Ametumia kauli ya kibwege sanaMkuu mapendekezo yote yatamgusa mtu wa kawaida fikiria kuongeza ushuru wa kiasi 100 kwenye mafuta yote hapo lazima gharama za usafiri zipande hivyo kupelekea bidhaa kupanda bei na huenda mfumuko wa bei maana mzigo wote huo anaubeba final consumer
Halafu waziri haoni hayo anajichekesha eti hata akipendwa na watu wa jimbo lake na wa Yanga inatosha watakupendaje ili hali unaibana hali yao ya maisha au wao hawataathirika??
Watu watumie bank gharama ni ndogo kuliko za simuRais wetu ajue kuwa kuongeza kodi kwenye miamala itapunguza mzunguko wa pesa na kuwakatisha tamaa watu kuweka fedha zao benki ambazo ndizo wafanya biashara na wawekezaji wanakopeshwa ili kuwekeza katika uzalishaji!!!
Kutoza kodi zaidi kwenye miamala sio njia sahihi ya kuongeza pato la serikali; ongeza kodi kwenye vileo vikali na pia huko kwa wacheza kamail itapendeza!
Wanamhujumu mama kinamna !!Mama asipoingilia huenda JPM akakumbukwa hasa na wale wananchi wa kawaida,aliozoea kuwaita wanyonge
Ametumia kauli ya kibwege sana
Sio hivyo tu na gharama ya kutoa pesa kwenye simu itaongezeka licha ya kwamba hata rates za sasa zinatutesa !Kila ninapoweka vocha, kununua muda wa maongezi au kununua bundle huwa ninakatwa kodi ya Vat (18%), sasa inakuwaje tena leo ninaongezewa mzigo mwingine mpya wa kodi?
Hali lazma izidi kuwa mbaya tu,mm nilidhani hapa ndio pa kuchukua credit kwa mama ila sijui kama alikaa na kuchambua hii baje kabla ya kuwasilishwaSio hivyo tu na gharama ya kutoa pesa kwenye simu itaongezeka licha ya kwamba hata rates za sasa zinatutesa !
Hakuna viongozi wenye maona wala huruma kwa mwananchi, hiyo pesa itakusanywa lakini hata huduma za kijamii bado hazitafanana na makusanyo yaoBadala ya kuwekeza kwenye uzalishaji wamekazania kuchezea kodi tu.
Utekelezaji wa hatua hizi nne kwa pamoja unatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni 2,033,639.66.
ππππ
Kwahiyo mabadiliko yote hayo yataiongezea serikali ya Tanzania kiasi cha Tsh 2,033,639.66./milioni mbili, na elfu thelathini na tatu, mia sita thelathini na tisa pointi sita sita? ππ
Milioni 2,033,639.66 = 2,033,639.66 x 1,000,000. Hiyo ni njia tu ya kufupisha uandishi.πNacheka kwa masikito hapa
Naona kama ni ajenda ya kumtoa kwenye mioyo ya watu. Kuna watu wanalenga 2025 !!!Hali lazma izidi kuwa mbaya tu,mm nilidhani hapa ndio pa kuchukua credit kwa mama ila sijui kama alikaa na kuchambua hii baje kabla ya kuwasilishwa
Si mlikuwa mnasema nyie siyo wanyonge? Tulia dawa ikuingieKipengele (i) na (ii) kina gusa Watu wengi Sana mpaka wenye Uchumi mdogo kabisa.
Bora wangeacha Faini ya Bodaboda iendelee kuwa 30,000/= kwa kila Kosa.
Tarakimu/Hesabu iko sawa mkuu kwa sababu ameanza na neno Milioni maana yake ni kuwa katika tarakimu hizo ongeza 0 sita. Ndiyo Hesabu za Kihasibu zinaandikwa hivyo mkuu.Utekelezaji wa hatua hizi nne kwa pamoja unatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni 2,033,639.66.
ππππ
Kwahiyo mabadiliko yote hayo yataiongezea serikali ya Tanzania kiasi cha Tsh 2,033,639.66./milioni mbili, na elfu thelathini na tatu, mia sita thelathini na tisa pointi sita sita? ππ
Hebu andika hapa kwa tarakimuTarakimu/Hesabu iko sawa mkuu kwa sababu ameanza na neno Milioni maana yake ni kuwa katika tarakimu hizo ongeza 0 sita. Ndiyo Hesabu za Kihasibu zinaandikwa hivyo mkuu.
πππ ni mwendo wa kula beer mkuuBajeti ya serikali
Bia za shuka Bei
Ushuru wa mililita 1000 kutoka 720 Hadi 620
Yaan bia kama safari , Kilimanjaro nk zitauzwa 1500
Na hizi Serengeti ndogo Ni Buku tuu
Niseme nn bwana
Niseme nn bwana
Bali ninashukuru
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Trilion 2+ mkuuHebu andika hapa kwa tarakimu