Maumivu ya wamiliki wa European cars!

vipi hizo gari ulizotaja tukiziweka na discovery, vw au range hizo spare zake utagusa?
Hakuna spea original ya bei rahisi hata kama ni spare ya Passo. Hilo likukae kichwani.

Kuna Jamaa alikuja na LS460 ina Engine ya 1UR (The same engine inafunga kwenye LC200, Crown Majesta, GS460 n.k.) tukafanya diagnosis ikaleta code p0022 Camshaft Position A timing Over Retarded Bank 2.,

Sasa DTC kama hiyo ya p0022 ikija kwenye ISt, Passo, Harrier and the likes huwa mara nyingi ni issue inahusiana na VVT solenoid (Dirty Oil, Debris kwenye Oil lines, spring ya VVT solenoid ndo ishachoka, VVT solenoid ina resistance kubwa n.k.).

Lakini kwenye hiyo gari it was a different story.

Kwa sababu hiyo engine ni V8 tukaswap VVT solenoid lakini wapi tatizo liko pale pale. Kuja kufuatilia, kumbe 1UR ina separate VVT actuator ambayo wanaiita VVTi-E Motor

Ni kidubwasha kama hikiπŸ‘‡πŸΎkinakuwa hapa mbele kwenye cylinder head ya 1ur fse kwenye kila upande.



Sasa uliza Bei ya hiyo VVTi-E motor ya 1UR.

Jamaa ilibidi aliagiza mtumba Dubai kwa Milioni maana bei yake mjini ilikuwa haishikiki.

Halafu guess what, Hiyo gari ilikuwa na mwezi mmoja tu toka ameiagiza Japan.
 
lazima ujute
 
huna unacho jua kaa pembeni.nitajie bei yanozel ya discover hata3tu halafu ulinganishe naya land cruezer new model

Wewe jamaa wewe haupo serious. Kwahiyo Nozzle ya LC200 1VD unadhani iyakuwa inauzwa 20k hivi au 50k hivi au 200k hivi. Haupo serious kabisa.

Kwa kukudokeza tu, Mtumba wa nozzle moja ya 1VD FTV siyo chini ya 1m. Engine ina Nozzle 8.

Tofauti yake huyo na anayemiliki ford ranger na anyemiliki SDV6 ni nini?

Unaongea vitu ambavyo huvijui kabisa.
 
sasa mkuu Ford sigari yakawaida tu hio. huwezi kifananisha na cruezer new model. Kuna gari zagarama mfano range huwezi kifananisha na hizo gari ulizo taja.
 
Noma sana
 
sasa mkuu Ford sigari yakawaida tu hio. huwezi kifananisha na cruezer new model. Kuna gari zagarama mfano range huwezi kifananisha na hizo gari ulizo taja.
Hakuna gari ya bei rahisi hapo mzee. Sijui hata unaongea nini.

We ona tu watu wanapush LC200 ila likija suala la maintenance kinachowapata ni siri yao.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa kinachokuchekesha hapo ni nini?
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ
 
Mkuu porojo nyingi acha. Ebana mkuu mimi nasubiri hadi Bitcoin ifike 10K USD ninunue za kutosha. Wee endelea kuwekeza tu hoko kwenye mihogo (casava) commodities.
 
vipi hizo gari ulizotaja tukiziweka na discovery, vw au range hizo spare zake utagusa?
Gari zikiwa kwenye class 1 ni ngumu sana spare parts zikatofautiana kwa kiasi kikubwa.

Kingine, spares za bongo zinakuwa inflated kwa ujinga wa consumer.

Unaletewa shockup ya BMW kwa bei mara 3 ni vile hujui zinapopatikana na bei zinapouzwa.

Huwa naangalia bei za spares mbalimbali, hizo german cars bei zake za kawaida sana tu labda uongelee kina Porsche huko.

Kama unaweza miliki LC200 na kuihudumia fresh, basi hakuna german car itakutoa jasho.
 
Watu wanajazana ujinga na story za vijiweni wakati uhalisia hawaujui.
 
Sema Hivi Usijiloge ukanunua Gari kwa Madalali wa Bongo wala Second Hand kwa Mbongo...

Usiniambie Gari hiyo Ukinunua mpya Ina Mauza Uza Hayo Unayoyasema Tatizo letu wabongo Tunapenda USED sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…