Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Amepigwa ban kaja kulwa jilala anatomia ID NyingineEti watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa..!! HUNA AKILI, HAO UNAOWAITA WA UFIPA NI WANANCHI WA NCHI GANI? Hopeless kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepigwa ban kaja kulwa jilala anatomia ID NyingineEti watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa..!! HUNA AKILI, HAO UNAOWAITA WA UFIPA NI WANANCHI WA NCHI GANI? Hopeless kabisaa
Hivi namjuaje mtu aliyepigwa BAN?Amepigwa ban kaja kulwa jilala anatomia ID Nyingine
Magufuli hachafuliwi alijinyea mwenyeweImethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Kuna jamaa yangu anakitafuta sijajua kipo book shop gani. Mwenyewe hata bure sikitaki. Ukinunua unawaungisha hao wabinafsi na waroho wa hela.Kinapatikana wapi ?
Kama siyo teja ufipa unatafuta nini?Magufuli alikuwa mpumbavu anayesifiwa na wapumbavu. Sijawahi hata kuyaona hayo yanayoitwa madawq ya kulevya. Sijawahi kufika hapo panapoitwa ufipa,sina vyeti feki wala sili rushwa na siyo fisadi ila nasema Magufuli alikuwa mfano wa kiongozi mbaya
Wanasoma wengi tu hadi mavyuoni vimeendaHiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Tunaitaji majibu ya matatizo ya MTANZANIA,Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania...
Rip Chacha WangweJiwe alikuwa muovu wa kupindukia.
Sukuma gani bana.Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
UDOM?Wanasoma wengi tu hadi mavyuoni vimeenda
Ni sawa, wewe ni shogaKitabu kipo tunakisoma sana tu.
Wewe hakikuhusu sasa sijui unaumia nini!!
Wacha upoyoyo, magufuli na the so called sukuma gang walikua wanatafta kick kwa kuiba na kuua watu na kutesa, hicho kitabu hakitafutika daima.Vijana kwa wazee, waliowahi kumchukia Hayati Magufuli, ni wapuuzi, wezi, mafisadi na wauza madawa, nani mwenye akili timamu ashadadie kijigazeti cha kijinga hicho?
Kila atakayekupendwa na watu dizaini yao, lazima awe kama wao, akubali nchi itafunwe, iwe jalala la madawa ya kulevya, wajinga wote walio kwenye msululu huo, awape uwaziri hata kama hamnazo!
Upuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
Copy zimeisha wanachapisha nyingine . Huku upareni kinanunuliwa Kama njugu.Kinapatikana wapi ?
Ukiona unaanza matusi jua huna hoja na ni kilazaNi sawa, wewe ni shoga
VipooooUDOM?
Dukani kwa Mangi, anauza kwa kilo!!Kinapatikana wapi ?
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Vipi mkuu? Usipoangalia utaanza kuona vitu.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.