Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

I have kinda of understood you,just playing with the human psyche and deep-seated emotions mostly the need to feel distinguished![emoji12][emoji12][emoji12]
Thanks kwa kunipata Ila na wewe unayo hii knowledge. Ujue Kuna universal language how to talk with people's emotions. Jiulize why mziki hata lugha huijui Ila that music talk with your inner insticts/impulse, with your intuition mpaka unacheza ama unafurahia mziki.


Nb humans we're risk averse or we hate pains and we avoid it by any cost and seek pleasure at any cost even we risk something just seeking it.


So wafanye ama wale watu pleasure wanalipa hela.

Mtu anakunywa pombe ya milioni Ila akiwa ananunua matunda analalamika sema Kuna mentality imejengewa ukinywa ya milioni alcohol utaonekana wa high status tribe.
Na watu wanaweka matangazo yao kuwa bend watu mentality zao.


Yaani huwa wanawekeza matangazo na wanawake wanaonyesha sehemu zao like kikwapa,titi,mguu paja yaani wako nusu uchi just to trigger you into emotions state from rational/logic and reason brain.

So ukishakuwa emotions unakuwa irresistible to their intention target.


Binadamu akishakuwa emotional Ni easy to control him/her. Ila akiwa calm kabisa huwezi kumuendesha. Na ndio Mana hata wanawake wanaijua hii kitu Ni automatic or inborn lazima kwanza aanike sehemu zake za Siri wazi ili aku stimulate or a trigger your sexual desire emotions unakuwa hauna akili yako sahihi unawaza kumfaki Mara umeshamtongoza. Wao Ni wajanja ukishakuwa kwenye Ile peak state of happiness emotions ndipo hapo hapo anapokuambia beibi Nina shida hizi na kumbuka huwezi chomoa lazima unatoa hela baadaye ukisha relax Ile rational mind imerudi ndipo unapoanza kuwaza why umempatia Ile hela na nothing you gained.

Mwanamke akikutaka lazima ajifanye ufurahi kwanza. Remember emotions huwa Ni temporary like hasira,uwoga,furaha,tamaa,hope, overconfidence na zikishatoka tu rational hii hapa ndipo unaanza Ni kwa Nini sikuamua ama sikufanya hivi ama sikimjibu hili.


Hakuna ulichokosea sema Sasa emotions huwa Zina bypass/hijacks or overwhelm normal thanking brain.


Kikubwa Ni kuwa makini how Zina operate.

Hata kwa kanisa Kama Roma wanatoa mmoja mmoja kwenda kutoa sadaka hii ili usibakie kwa bench alone utapata aibu.



Kama Hawa wachungaji wanajua kucheza na emotions zako. Unahubiriwa baraka kibao na jinsi watu walivyotoa kwa bwana na wakapata baraka,they treat or prech you to be emotionally ili utoe ama utoe ahadi.


Umeshawahi toa ahadi baadaye ukaanza kujuta unapokuwa unataka kuitimiza.

Na wao Ni wajanja wanacheza na wewe yaani wanahakikisha hawakuachii nafasi ili uwe calm mpaka uitimize.




Kuna silaha za ngono zinafanya kazi,Kuna mademu wazuri wapelelezi utamkula na atakuchukua Siri,unaweza mpaka ukamuoa mkazaa baadaye anasepa Mana yupo kazini alipewa mission fulani. Nadhani umeshaona movie ya naked weapon.
 
Heee kuna benki jamani zina wahudumu wana sura chungu kama chloroquine....bar zina wadada wana sura kama wamebanwa na tumbo la kuharisha
 
kuna viazi mbatata wana mtizamo huu wakiwa wanatumia iphone 7[emoji16][emoji16][emoji16].
🤠🤠🤠 Wageni wa simu, au wana barehe, simu ni vitu vidogo sana.. Ukikuta mtu kashupaza fuvu ujue ooh mie iphone sijui na makele kibao una mpuuza tu.
 

Not true . Manipulating people’s mind isn’t easy at all . Kwa confidence kabisa unasema it is very easy ?? [emoji848][emoji848][emoji848]. This shows ulichoandika hukijui

One of the hardest thing to do ni kujua akili ya mtu na kui manipulate , ingekuwa easy hii dunia na maisha kwa ujumla yasingekuwa hivi .
 
Kwahyo jamaa ametulisha matango pori?
 
[emoji1783][emoji1783][emoji1783] Wageni wa simu, au wana barehe, simu ni vitu vidogo sana.. Ukikuta mtu kashupaza fuvu ujue ooh mie iphone sijui na makele kibao una mpuuza tu.

mtu anatumia iphone x anakwambia hakuna simu kama iphone wewe,iphone ni balaa[emoji16][emoji16]

unamwangalia halafu unacheka ihiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
In croward is very easy Ila sio individual person. Wengi Ni rahisi mno yaani mno. Kuna behavior za watu kwa wingi ziko common. Yanai wewe Ni rahisi mno kuwa influenced na your peers.

Ukiona mtu akafanya kitu unapata envy nawewe unataka ukifanye ukishindwa unakuwa na chuki naye.

