Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Magufuli hachafuliwi alijinyea mwenyewe
 
Magufuli alikuwa mpumbavu anayesifiwa na wapumbavu. Sijawahi hata kuyaona hayo yanayoitwa madawq ya kulevya. Sijawahi kufika hapo panapoitwa ufipa,sina vyeti feki wala sili rushwa na siyo fisadi ila nasema Magufuli alikuwa mfano wa kiongozi mbaya
Kama siyo teja ufipa unatafuta nini?
 
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania...
Tunaitaji majibu ya matatizo ya MTANZANIA,

Hatuitaji vitabu vya project uchwara za kumchafua JPM
 
Vijana kwa wazee, waliowahi kumchukia Hayati Magufuli, ni wapuuzi, wezi, mafisadi na wauza madawa, nani mwenye akili timamu ashadadie kijigazeti cha kijinga hicho?

Kila atakayekupendwa na watu dizaini yao, lazima awe kama wao, akubali nchi itafunwe, iwe jalala la madawa ya kulevya, wajinga wote walio kwenye msululu huo, awape uwaziri hata kama hamnazo!

Upuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
Wacha upoyoyo, magufuli na the so called sukuma gang walikua wanatafta kick kwa kuiba na kuua watu na kutesa, hicho kitabu hakitafutika daima.
Watasoms watoto na vijukuu na vitukuu na kumjua kiongozi dikteta aliyetawala miaka sita tangu 1985.
Dikteta na rais wa kwanza tz kufia madarakani
 
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.


Kama kweli ungekuwa unampenda Magufuli jinsi ulivyoandika hapo juu kamwe usingejaribu kunadi (advertise) hicho kitabu kwa kuweka Title yake, mimi binafsi sikuwa najua kwamba kipo kitabu chenye Anuani hiyo; (I'm the state), sasa kupitia huu uzi wako nimejua na nitafanya juhudi kukitafuta ili nikisome.

Thanks.
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Vipi mkuu? Usipoangalia utaanza kuona vitu.
 
Mungu Baba tunaomba Rais mwigine Kama Magufuli, tumeona fly over ya Ubungo, Tazara, daraja la Tanzanite, daraja la wami, daraja la Busisi Mwanza, Meli Mpya za abiria na mizigo Mwanza, Barbara za lami Tandare, Temeke Tena mtaani, SGR, Bwawa Kubwa la Umeme la Nyerere Jamani ni mengi Sana, Kuna umeme vijijini, maji vijijini, Hospitali za rufaa mbeya, Mwanza, dodoma dah namuita SHUJAA MAGUFULI.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom