

ONYO Ardhi ya Tanzania sio mali ya Kikundi au Kabila flani kujiona SPESHO

Niko jikoni UNESCO nausoma mchezo na kujuwa mshindi ni nani....
Njia za kuwaondoa ziainishwe kwa uwazi, Sheria hizihizi mbovu wanazitumia baadhi kwa maslahi ya watu fulani.

Hivi umezungumzia kundi (jamii ya kimaasai kijiona special) bila kujua kuna kundi pia lenye nguvu ya kipesa na kimamlaka kujiona special zaid na halishindwi kwa chochote..somebody gonna die

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Watu wanahamishwa barabara ikijengwa, watu wanahamishwa pakigundulika ardhi Ina madini yaani nyie ni kina nani msihamishwe ???

The fact kwamba mlikuwepo hapo from 1950's haiwapi legality ya kuendelea kukaa Kama itaonekana mnaweka threat kwa wanyama pori.

As long as eneo hilo lilishatangazwa kuwa protected na sheria sioni sababu ya hao wamasai kung'ang'ania after all hakina walichojenga au wanacholima zaidi ya kufuga ng'ombe wanaonyang'anyana malisho maana wanacholazimisha ni kupata Yale mapori ambapo kwingine wanajua hawataweza kufuga kwa style Ile .

Tuwe na uchungu na taifa letu, ng'ombe wanaongezeka na familia zao zinaongezeka siku Hadi siku, better late than never.

Hii nchi tunaongozwa kwa sheria, mbona wengine wanahamishwa kupisha maslahi mapana ya Taifa?? Kwa nini wao wajione ndio wenye nchi pekee?
Kwani kipi bora kati ya wanyama na mwanadamu? Mungu aliumba mwanadamu alisi nchi sio wanyama.
 
Njia za kuwaondoa ziainishwe kwa uwazi, Sheria hizihizi mbovu wanazitumia baadhi kwa maslahi ya watu fulani.

Hivi umezungumzia kundi (jamii ya kimaasai kijiona special) bila kujua kuna kundi pia lenye nguvu ya kipesa na kimamlaka kujiona special zaid na halishindwi kwa chochote..somebody gonna die

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu mnahujumiana mtafute Kimai na wale jamaa wa Pingos ..Maa ..mtaalam Mande..

Mwalimu Manongi mtamlaumu bure tu ..Kilindi kuna maeneo mengi tu
 
Back
Top Bottom