Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda


Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
tumekinunu sana kupita maelezo
 
Hakuna anayeweza kumchafua JPM. Hata kama atawanunulia Watanzania Bia wanywaji wote Tanzania nzima au hata kama atawaingizia fedha kiasi gani kwenye Account zao Watanzania wote lakini hataweza kumchafua JPM.
Never.
 
Huwa tunawaambia hapa, the two best presidents of our country ni:
• Mwl Julius Kambarage Nyerere (Baba wa Taifa)
• Mwl John Pombe Magufuli (Baba wa Uchumi)
 
Hakuna anayeweza kumchafua JPM. Hata kama atawanunulia Watanzania Bia wanywaji wote Tanzania nzima au hata kama atawaingizia fedha kiasi gani kwenye Account zao Watanzania wote lakini hataweza kumchafua JPM.
Never.
Uko sahihi
 
Punguza utoto MTanzania Gani huwa anasoma vitabu? Hiko kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiingereza meaning wanalenga aina Fulani ya soko sio nyie wacheza singeli wa Tandika. Ni kama tu kitabu Cha Mkapa au Mwinyi unadhani hoehae kama wewe unaweza nunua nakala kwa elfu 80?

Msijipe umuhimu ambao hamna, hivyo vitabu kwa taarifa Yako wamenunua hao viongozi wa serikali na decision makers wa private sector maana ndio target market sio nyie wamachinga. After all hata kingekua kinamsifia JPM wewe una hiyo elfu 80?
Yani ile takataka inauzwa elfu 80?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acheni masihara jamani
 
Ila mnampenda sana Marehemu. Yule jamaa angewageuza marehemu kama Mchungaji Mackenzie.

Natafuta kile kitabu nikisome, ule upembuzi uliopoatiwa hapa jukwaani ulikua murua sana.
Kilichozungumzwa mle ni facts tupu kwa ile session Moja TU niliyosoma
 

Attachments

  • Magufuli.jpg
    Magufuli.jpg
    133.3 KB · Views: 3

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
NAPE na genge lake
 
Hapa kariakoo kinauzika kweli hiki kijitabu "Am the state" Majuzi nimeshuhudia jamaa akiuza kopi 45, Najiandaa kutunga changu kwa jina la "I am the king Kong master, much know ambush ambush and everything is mine and no one deserves anything " aka mtalima kwa meno.
Dadeki
 
Magufuli alikuwa mpumbavu anayesifiwa na wapumbavu. Sijawahi hata kuyaona hayo yanayoitwa madawq ya kulevya. Sijawahi kufika hapo panapoitwa ufipa,sina vyeti feki wala sili rushwa na siyo fisadi ila nasema Magufuli alikuwa mfano wa kiongozi mbaya
Tutajie kiongozi mzuri kuliko wote kwa Tanzania
 
Magufuli alipendwa na anasifiwa na
Watu wasiomjua tangu akiwa naibu wqzir na wazir hata akaja kuwa raisi walikuwa hawamjui kwakuwa amaa hawakuwa wanafuatilia au hawakuwa na access ya magazeti, simu na bundles.
Acha ujumuishi we mbwiga
 
Kwenye hicho kitabu ni vitu gani alivyoeleza Ansbert Ngurumo ambavyo wewe unaona kama amechafuliwa? Ebu vitaje japo vitano tu halafu wana JF waone kweli amechafuliwa au lah......Usipoviweka itaonyesha kwamba aliyoeleza Ansert ni sahihi.
 
Yani ile takataka inauzwa elfu 80?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acheni masihara jamani
Ndio maana hamuuziwi nyie makapuku kile kinasomwa na academicians na political class so wakipata wateja elfu 5 tu ni zaidi ya million 40!
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Kwani wewe ndiye publisher?
 
Back
Top Bottom