Haisaidii. Kitabu twakisoma wenyewe na tutarithisha vizazi vyetu kuwa nchi hii iliwahi kupitia kipindi cha giza wakati wa shetani hatari sana kutoka Chato.Ni sawa, wewe ni shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisaidii. Kitabu twakisoma wenyewe na tutarithisha vizazi vyetu kuwa nchi hii iliwahi kupitia kipindi cha giza wakati wa shetani hatari sana kutoka Chato.Ni sawa, wewe ni shoga
Kivipi?Demokrasia yenyewe ni sawa na udikteta
Mbeleni wajipange kulipa gharama ya walichoandika. It's a short lived honey moon. Huwezi kumdhihaki Mkuu wa Nchi aliyefariki/Marehemu ukadhani utabaki salama. Tutakumbushana mbeleni
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Sawa. Tuanze na Airport inahudumia watu milioni 6 hadi Geita na Kigoma na Shinyanga na Bukoba, kilometa 400, hii Airport otawasaidia wote hawa. Kwa nini iwe nongwa? Kwan si ni Watanzania? Kwa Wahariri kuna watu milioni 2 tu, wana Airport 4 Moshi KIA na Arusha, kilometa 39.Mkuu tuonyeshe ugoro wa hicho kitabu ni huu na ukweli ni huu. Kwa kifupi chambua uongo wao dhidi ya ukweli.
Estoy bien, gracias.😂Come esta?
Mimi tayari nina nakala yangu ya kitabu hicho
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Estoy bien, gracias.
Esto bem, graças a deus, e voçe como tas?Estoy bien, gracias.😂
Detente con esta tontería.Esto bem, graças a deus, e voçe como tas?
Wanaandika barned kwenye I'd yakeHivi namjuaje mtu aliyepigwa BAN?
Ndocho unavhpkiweza, ujingaujinga tuWanaandika barned kwenye I'd yake
Wachaga wataendelea kuburuzwa na Kanda ya ziwa watake wasitake na kimanispaa Chao kilichodumaa. Wana wivu sanaSawa. Tuanze na Airport inahudumia watu milioni 6 hadi Geita na Kigoma na Shinyanga na Bukoba, kilometa 400, hii Airport otawasaidia wote hawa. Kwa nini iwe nongwa? Kwan si ni Watanzania? Kwa Wahariri kuna watu milioni 2 tu, wana Airport 4 Moshi KIA na Arusha, kilometa 39.
La pili Hospitali ya Rufaa, same as above ila hili u geza na kwa Waziri Mkuu Majaliwa, Hawana kitu, kwa nini iwe nongwa CCM ikiwakumbuka? KwaWahariri walikuwa Waziri Mkuu mara 4 ukimhesabu na Naibu Waziri Mkuu
La 3 ni lami. Yale yale
La 4 ni katawi Class III ka CRDB. Kamoja tu! Kwa Wahariri kuna matawi mangapi CRDB? Watu wangapi? CRDB ilijengwa na nani? Niendelee?
Magufuli alipendwa na anasifiwa naKwanza huyu mleta mada nadhani kuna mahali kichwani hakujakaa sawa.
Ameileta hii hadithi labda kwa kuwalenga wajinga.
1) Alitakiwa alete takwimu za hayo mauzo ya hicho kitabu.
2) Aeleze matarajio ya mauzo ya hicho kitabu yalikuwa ni nakala ngapi kwa mwezi wa kwanza, miezi 6 au hata mwaka.
Halafu sasa kwa kulinganisha matarajio ya mauzo na uhalisia ndiyo angeweza kusema kama mauzo yamedoda.
Lakini hiki alichokileta ni hadithi ambayo huwezi kusema kama ni ya kweli au ujuha wenye lengo la hadaa.
we nenda kaharishe huo uvundo wako, hicho kitabu kinatafutwa sana sema hakipatikani haijatufikia mikoani we poyoyo
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Wenzako wanazungumzia globalisation wewe unazungumzia ukanda na ukabila? Kweli nyie ndo wanyonge wa Magufuli hahahahaWachaga wataendelea kuburuzwa na Kanda ya ziwa watake wasitake na kimanispaa Chao kilichodumaa. Wana wivu sana
Wamehamishia story kwenye gazeti lao la mwananchi,mbwa sana hawa jamaa pamoja na sponsers wao Nape, January Makamba and so forth
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Aibu!!! Mwisho wake utasikia kimefungiwa kitabu.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Tuonyeshe kwanza legacy yako wewe ndiyo tumchukie MagufuliMagufuli alipendwa na anasifiwa na
Watu wasiomjua tangu akiwa naibu wqzir na wazir hata akaja kuwa raisi walikuwa hawamjui kwakuwa amaa hawakuwa wanafuatilia au hawakuwa na access ya magazeti, simu na bundles.
Hakuna giza linaweza funika nuru.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.