Wanaume wengi wanaona raha wanapoona mke wake anateseka, anakonda na kulia kwaajili yake. Zama hizo zimeshapita. Tunawaacha mfanye mnachotaka.maumivu ya kujitakia ni kama yapi?
Elezea vizuri hapo. Mwanamke anateseka vipi wakati mumewe akiona raha?Wanaume wengi wanaona raha wanapoona mke wake anateseka, anakonda na kulia kwaajili yake. Zama hizo zimeshapita. Tunawaacha mfanye mnachotaka.
Uzuri ni kwamba mabaya huwa yanawarudia wenyewe.
Kweli kabisa mkuu.Maumivu ya mwanamke anaposalitiwa yanaweza kuwa na athari kubwa sana kihisia. Hali hii inaweza kusababisha machungu na kuumiza moyo. Kila mwanamke anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuonesha hisia tofauti kulingana na uzoefu wake binafsi na mazingira ya kijamii.
Hakuna kitu kinauma kama kumsaliti mwanamke aliyekuamini, na kukupenda kwa moyo wake wote,sikia kwa mtu isikukuteKweli kabisa mkuu.
Mwaka jana wife alifuma sms ya Mwanahamisi kwenye simu yangu. Nilimwomba radhi yakaisha ila leo takriban mwaka lakini bado hali haijawa shwari.
Nahisi wife kapoteza kabisa imani na mimi, nahisi mabadiliko kwake!
Haki sawa ni Ajenda ya Freemason na Illuminati. Feminists ndio ma agent wao wa kuwasaidia kuharibu jamii.
๐๐Napenda kwa moyo wangu wote. Mahali kwenye mapenzi hisia ni 100%.
Penzi likifa najipa nafasi nyingine ya kupenda. Nina mapenzi tele tele
Polyginy ni nature?Sio kwamba jamii imemjengea mwanamke huo mtazamo, hii ni nature tokea dunia imeanza mpaka leo hii kuanzia kwenye vitabu vya dini mpaka kwenye history za kiafrika polygamy ndo utaratibu.
Hivyo jamii imemnyanganya mwanaume haki ya kuwa na wake wengi na matokeo yake ndo haya uliyoyaandika.
Haki tunyimwe sisi nyie ndo mnalalamika
Fata Uislam hautahisibuowekwnkqa sababu unakuwa umejisalimisha kwa Muumba wako.Maumivu ya mwanamke anaposalitiwa yanaweza kuwa na athari kubwa sana kihisia. Hali hii inaweza kusababisha machungu na kuumiza moyo. Kila mwanamke anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuonesha hisia tofauti kulingana na uzoefu wake binafsi na mazingira ya kijamii.
Mbaya zaidi mwanamke amezungukwa na jamii ambayo inamjenga kuwa yeye kusalitiwa au kuumizwa kihisia ni sehemu yake na hapaswi kuonesha hisia za kukataa hali hiyo, mwanamke kajengwa kuvumilia usaliti kutoka kwa wanaume huku akidanganywa kwa kusifiwa kuwa ndiye mwanamke bora na anapaswa kukubali hali hiyo.
Imekuwepo kampeni kuwa mwanamke anayevumilia mwanaume wake kuwa na michepuko ni mke anayefaa kwani hujenga familia, bila kujali kuwa anaumia kihisia na kuteseka kwa msongo wa mawazo kwani hana sehemu ya kupeleka lawama wala kulalamikia kwa kuwa jamii imeshamtengenezea mazingira kuwa hayo ndiyo maisha yake na akienda kinyume na hapo hushambiliwa kuwa hana uvumilivu na kwamba hafai kuwa mke wa mtu.
Jamii imekuwa ikihubiri kuwa mwanaume anahaki ya kuchepuka na kwamba huo ndio uanaume na ndio fahari kwao kitu ambacho kina athari sana kwa ustawi wa familia na kinamuathiri sana mwanamke japo hana namna kwa kuwa tayari kashawekewa mazingira ya kukubaliana nacho japo kinamuumiza sana.
Baadhi ya maumivu ya kihisia yanayoweza kujitokeza ni pamoja na:
Ni muhimu kutambua kuwa kila mtu anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuharibika kihisia kwa njia tofauti. Kwa wengine, maumivu yanaweza kupungua kadri muda unavyosonga na kupitia mchakato wa kupona, huku wengine wanahitaji msaada wa ziada kutoka kwa marafiki, familia, au wataalamu wa ustawi wa akili kusaidia kupitia maumivu hayo.
- Kuvunjika kwa uaminifu: Kusalitiwa kunaweza kuharibu msingi wa uaminifu katika uhusiano. Mwanamke anaweza kuhisi kuvunjika moyo na kuhisi kama imani yake imesalitiwa.
- Kukosa thamani: Mwanamke anaweza kuanza kuhisi kuwa hana thamani na kuanza kujidharau. Hii inaweza kusababisha kupungua kwa kujiamini na kujiona kuwa si wa kuvutia au wa kustahili.
- Hasira na huzuni: Kusalitiwa kunaweza kusababisha hisia za hasira na huzuni. Mwanamke anaweza kuhisi kuvunjika moyo, kuhisi kudhalilishwa, au kuwa na ghadhabu kuelekea mwenzi wake au mtu aliyehusika katika usaliti huo.
