No no no, si matamanio. Thamani ya mtu kamwe haipimwi kwa mauzo ya kitabu, hupimwa kwa legacy. Mie nimenunua na kukisoma, ni ugoro mtupu. Maana yake thamani ya Wahusika yaani ya askofubagonza na wale Wahariri ni ugoro.
Atakyeumia zaidi hapa ni Wahariri kwa vile malipo yao ni %ge asilimia ya mauzo, mauzo kiduchu malipo kiduchu.
Mnufaika mkuu hapa ni askofubagonza kwa vile malipo yake ni fixed, 60m nasikis Milioni 60 nasikia, whether mauzo ni mazuri au la. Ĺakini hiyo ni hela ya damu kama vipande 30 vya Yuda Iskarioti.
I mean, Chato ni dayosisi ya KKKT askofubagonza, yaani kuna kondoo wake kule akiwamo Magufuli. Iweje leo amtukane marehemu kwa kuleta Airport nzuri ambapo KKKT jirani ya Bukoba watu 17 walikufa na PrecisionAir kuzama kwenye Airport mbovu?
Wenzie Wahariri kwao wana Airport 3 karibu karibu, ukiweka na Embakasi zinakuwa 4. Askofu wa Kanisa anaonaje nongwa Watanzania kondoo wake wakifaidika? Ni bora Yuda alijinyonga sasa hatujui kama alienda Peponi au la, lakini askofubagonza bado tunaye na agenda yake ya mashoga.
Aidha, Mhariri wa 3 Mr. Kibanda alitumiwa na CHADEMA kutaganza na kutetea mgomo wa Madaktari Interns wa Muhimbili mwaka ule, hadi Mume mmoja aliyefiwa na mkewe (kwa kukosa huduma) shauri ya mgomo aka chukua sheria mkononi akamtela akamtesa Mabwepande hadi leo anavaa miwani myeusi.
Si ni bora ajihazari wasije wakaja wafiwa wengine kuhamaki wakaua hata hiyo miwani? Mauzo ya kitabu yatamsaidiaje?