JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
- Thread starter
-
- #201
Tuonyeshe hiyo bookshop iliyojaza kitabu Cha kijinga namna hiiBila ushahidi wa picha ya vitabu vikiwa vimejaa Bookshop bila kununuliwa, hiki ulichoandika kinabakia ni PUMBA tupu. Peeka pumba hizi wakale nguruwe au ndugu zako.
Weka ushahidi please
Sidhani kama umeelewa chochoteUtambue mtu huambiwa kilealicho kifanya wewe unaita kumchafua nikweli ,kwanza alikuwa anauwa elimu kabisa watu wanapo somabila kupata ajira elimu ilionekana nifashion tu kachukua Mali zawatu wengi tu kimabavu sasa wakiandika hizo sifa zamatendoyake wewe unaitakumchafua kwakweli hukukinatakiwa hata kopi lakimoja zitaisha tumsome dikteta magu
Kinauzwa wap tukanunue. Au kina naniii wamenunua kopi zote
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mimi ndiyo nataka nyinyi watetezi wa DIKTETA Magufuli mnaosema kitabu cha "I am the state" kimedorora mauzo ndiyo muweke picha ya book shop inayoonyesha vitabu vimejaa bila kununulika.Tuonyeshe hiyo bookshop iliyojaza kitabu Cha kijinga namna hii
Hata mwenye Bookshop sizani kama anaweza kuweka huo uchafu dukani kwakeTuonyeshe hiyo bookshop iliyojaza kitabu Cha kijinga namna hii
Masikini kina Kikwete na Mze Makamba, pole zao kwa kweli.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Unajuwa nimeelewa nakujibu lakini ulitegemea watanzania wengi nanachukizwa kukosolewa dikteta magu hivyobasi unachoona sikuelewa kwakuwa sikuungana naweweSidhani kama umeelewa chochote
Hata haijulikani kinapatikana wapiKinapatikana wapi ?
Sheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.Dah,umegeuza kibao mara hii.Wewe si ulikubali ulifoji vyeti.Hebu nikuulize mkuu,forgery ni kosa la jinsi kufuatana na Sheria zetu au sio?
Anyway ninavyojua mimi Magufuli alisimamia Sheria za nchi,na ndio maana mafisadi,wezi na wafojivyeti ,wauza ngada nk.walimchukia sana.Mwananchi wa kawaida na watu wanaopenda haki ni kweli walimpenda sana Magufuli,kwa sababu walimuona kama mkombozi was Wananchi maskini kutoka kwenye umaskini uliosababishwa na mafisadi,wezi wa mali za umma nk.
Kwa mantiki hiyo sina shaka yeyote kwamba wewe ni mtu usiyependa haki,na yumkini ni fisadi au mwizi wa mali za umma.
Nimekuuliza swali naomba unijibu,kufoji cheti ni kosa la jinai au sio?Sheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.
Forgery is a criminal case under our statues and there is penalties according to Law.Nimekuuliza swali naomba unijibu,kufoji cheti ni kosa la jinai au sio?
1.So why has the government paid criminals instead of persecuting them.Forgery is a criminal case under our statues and there is penalties according to Law.
Ask yourself why the Government of CCM employed the workers who forged their Certificates for long time?And why when the operation of removing civil servants who forged their certificates left Military officers and Police Officers to enjoy National cake while many of them are forgeries people.1.So why has the government paid criminals instead of persecuting them.
2.Doesn't this indicate that the Government of Samia is criminal by conspiring with criminals to steal government resources?
That is why I am saying the government is criminal,do you agree?Ask yourself why the Government of CCM employed the workers who forged their Certificates for long time?And why when the operation of removing civil servants who forged their certificates left Military officers and Police Officers to enjoy National cake while many of them are forgeries people.
In fact but what should we do to avoid this situation?That is why I am saying the government is criminal,do you agree?
Sasa watanzania wamekipuuza vipi wakati mimi sijakisoma ili nipate kuamua kukipuuza au laa? Wewe ni sukuma gang kaa pembeni.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Magufuli deserves to be in hell and perish perpetuallySheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.
Hadi wafike wanunuzi 5m labda ipite miaka 3 ! Sasa hapo wauze kila mwezi vitabu 138! Hapo kila mwezi watapata 1.1m then wagawane kuanzia printing na authors zaidi ya wanne! Hapo watalamba elfu 50 kila mwezi!Ndio maana hamuuziwi nyie makapuku kile kinasomwa na academicians na political class so wakipata wateja elfu 5 tu ni zaidi ya million 40!
Kwa hili☝️☝️☝️how is that exactly?Kitabu hakikuandikwa kwa wasomaji wa Tanzania. Kitabu kimeandikwa kumezesha Akili bandia na wale walioapa na wanaoapa kuendeleza Udhalimu dhidi ya Mtu mweusi. Period.
Acha hizo wewe. Hujakisoma kitabu na hata hujui kumeandikwa nini humo!!Naamini hata kingetafsiriwa kwa kiswahili, kingepata jicho na mtazamo huo huo unaosikika[uchafuzi] na hivyo ni Uchafu.
Kama upi kwa mfano..Hakuna mtu mwenye akili anaweza kuamini uwongo, tena uwongo wa kutunga na kuunganishwa.
Wote hawa kina Idd Amin Dada, Mobutu Seseseko na Magufuli wameshaandikiwa vitabu. There's absolutely nothing wrong..!Ukiondoa Jina la Magufuli na ukaweka la Amini, stori ni ile ile. Ukiweka jina la Mobutu Wazabanga Seseko badala ya Hayat Rais na ukaondoa Chato na kuweka gdabolite, stori bi ile ile!
Dispeakable.