999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 758
- 1,372
Kwahiyo wakitoa kitabu Cha kumsifu Magu, mauzo yake yatadoda Kwa sababu Hakuna haja ya kumuandikia kitabu?Kwa taarifa yako mambo positive aliyofanya JPM yapo wazi kitabu cha nini kwa mfano ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wakitoa kitabu Cha kumsifu Magu, mauzo yake yatadoda Kwa sababu Hakuna haja ya kumuandikia kitabu?Kwa taarifa yako mambo positive aliyofanya JPM yapo wazi kitabu cha nini kwa mfano ?
Yaani hawa wapuuzi kweli na inaonyesha uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sanaImethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Ushauri mzuri sana huu utakuwa umewafikia bara bara.Rais Magufuli hachafuki.
wabaya wake wanapaswa waendelee na shughuli zao za kupambana na hali zao.
kama kuwakomesha aliwakomesha na wakawa wadogo zaidi ya piriton
ushauri wangu wasiendelee kupambana na mtu ambaye hayupo bali wapambane na hali zao.
Kitabu kipo tunakisoma sana tu.Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
Magu na Kazi zake zinajulikana Duniani kote, mauzo ya Kazi gani?Kwahiyo wakitoa kitabu Cha kumsifu Magu, mauzo yake yatadoda Kwa sababu Hakuna haja ya kumuandikia kitabu?
Mauzo yanaashiria kupendwa kwa kitabu. Inaonesha wewe siyo mpenzi wa kusoma vitabu na haujui umuhimu wake.Magu na Kazi zake zinajulikana Duniani kote, mauzo ya Kazi gani?
Ni kupoteza Muda tuInaonesha wewe siyo mpenzi wa kusoma vitabu na haujui umuhimu wake.
Kwani kitabu Cha Mkapa au Mengi kina umuhimu Gani wakati tunawajua?
Huyo Magufuli mwenyewe ni mwizi alimfukuza CAG baada ya kumwambia ukweli kuwa ktk ofisi ya rais kulipotea fedha Tsh.1.5 tilion. Magufuli hakuwa tuu jizi bali aliwatungia hadi sheria majizi yanzake yasishitakiwe. Akina sabaya makonda na mengineyo ni genge la Magufuli.Kwanini hofu na makasiriko yawe kwa majizi na chawa wao tu?
Sisi wananchi wa kawaida hatuna ugomvi na kazi za Magufuli.
Dar bookshopKinapatikana wapi ?
Magufuli alikuwa mpumbavu anayesifiwa na wapumbavu. Sijawahi hata kuyaona hayo yanayoitwa madawq ya kulevya. Sijawahi kufika hapo panapoitwa ufipa,sina vyeti feki wala sili rushwa na siyo fisadi ila nasema Magufuli alikuwa mfano wa kiongozi mbayaUongozi wa kishujaa na vitendo sio ongea nyiiingi na hakuna la maana, ndio haswaa tunachoweza kutetea bila kujali upumbavu wa wawapumbavu
Hicho hata wakinipa bure nachoma moto.Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Sisi wengine tunasoma kwa makini sana.Hiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Ni ile kukubali kutumika kama toilet paper kwa tamaa ya pesa......njaa ni mbaya sana inauza utu wa mtu.Yaani hawa wapuuzi kweli na inaonyesha uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
Jiwe alikuwa muovu wa kupindukia.Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
Kama gaidi mlamba asaliJiwe alikuwa muovu wa kupindukia.
Eti watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa..!! HUNA AKILI, HAO UNAOWAITA WA UFIPA NI WANANCHI WA NCHI GANI? Hopeless kabisaaImethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Hoja hujibiwa kwa hoja bwana kulwa jilalla siyo matusi. Wala sijui gaidi kaingiaje wakati siyo mwandishi wa kitabuKama gaidi mlamba asali