Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

Huyu Maulid Kitenge vipi, deni halijafika hata nusu trillion USD povu linamtoka kihivyo. Tanzama deni la taifa kubwa duniani la Amerika ambalo zaidi ya nusu ya deni hilo imetumika kugharimia utengenezaji wa silaha za maangamizi na vita mbali mbali duniani.


We mwigulu sperm umekuja na huku
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Kumekucha !! Tusubiri tuone !!
 
Kukopa fedha nje ya nchi sio jambo ambalo ni Tanzania ya leo imelinza, ukopaji na ulipaji ndio mfumo wa kidunia.
Mfano, - barabara ya uhuru, ilikopewa fedha mwaka 1963 ikajengwa deni lake lilikuja kuisha mwaka 2020,ndipo tulipomaliza kulilipa, short and clear, ukopaji kwa miradi ya kimkakati ni jambo jema, kwani upo wakati miradi hiyo haitahitaji fedha tena na kazi yake ulitakuwa ni kulipa tu madeni,huku ikifaidisha umma wa watanzania.
Posibly yupo shetani nyuma ya hawa waropokaji walioibuka anayejaribu kutengeneza mizengwe ovu, na kuichonganisha serekali na umma, nataka niwaambie rais ni #SSH, mpaka 2030.
 
'
JamiiForums-627370351.jpg
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Maulid Kitenge o level nasikia alipata ziro
 
kuna clip nimemsikia ndugai akilalama tunatumia trilioni 10 kulipa hayo madeni........
yeye mwenyewe amechangia pakubwa kwani alipotumia bilioni mbili za matibabu yake na alipohojiwa na CAG akang'aka alidhani hizo fedha zinatoka wapi?
Awache unafiki
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Watu Wana Ajenda fulani ovu,kwa hiyo maelezo aliyotoa Mwigulu wiki mbilinzilizopita hayaeleweki au inakuaje?

Wakati Mwigulu anatoa maelezo ya Deni clouds hao kina Kitenge walikuwa wapi?

Mwigulu wapuuze hao wajinga achana nao 👇
Screenshot_20221214-115149.png
Screenshot_20221214-131133.png
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Maulid Kitenge ni Sukuma Gang naye. Ahamie Burundi kama hataki serikali ikope na kuchukua tozo
 
Back
Top Bottom