Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda


Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mbeleni wajipange kulipa gharama ya walichoandika. It's a short lived honey moon. Huwezi kumdhihaki Mkuu wa Nchi aliyefariki/Marehemu ukadhani utabaki salama. Tutakumbushana mbeleni
 
Mkuu tuonyeshe ugoro wa hicho kitabu ni huu na ukweli ni huu. Kwa kifupi chambua uongo wao dhidi ya ukweli.
Sawa. Tuanze na Airport inahudumia watu milioni 6 hadi Geita na Kigoma na Shinyanga na Bukoba, kilometa 400, hii Airport otawasaidia wote hawa. Kwa nini iwe nongwa? Kwan si ni Watanzania? Kwa Wahariri kuna watu milioni 2 tu, wana Airport 4 Moshi KIA na Arusha, kilometa 39.

La pili Hospitali ya Rufaa, same as above ila hili u geza na kwa Waziri Mkuu Majaliwa, Hawana kitu, kwa nini iwe nongwa CCM ikiwakumbuka? KwaWahariri walikuwa Waziri Mkuu mara 4 ukimhesabu na Naibu Waziri Mkuu

La 3 ni lami. Yale yale

La 4 ni katawi Class III ka CRDB. Kamoja tu! Kwa Wahariri kuna matawi mangapi CRDB? Watu wangapi? CRDB ilijengwa na nani? Niendelee?
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mimi tayari nina nakala yangu ya kitabu hicho
 
Sawa. Tuanze na Airport inahudumia watu milioni 6 hadi Geita na Kigoma na Shinyanga na Bukoba, kilometa 400, hii Airport otawasaidia wote hawa. Kwa nini iwe nongwa? Kwan si ni Watanzania? Kwa Wahariri kuna watu milioni 2 tu, wana Airport 4 Moshi KIA na Arusha, kilometa 39.

La pili Hospitali ya Rufaa, same as above ila hili u geza na kwa Waziri Mkuu Majaliwa, Hawana kitu, kwa nini iwe nongwa CCM ikiwakumbuka? KwaWahariri walikuwa Waziri Mkuu mara 4 ukimhesabu na Naibu Waziri Mkuu

La 3 ni lami. Yale yale

La 4 ni katawi Class III ka CRDB. Kamoja tu! Kwa Wahariri kuna matawi mangapi CRDB? Watu wangapi? CRDB ilijengwa na nani? Niendelee?
Wachaga wataendelea kuburuzwa na Kanda ya ziwa watake wasitake na kimanispaa Chao kilichodumaa. Wana wivu sana
 
Kwanza huyu mleta mada nadhani kuna mahali kichwani hakujakaa sawa.

Ameileta hii hadithi labda kwa kuwalenga wajinga.

1) Alitakiwa alete takwimu za hayo mauzo ya hicho kitabu.

2) Aeleze matarajio ya mauzo ya hicho kitabu yalikuwa ni nakala ngapi kwa mwezi wa kwanza, miezi 6 au hata mwaka.

Halafu sasa kwa kulinganisha matarajio ya mauzo na uhalisia ndiyo angeweza kusema kama mauzo yamedoda.

Lakini hiki alichokileta ni hadithi ambayo huwezi kusema kama ni ya kweli au ujuha wenye lengo la hadaa.
Magufuli alipendwa na anasifiwa na
Watu wasiomjua tangu akiwa naibu wqzir na wazir hata akaja kuwa raisi walikuwa hawamjui kwakuwa amaa hawakuwa wanafuatilia au hawakuwa na access ya magazeti, simu na bundles.
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
we nenda kaharishe huo uvundo wako, hicho kitabu kinatafutwa sana sema hakipatikani haijatufikia mikoani we poyoyo
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Wamehamishia story kwenye gazeti lao la mwananchi,mbwa sana hawa jamaa pamoja na sponsers wao Nape, January Makamba and so forth
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Aibu!!! Mwisho wake utasikia kimefungiwa kitabu.
 
Magufuli alipendwa na anasifiwa na
Watu wasiomjua tangu akiwa naibu wqzir na wazir hata akaja kuwa raisi walikuwa hawamjui kwakuwa amaa hawakuwa wanafuatilia au hawakuwa na access ya magazeti, simu na bundles.
Tuonyeshe kwanza legacy yako wewe ndiyo tumchukie Magufuli
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Hakuna giza linaweza funika nuru.

Ukweli utabaki na utaishi milele
 
Back
Top Bottom