- Kupoteza imani katika mahusiano: Kusalitiwa kunaweza kusababisha mwanamke kupoteza imani katika mahusiano na kuwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kusalitiwa tena. Hii inaweza kusababisha ugumu katika kuamini watu wapya na kujenga uhusiano mpya.
Kama mimi ninavyoteseka kwakoAjabu ni kwamba wanaoteseka na mapenzi siku hizi ni wanaume.
๐๐๐๐๐๐
Wewe ni nyege tu zinakusumbua๐Kama mimi ninavyoteseka kwako
Ngoja niheshimu uhuru wako wa kutoa maoni!Fata Uislam hautahisibuowekwnkqa sababu unakuwa umejisalimisha kwa Muumba wako.
Mradi usiwe Muislam jina, ufate mafundisho yake ya Uislam, utaelewa namna ya kuishi maisha yako bila wasiwasi.
Upo sahihi kbsa mkuu, nakazia ujumbeTunachepuka kwa sababu ya ny*g* tu tunaoa kwa sababu ya maisha.
Shida nae wanawake wanatofautiana sana unakuta ana akili za maisha tabia njema lkn hana amsha amsha kitandan unapiga tu kupata watoto.
Kuna wengn aisee kitandan unamtafuna mpaka unatosheka lkn kwingineko kote hana jipya mitazamo yake ya kimaisha imekaa kitikotokitikitoki.
Dili ni kuchepuka lkn usigundulike ili usimuumize mtoto wa watu
Aisee!Sasa mbona mnaringa?
Ukimuambia mke wa ndoa geukia huku muda wa usiku ataanza kutoa visingizio visivyo na miguu, Mara naumwa na tumbo, au siko kwenye mood au nimechoka. Mwanamke Kama huyo atakosa kusalitiwa?
Siku akiamua kukupa Ni Kama anakufanyia favour, kwa Hali hii mwanamme utaacha kua na mchepuko?
Wanawake up your game na hatasalitiwa....
Very trueMaumivu ya mwanamke anaposalitiwa yanaweza kuwa na athari kubwa sana kihisia. Hali hii inaweza kusababisha machungu na kuumiza moyo. Kila mwanamke anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuonesha hisia tofauti kulingana na uzoefu wake binafsi na mazingira ya kijamii.
Mbaya zaidi mwanamke amezungukwa na jamii ambayo inamjenga kuwa yeye kusalitiwa au kuumizwa kihisia ni sehemu yake na hapaswi kuonesha hisia za kukataa hali hiyo, mwanamke kajengwa kuvumilia usaliti kutoka kwa wanaume huku akidanganywa kwa kusifiwa kuwa ndiye mwanamke bora na anapaswa kukubali hali hiyo.
Imekuwepo kampeni kuwa mwanamke anayevumilia mwanaume wake kuwa na michepuko ni mke anayefaa kwani hujenga familia, bila kujali kuwa anaumia kihisia na kuteseka kwa msongo wa mawazo kwani hana sehemu ya kupeleka lawama wala kulalamikia kwa kuwa jamii imeshamtengenezea mazingira kuwa hayo ndiyo maisha yake na akienda kinyume na hapo hushambiliwa kuwa hana uvumilivu na kwamba hafai kuwa mke wa mtu.
Jamii imekuwa ikihubiri kuwa mwanaume anahaki ya kuchepuka na kwamba huo ndio uanaume na ndio fahari kwao kitu ambacho kina athari sana kwa ustawi wa familia na kinamuathiri sana mwanamke japo hana namna kwa kuwa tayari kashawekewa mazingira ya kukubaliana nacho japo kinamuumiza sana.
Baadhi ya maumivu ya kihisia yanayoweza kujitokeza ni pamoja na:
Ni muhimu kutambua kuwa kila mtu anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuharibika kihisia kwa njia tofauti. Kwa wengine, maumivu yanaweza kupungua kadri muda unavyosonga na kupitia mchakato wa kupona, huku wengine wanahitaji msaada wa ziada kutoka kwa marafiki, familia, au wataalamu wa ustawi wa akili kusaidia kupitia maumivu hayo.
- Kuvunjika kwa uaminifu: Kusalitiwa kunaweza kuharibu msingi wa uaminifu katika uhusiano. Mwanamke anaweza kuhisi kuvunjika moyo na kuhisi kama imani yake imesalitiwa.
- Kukosa thamani: Mwanamke anaweza kuanza kuhisi kuwa hana thamani na kuanza kujidharau. Hii inaweza kusababisha kupungua kwa kujiamini na kujiona kuwa si wa kuvutia au wa kustahili.
- Hasira na huzuni: Kusalitiwa kunaweza kusababisha hisia za hasira na huzuni. Mwanamke anaweza kuhisi kuvunjika moyo, kuhisi kudhalilishwa, au kuwa na ghadhabu kuelekea mwenzi wake au mtu aliyehusika katika usaliti huo.
- Kupoteza imani katika mahusiano: Kusalitiwa kunaweza kusababisha mwanamke kupoteza imani katika mahusiano na kuwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kusalitiwa tena. Hii inaweza kusababisha ugumu katika kuamini watu wapya na kujenga uhusiano mpya.