Copolla
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 232
- 571
Kwa Bahati nzuri sijawahi kaka angu😊Hahaha
Mkuu haujawahi kupenda au sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Bahati nzuri sijawahi kaka angu😊Hahaha
Mkuu haujawahi kupenda au sio?
Hauna mkKwa Bahati nzuri sijawahi kaka angu😊
Basi siku yako inakujaKwa Bahati nzuri sijawahi kaka angu😊
Yupo humu ndani mkuuTena ni expert huwezi amini.
Kwa Bahati nzuri sijawahi kaka angu😊
Broo mm ni kijana mdogo sina mke na hio siku aisee naomba isije, iishie hukohukoHauna mk
Basi siku yako inakuja
Huwez kujizuia kumpenda mtu broo, Bali mm najijua moyo wangu ulivyo na baadhi ya wanaume tulivyo, ukiona unaanza kumpenda mtu punguza mazoea haraka na punguza kumwangaliaangalia na usitake ukae karibu nae, jaribu kuziwahi feelings zako kabla hazijawa intenseQuentinTarantino Isije ikatokea kumpenda mtu sana hata siku moja
🤣🤣🤣Kuna mali zingine inakupasa uzingatie tu maana zinavutiaHaya mambo yote(maumivu, chuki,wivu, unafiki kati ya marafiki) yameanza pale ambapo Chris aliamua kumzingatia careen siku ya kwanza kabisa darasani, kumbe Siri ipo hapo, kwamba usizingatie Mali yeyote
OKAY LESSON TAKEN😅😅😅