Unataka mtalii apitishe pesa ya matumizi kwa kila Mzanzibari mkononi..?? Apite nyumba hadi nyumba..?? Ndio uone impact ya utalii..??Badi unaziamini hizo takwimu ulizopewa na CCM ??
Utalii ulianza wakati wa Salmini , na kabla hapo unafikiri uchumi wa Zanzibar ulikuwa vipi ??
Huo utalii haujamnyua mwananchi wa kawaida, umasikini umezidi baada huo utalii kuliko kabla utalii.
Mimi hizo takwimu hata siziangalii najua ni uongo mtupu
wewe endelea kulishwa matango pori
Najiamini ninaweza kunywa mizinga miwili ya Konyagi kama kuna Nyama za kuchoma za Mbuzi zenye Pilipili.Hata mwenyewe hujiamini ??
Najiamini ninaweza kunywa mizinga miwili ya Konyagi kama kuna Nyama za kuchoma za Mbuzi zenye Pilipili.
Unataka mtalii apitishe pesa ya matumizi kwa kila Mzanzibari mkononi..?? Apite nyumba hadi nyumba..?? Ndio uone impact ya utalii..??
Ponda Maisha kufa kwajaHivyo unavyoandika tumeshakuelewa
Gongo litakuuwaPonda Maisha kufa kwaja
Bro, sasa mbona haueleweki hoja zako, unabaki kuimba taarabu tundio nikakuambia wewe soma hizo takwimu wanazokulisha CCM , uzifurahie huku akina Seif Idd wana nyumba zaidi ya 20
Bro, sasa mbona haueleweki hoja zako, unabaki kuimba taarabu tu
Unataka uchumi wa Zanzibar ukue kwa kutegemea nini hasa... Unataka nini hasa kifanyike ili Zanzibar iwe imara kiuchumi..??
Tukisema tuvunje muungano kila kitu kitarudi kuwa zero ZNZ. Mtaishia kubebwa na nchi za kiarabu huku sisi tutazinduwa beach zetu kuanzia Mtwara mpaka Tanga. Tutafungua nude beaches kwa ajili ya watalii naturlists ukijumlisha na mbuga za wanyama ni full kupiga hela. Ndani ya miaka mitano Tanganyika itakuwa kama South Afrika.Utajiri wa Zanzibar ni akili na akhlak ambayo wengi wa Watanganyika hawana , ni wezi na walevi
Nani alikuambia wazanzibari wengi ni illiterate. Hizo Dubai , Musxcat zimejengwa na wazanzibari kwa Taarifa yako.
Huna akiliIli uchumi wa Zanzibar uwe imara ni lazima kwanza nchi iwe na mamlaka Kamili . Ipate viongozi waliochaguliwa na watu . Sio hawa walafu waongo . Iwajuwe raia wake . Hivi watu wanaoingia wakitoka kama choo cha public huwezi ukainua uchumi hata siku moja .
Zanzibar hawajawashindwa kwa sababu ya dini. Zanzibar wameshindwa kwa sababu ya CCM. Ni kama tulivyo huku Tanganyika. Bado unaweza kujiuliza nchi kama Norway ina nini ambacho Tanzania haina?Msimamo mkali wa Dini ni dalili za Ujinga na ukosefu wa Elimu ya Dunia
Wewe unazo ndio ukaamini CCM na kamba zaoHuna akili
Kwani ni Zanzibar imetukataza kufanya hao sasa hivi?Tukisema tuvunje muungano kila kitu kitarudi kuwa zero ZNZ. Mtaishia kubebwa na nchi za kiarabu huku sisi tutazinduwa beach zetu kuanzia Mtwara mpaka Tanga. Tutafungua nude beaches kwa ajili ya watalii naturlists ukijumlisha na mbuga za wanyama ni full kupiga hela. Ndani ya miaka mitano Tanganyika itakuwa kama South Afrika.
Jibu rahisi ni Mauritius hawana chama cha CCM.Mauritius hawana msimamo mkali kwenye issue za kidini.
Zanzibar mtaruhusu watu wazurule na chupi, watu wapigane miti hovyohovyo, mashoga na wasagaji waje kupumzika?
Comoros kuna CCM?Zanzibar hawajawashindwa kwa sababu ya dini. Zanzibar wameshindwa kwa sababu ya CCM. Ni kama tulivyo huku Tanganyika. Bado unaweza kujiuliza nchi kama Norway ina nini ambacho Tanzania haina?
Huko ni issue nyingine. Ila hapa kwetu ni CCM.Comoros kuna CCM?
Hizo beach anzeni hivi sasa kuzifunguwa au tuliwazuia wazanzibari??Tukisema tuvunje muungano kila kitu kitarudi kuwa zero ZNZ. Mtaishia kubebwa na nchi za kiarabu huku sisi tutazinduwa beach zetu kuanzia Mtwara mpaka Tanga. Tutafungua nude beaches kwa ajili ya watalii naturlists ukijumlisha na mbuga za wanyama ni full kupiga hela. Ndani ya miaka mitano Tanganyika itakuwa kama South Afrika.
Mimi nakunywa naponda raha simuogopi Allah mbele za watu na nikanywea uvunguni utasema Allah haoni uvunguni.Gongo litakuuwa
Si mna mama sasa hivi anawauzia waarabu kila kitu. Hao waaarabu wenyewe wanabaguana wao kwa wao. Ukienda uarabuni kuna koo za kiarabu zinatreatiwa vibaya sana. Muulize Mo kwa nini ukoo wao umekimbia Gujirati. Dunia ina mambo mengi sana tatizo watanzania tumejifungua ukisafiri ndio utaona mengi. Unampa Bandari mtu ambaye nchi yake haina hata kitengo cha missionary. Nimekutana na wajerumani huku wamefungua zahanati dodoma, Wataliano wamefungua zahanati Kilosa na nimekutana na waswisi wamefungua zahanati bukoba na wanajitahidi kila mwaka kuzitembelea. Hakuna mwarabu anaeweza kufanya hivi. Wanaishia kutoa misaada ya misikiti na madrasa.Hizo beach anzeni hivi sasa kuzifunguwa au tuliwazuia wazanzibari??
Si mna mama sasa hivi anawauzia waarabu kila kitu. Hao waaarabu wenyewe wanabaguana wao kwa wao. Ukienda uarabuni kuna koo za kiarabu zinatreatiwa vibaya sana. Muulize Mo kwa nini ukoo wao umekimbia Gujirati. Dunia ina mambo mengi sana tatizo watanzania tumejifungua ukisafiri ndio utaona mengi. Unampa Bandari mtu ambaye nchi yake haina hata kitengo cha missionary. Nimekutana na wajerumani huku wamefungua hostpitali dodoma, Wataliano wamefungua hospitali Kilosa na nimekutana na waswisi wamefungua zahanati bukoba na wanajitahidi kila mwaka kuzitembelea. Hakuna mwarabu anweza kufanya hivi. Wanaishia kutowa misaada ya misikiti na madrasa.