Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
alafu kuna watu wanazungusha viuno wanasherekea eti bia itapungua bei 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaiona nchi ya ahadi siku CCM iking'olewa !!
ndo maana yakeSijaelewa vizur hapa ina maana lain nitaanza kuilipia kila siku?
Hizo ni trilioni 2Hebu andika hapa kwa tarakimu
☝️100%Huyu mama hapo kwenye Kodi ya mihamala na Kodi ya laini anaenda kuchukiwa vibaya mno na wananchi wa kawaida ,yaan wamekaa wemeshindwa kuangalia angle nyingine had wakaja huku ambako kila mtu anaona wazwaz kuwa ananyongwa mchana kweupe, nilianza kuwa na iman nae ila kwa hili atapata wakat mgumu sana hasa kama ana nia mwaka 2025
Dah nimecheka sana aisee Jf hakika ni zaidi ya kisima cha burudaniBajeti ya serikali
Bia za shuka Bei
Ushuru wa mililita 1000 kutoka 720 Hadi 620
Yaan bia kama safari , Kilimanjaro nk zitauzwa 1500
Na hizi Serengeti ndogo Ni Buku tuu
Niseme nn bwana
Niseme nn bwana
Bali ninashukuru
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app