Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda


Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Sema huna hela
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Nasema bila kumung’unya maneno! JPM alikuwa kama masiha kwa nchi hii. Kufika 2025 nchi hii itakuwa hoi na kila mmoja wetu atakubali kuwa JPM was special.

Hali imeanza kujionesha mfano US dollar wakati wake haikupanda 2,300 hadi anakufa, angalia leo 2,410! Mabenki yote hayana dollar ukitaka kununua kitu nje! Tujipe muda ukweli utajulikana
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Huo uchafu ningepewa hata bure ningeenda kufungia dagaa na mandazi
 
Kinapatikana wapi ?
Kawaulize vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, wahujumu uchumi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halali
 
Kawaulize vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, wahujumu uchumi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halali
Umepaniki
 
Kawaulize vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, wahujumu uchumi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halali
Umemchana ukweli
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Hakuna shaka yeyote kwamba harakati hizi za kumchafua Hayati Magufuli,Rais wa awamu ya Tano,kipenzi Cha Watanzania,zimeandaliwa na Morons wa nchi za Magharibi,C.I.A na Mafisadi and given a green light by the current Government.Kuonyesha our opposition to them,we should by the books and burn them.
 
Hakuna shaka yeyote kwamba harakati hizi za kumchafua Hayati Magufuli,Rais wa awamu ya Tano,kipenzi Cha Watanzania,zimeandaliwa na Morons wa nchi za Magharibi,C.I.A na Mafisadi and given a green light by the current Government.Kuonyesha our opposition to them,we should by the books and burn them.
Kweli kabisa
 
Nikajua utaleta ushahidi jinsi mauzo ya hicho kitabu yalivyo doda kumbe ushubwada.

Angalau sasa watanzania tunaishi kwa uhuru na Amani ktk nchi yetu. khheee nchi ilikua ishakua kama somaria Kila siku ni matukio ya kimafia, yule jamaa alikua anaenda kuisambalatisha nchi vibaya sana.
 
Sifa kuu ya binadamu ni ubinafsi tunatofautiana katika viwango vya ubinafsi hata hao waandishi kinachowasumbua na kuwatesa ni ubinafsi tu mtu hawezi akakusifia isipokuwa kwa maslahi yake na pia hawezi kukuponda isipokuwa kwa maslahi yake yote haya kukupenda na kukuchukia ni "UBINAFSI"
Vijana kwa wazee, waliowahi kumchukia Hayati Magufuli, ni wapuuzi, wezi, mafisadi na wauza madawa, nani mwenye akili timamu ashadadie kijigazeti cha kijinga hicho?

Kila atakayekupendwa na watu dizaini yao, lazima awe kama wao, akubali nchi itafunwe, iwe jalala la madawa ya kulevya, wajinga wote walio kwenye msululu huo, awape uwaziri hata kama hamnazo!

Upuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
 
Kitabu hakikuandikwa kwa wasomaji wa Tanzania. Kitabu kimeandikwa kumezesha Akili bandia na wale walioapa na wanaoapa kuendeleza Udhalimu dhidi ya Mtu mweusi. Period.

Naamini hata kingetafsiriwa kwa kiswahili, kingepata jicho na mtazamo huo huo unaosikika[uchafuzi] na hivyo ni Uchafu. Hakuna mtu mwenye akili anaweza kuamini uwongo, tena uwongo wa kutunga na kuunganishwa.

Ukiondoa Jina la Magufuli na ukaweka la Amini, stori ni ile ile. Ukiweka jina la Mobutu Wazabanga Seseko badala ya Hayat Rais na ukaondoa Chato na kuweka gdabolite, stori bi ile ile!
Dispeakable.
Asante sana kaka
 
```Unless you understand your role in society, you can never make any meaningful contribution.

According to the Greeks there are three types of people on earth,
  • the idiots,
  • the tribesmen, and
  • the citizens.

Studies show only 10% of Africans are citizens.
The remaining 90% are either tribesmen or idiots.

2. When the Greeks used the word "idiot", they did not use it as a curse word.
Idiots are people who just don’t care.
If they write exams, they will cheat.
If they are in government they will steal.
An idiot does not care at all, if he eats bananas he throws the peels anywhere instead of putting them in a trash bin.

According to the Greeks, some societies have more idiots than tribesmen and citizens.

3. The next set of people are tribesmen, these are people that look at everything from the point of view of their tribe.

These are people that believe in you only if you are part of their tribe.
It can be terrible to have a tribesman as a leader, he will alienate the rest.

When the Greeks talk about tribes, it’s not just about ethnicity, they also consider religion as a tribe.
A great percentage of Africans are tribesmen, because they view everything from the point of view of their tribes.
They trust only their tribesmen.

4. The last group are citizens.
These are people that like to do things the right way.
They will respect traffic light rules even if no one is watching them.
They drive within speed limits.
They respect the laws, won’t cheat in exams.
In government they won’t steal.
They are compassionate and give to others to promote their wellbeing.

Citizens often promote projects that benefit everyone.
The Greeks called this group the citizens.

Some countries have more citizens than tribesmen and idiots.
Others have so many idiots.

A tribesman can become a citizen through orientation.
And an idiot can become a citizen by training and constant enforcement of the law.

But things fall apart if you elect an idiot or tribesman to lead you if he has not been reformed.

Where do you belong?
Are you an idiot, a tribesman or a citizen?

Reflect about your life.
Reflect about your country and Africa in general before you answer.
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mkuuu ili hao wapumbavu wapate Mauzo.

Labda mafisadi watoke wavinunue vyoteee, alafu wakavichome.

Waseme ,Vimenunuliwa.



Mimi huku Sijaona hata mtu mwenye kukizungumzia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom