Maumivu ya bajeti ya 2021 yako hapa kwa wananchi wa kawaida

Ccm wamefika mwisho kabis awa kufikiri hawana jipya
 
(ii) Kutoza kiasi cha shilingi 10 hadi shilingi 200 kwa siku kwa kila laini ya simu kulingana na uwezo wa kuongeza salio kwa watumiaji. Pendekezo hili litapelekea kuongeza mapato ya Serikali kiasi cha shillingi milioni 396,306.0.
Sijaelewa vizur hapa ina maana lain nitaanza kuilipia kila siku?
 
Mshana Jr soma hapo mtani
 
Huo mtindo ulikuepo kabla ya JPM lakini haikupinguza wanywaji,alipokuja JPM bia zilishuka toka 2500 mpaka 2000 na 2000 mpaka 1500 na kwa miaka mitano hakikuwai kupanda
wanaonunua ni wachache
 
Mkuu mapendekezo yote yatamgusa mtu wa kawaida fikiria kuongeza ushuru wa kiasi 100 kwenye mafuta yote hapo lazima gharama za usafiri zipande hivyo kupelekea bidhaa kupanda bei na huenda mfumuko wa bei maana mzigo wote huo anaubeba final consumer

Halafu waziri haoni hayo anajichekesha eti hata akipendwa na watu wa jimbo lake na wa Yanga inatosha watakupendaje ili hali unaibana hali yao ya maisha au wao hawataathirika??
 
The government is preaching financial inclusion of the majority of the population at the same time it is increasing the cost of banking dervices by charging levies on deposits and withdrawals!!! You better synchronize these financial policies in order to achieve your goals,
 
Huyu mama hapo kwenye Kodi ya mihamala na Kodi ya laini anaenda kuchukiwa vibaya mno na wananchi wa kawaida ,yaan wamekaa wemeshindwa kuangalia angle nyingine had wakaja huku ambako kila mtu anaona wazwaz kuwa ananyongwa mchana kweupe, nilianza kuwa na iman nae ila kwa hili atapata wakat mgumu sana hasa kama ana nia mwaka 2025
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…