Maumivu ni makali, Kwa mara nyingine Yanga wametupora tonge mdomoni kwa kumsajili Manzoki, Simba tunafeli wapi?

Maumivu ni makali, Kwa mara nyingine Yanga wametupora tonge mdomoni kwa kumsajili Manzoki, Simba tunafeli wapi?

Hii habari bora ibakie tu kuwa tetesi. Ikiwa kweli, aisee kutatokea msuguano mkali sana kati ya mashabiki wa mtaa wa pili na uongozi wao pale timu yao itakapo pata sare, au kupokea kichapo.
 
Kila mchezaji anayetakiwa na simba mnamtaka nyie acheni tamaa VINYESI nyie chukueni wote tukutane caf
 
makolo mnajipa presha bure,Yanga jambo lao wala haliusiani na usajili,nikuzindueni kama ingekua usajili basi wangefanya usiku sio saa 6 mchana
 
Nakubali tukonguvu moja Ila nguvu moja hii Ni sisi mashabiki hukuchini. Walio juu Ni matapeli wa Hali ya juu.
Mfano ile 20b iliishia wapi?
Karia Ni mwenzetu lakini hatusaidii kwa lolote zaidi ya kumfanyia mtoto wa Sunday ntimanyongo.
Angalia jezi zetu. Hizi jezi uki compare na zile za MABINGWA Yanga , zetu Ni toilet paper au taulo la kina dada.
Simba tunakwama wapi?
Wewe ni uto
 
Wewe ni uto
Na hili la kutopendana wenyewe kwa wenyewe ndio linatuangusha Sana. Utamuitaje mwenzio uto?
Wale MABINGWA Yanga hata wakutane wapi, mmoja akishaona mwenzie kavaa zile jezi zao utawaona wanatabasamu. Simba tujiongeze na tucheze mpira tuache kutegemea kuhonga waamuzi.
 
Na hili la kutopendana wenyewe kwa wenyewe ndio linatuangusha Sana. Utamuitaje mwenzio uto?
Wale MABINGWA Yanga hata wakutane wapi, mmoja akishaona mwenzie kavaa zile jezi zao utawaona wanatabasamu. Simba tujiongeze na tucheze mpira tuache kutegemea kuhonga waamuzi.
Simba kafika robo fainal CAF zote hzo kahonga waamuzi aisee acha tozo ziongezeke tu
 
[emoji23]
IMG-20220818-WA1411.jpg
 
Simba kafika robo fainal CAF zote hzo kahonga waamuzi aisee acha tozo ziongezeke tu
Simba ile sio Simba hii. Sasa hivi club inaporomoka tu. Tusipoangalia tutacheza kwenye ligi za kina African sports au hata ndondo cup.
 
Watu waliokosa hela za kwenda kambi uturuki kwa kumsajili aziz ki ndo wawe na pesa za kumlipa manzoki ila yanga kwa uongo maana walisema phiri pia wamemalizana nae kumbe walikuwa wanawateka mashabiki wake wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom