Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaah.!! Waache kuwa na mkono mfupi πππPesa yake Matumiziπ€£π€£π€£π€£
Na wewe unamkubalia wakati mshahara wa magumashi??Sasa saving zenyewe mnazitaka na mnataka tuwapeleke sehemu nzuri sasa tuta save vipi hela.
Dah sasa akina Lamony muwe na vibopa tu jamani na sie walalahoi ata hamtuhurumiiNa wewe unamkubalia wakati mshahara wa magumashi??
Chagueni wanawake mnaowamudu na vipato vyenu, wewe unambeba KAUSHA DAMU unategemea nini??
Muwahi benki mje mlipe madeni maana hakuna nyongeza tenaHabari za jioni,
Karibuni kwenye uzi huu kwa ajili ya kuhabarishana kutoka kwa mshahara kila mwezi, nyongeza ya mshahara na updates mbalimbali za mishahara kwa watumishi wa umma.
Ahsanteni.
Just imagine huku kitaa ndo wanaonekana wana afadhaliWatumishi wa umma wana maisha magumu saana yaani hata mwezi haujaisha mshaanza kuulizia mshahara
Wangapi wenye maisha mazuri nchi hii?Watumishi wa umma wana maisha magumu saana yaani hata mwezi haujaisha mshaanza kuulizia mshahara
Lakini anaweza uliza watumishi wenzie tu hapo, ila pia ajiunge na huduma ya kupata msg.....Hhaha kuna watu wako vijijini uko asije akala nauli yake ya elfu 20 kwenda ATM na akakuta mshahara bado ni vyema apewe updates.
Hata kama ni haki.....Wala sio aibu..ni haki yao,sio kila mtu ana c/n
Bado mkuu mpaka kesho.Wakuu mshahara tayari?
Ni aibu na fedheha Sana...Mi hiki kitendo huwa nakiona cha aibu sijui kwanini......anyway haya.
Umeitwa? kichwa kama sufuria ya kande.Mods wawe wanaunganisha hizi nyuzi zenu.
How comes kila mwezi mnaulizana mishahara kutoka? Huwa hamjipangi?
Pamoja na kua option kibao za kukopa bado mnaishi kwa dhiki kuu