Ni rahisi mno kuvutiwa na watu wamekaa Serena ama malaika wanakunywa na kula huku wakipigwa upepo wa majini adi hapo nikiwa nafanya tangazo langu huku nimekuonyesha mwanadada mrembo amekumbatiana na jamaa tayari nishaharibu your rational brain so iliyopo ni emotions brain na Ni rahisi mno kumuendesha ama kum control binadamu akiwa katika emotions ama wakiwa wengi.




Umeshawahi jiuliza mbona chui wapo watatu/tano Ila wanaendesha nyumbu zaidi ya alfu kumi sema Kuna mmoja anajitoaga mhanga anapambana nao huku wenzake waki escape danger.



Haya njoo Sasa unadhani wewe unatawaliwa na watu wangapi hawawazidi hata watano ndio wanaofanya maamuzi kuwa petrol/diezel iwe ivi,tuweke tozo,tujenge road mpaka Moro tutoze Kodi mpaka iishe hela ya kujengea na mko wengi huwezi pinga. Sema ukiwa alone Ni rahisi kukataa Mana hauko influenced na mass behavior.


Usiwacheke nyumbu 10k kuendeshwa na chuo watatu Ila wewe hujicheki why tuko 70M Ila tunaendeshwa na watu watano yaani am sure wako hapo hapo not greater than ten.

Na wanatumia nyumbu wenzetu miongoni mwetu kutuua ama kuhakikisha kuwa tunatii ambao Ni Askari kwa ujira wa jasho letu hao hao nyumbu.


Lete hoja mkuu hizi Mambo nimekaa class not less than five years nakomaa hii Ni self taught and self learned knowledge.
 
H
Ili kuuza unahitaji hardwork , siyo story story rahisi rahisi hizi sijui neuroscience. . Marketing is about hardwork .
Hardworking si Ni pamoja na matangazo kutumia influencers wenye mivuto pia na watalaamu kuharibu kuelezea products yako ili iingie kwa watu
 
ubongo wako ukiingizwa kwenye MRI na CT scan utakuta ubongo umechangamka balaa na hormone zimejaa kichwani
Hii Kuna research moja ilifanyika huko France katika sijui chuo ama maabara ya Ligart Sasa binadamu aliwekamo humo kwa CT or MRI akawa anaonyeshwa picha tofauti Kama za hela ,aliambiwa umeshinda jackpot,Mara ya mtu Yuko uchi Mara chakula kizuri Ile part ya brain inayohusika na emotions ama amygdala from limbic system ilionyesha the same response.

You've to hold or conquer yourself. Hujawahi lala nyumba demu anatuwa jirani no sealing board Sasa zile kelele za maraha zake unashangaa na wewe unaanza kutafuta demu utoe na huku hukuwa na wazo Ilo the same applied to marketing strategies. Sinywi Pepsi big ili niwe Kama mond
 

Nashukuru nimeipitia ndicho nilivyokuwa nakuombea hapa sema Sasa aliyelewa ama mlevi hawezi elewa.

Neurological Connectivity

We believe neurological connectivity is achieved when a retailer, brand or service creates a strong psychological and emotional response that operates on a subconscious level for the consumer in a way that is typically not readily understood nor necessarily recognized by the consumer. As various research studies in the field of neuroscience have found, when people encounter an elevated experience, their brains release many chemicals. One in particular that has attracted a lot of attention is dopamine, which leads to feelings of euphoria, self-satisfaction and well-being, and which can also actually lead to addiction
 
Mzee umewahi kusoma marketing strategies hata kwa siku moja?

Nimeisoma marketing na Naijua marketing in and out .Tofautisha promotion na marketing, Promotion ni sehemu tu ya marketing . Promotion ndo hizi kelele ila marketing yenyewe ya kupata na ku retain customers ni hardwork.
 
H

Hardworking si Ni pamoja na matangazo kutumia influencers wenye mivuto pia na watalaamu kuharibu kuelezea products yako ili iingie kwa watu

Mkuu wewe unaongelea promotion ambayo ni part ya marketing , unaongelea ku create awareness . Ila marketing yenyewe ni kazi kubwa sana huwezi kui narrow succes ya Apple kwenye promotion . Ni jambo haliwezekani. Mfuatilie Steve Jobs alichukua muda gani na kiasi gani ali hustle kutengeneza the first iPhone ambayo ilikuwa turning point ya smartphones na watu walijaa kwenye queue kununua hiyo simu, it was about hardwork creativity and solving people’s problems.

By the way Apple hawa promote simu zao kama hawa wengine.
 
Pamoja mno ndugu
 


kampuni yeyote ambayo ilianzia ktk passion ya muasisi huwa inaishia kuwa na biashara kubwa sana,kuna siri ya mtu kupenda kitu na kuwaambukiza wengine kukipenda.

steve ameipenda apple,akahakikisha anaifanya(sio kuitangaza) ipendwe na wengine,ndio maana hata wakati anaambiwa ni muda wa kuitoa iphone 2005,alikataa kwamba haiko tayari kuingia sokoni.
leo hii bidhaa za apple zinapendwa sana sababu sio marketing NO,zinaishi na mtu.

hatutaki wanazi wa apple waseme apple ni noma,sababu ya utumwa walio nao.tunataka waseme wazi kwamba wana mapenzi tu na bidhaa za apple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…