Maumivu ya mwanamke kusalitiwa: Hana wa kumtetea, jamii inaona ni haki yake

Wanaume wengi wanaona raha wanapoona mke wake anateseka, anakonda na kulia kwaajili yake. Zama hizo zimeshapita. Tunawaacha mfanye mnachotaka.
Uzuri ni kwamba mabaya huwa yanawarudia wenyewe.
Elezea vizuri hapo. Mwanamke anateseka vipi wakati mumewe akiona raha?
 
Kweli kabisa mkuu.

Mwaka jana wife alifuma sms ya Mwanahamisi kwenye simu yangu. Nilimwomba radhi yakaisha ila leo takriban mwaka lakini bado hali haijawa shwari.
Nahisi wife kapoteza kabisa imani na mimi, nahisi mabadiliko kwake!
 
Kweli kabisa mkuu.

Mwaka jana wife alifuma sms ya Mwanahamisi kwenye simu yangu. Nilimwomba radhi yakaisha ila leo takriban mwaka lakini bado hali haijawa shwari.
Nahisi wife kapoteza kabisa imani na mimi, nahisi mabadiliko kwake!
Hakuna kitu kinauma kama kumsaliti mwanamke aliyekuamini, na kukupenda kwa moyo wake wote,sikia kwa mtu isikukute
 
Alafu ukute we ndo mwanaume wake wa kwanza hajui mwingine then umsaliti,ni dhambi kubwa sana sema tu hamjui,maumivu anayopata mwanaume akisalitiwa are the same to women too,lkn Cha kushangaza mwanamke anaambiwa avumilie ila mwanaume anaambiwa afukuze hafai,but ndio mfumo wetu ulivyoundwa so hatuna namna
 
Cha muhimu ni kupima kbla ya tendo hivi vingne vyote sjui maumivu ni kujiendekeza tu na ubinafsi ulio pitiliza.
 
Njemba tunaonaga fahari na kufanya ushindani kuwala kwa wingi kumbe ni ushamba tu.

Uaminifu, Heshima na Unynyekevu puyanga moja ukose vyote.
 
Haki sawa ni Ajenda ya Freemason na Illuminati. Feminists ndio ma agent wao wa kuwasaidia kuharibu jamii.

Yes
Kuna jarida 1 nilisoma anasema
Wanawake ni rahisi kushawishika na shetani huwatumia kwa ajili kufanikisha mambo yake.

Mf: Eva pale bustani ya eden

Au kumshauri Mwanamke anayeamini hawa manabii/wachungaji hao ni rahisi mno kiasi cha kutekeleza ndoa yake

Au mtoto wa kike umshauri kuhusu wanaume hakuelewi ni hadi apachikwe mimba ndo akili kidogo hurejea akisha zaa
baada ya muda utasikia wanaume mi siwataki muda si mrefu anarudi kule kule

Kwa ujumla mi naona asili ya mwanamke ni wa kushawishiwa sio kusalitiwa anajisaliti mwenyewe.

Kwenye ndoa mwanaume akiwa mtawala asiruhusu ujinga wa 50/50 aishi kibabe na mkewe ndoa inakuwa safi mke asizoee kuona meno yako!

Biblia inasema
Waefeso 5:33
โ€œmke amtii mume na mume ampende mkeโ€

Wakolosai 3:19
Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.

Eleweni hizo statements

Mwisho kabisa mji wako kama mwanaume au familia yako ili iheshimike mume fanya iliyo wajibu wako na ukitaka mji au familia yako idharauliwe ujue mume ndo chanzo cha dharau hizo!
 
Napenda kwa moyo wangu wote. Mahali kwenye mapenzi hisia ni 100%.
Penzi likifa najipa nafasi nyingine ya kupenda. Nina mapenzi tele tele
๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Polyginy ni nature?
 
Fata Uislam hautahisibuowekwnkqa sababu unakuwa umejisalimisha kwa Muumba wako.

Mradi usiwe Muislam jina, ufate mafundisho yake ya Uislam, utaelewa namna ya kuishi maisha yako bila wasiwasi.
 
Fata Uislam hautahisibuowekwnkqa sababu unakuwa umejisalimisha kwa Muumba wako.

Mradi usiwe Muislam jina, ufate mafundisho yake ya Uislam, utaelewa namna ya kuishi maisha yako bila wasiwasi.
Ngoja niheshimu uhuru wako wa kutoa maoni!
 
Upo sahihi kbsa mkuu, nakazia ujumbe
 
Ila wanawake ndio wanaongoza kwa kuwaumiza waume zao kihisia,sema wanaume hawanaga tabia ya kusema mateso wanayopata kwa wake zao ila wanaumiaga Sana Yaani.
 
Ai
Aisee!
 
Very true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