Rais wetu ajue kuwa kuongeza kodi kwenye miamala itapunguza mzunguko wa pesa na kuwakatisha tamaa watu kuweka fedha zao benki ambazo ndizo wafanya biashara na wawekezaji wanakopeshwa ili kuwekeza katika uzalishaji!!!
Kutoza kodi zaidi kwenye miamala sio njia sahihi ya kuongeza pato la serikali; ongeza kodi kwenye vileo vikali na pia huko kwa wacheza kamail itapendeza!
Kutoza kodi zaidi kwenye miamala sio njia sahihi ya kuongeza pato la serikali; ongeza kodi kwenye vileo vikali na pia huko kwa wacheza kamail itapendeza!