Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mkuuu ili hao wapumbavu wapate Mauzo.

Labda mafisadi watoke wavinunue vyoteee, alafu wakavichome.

Waseme ,Vimenunuliwa.



Mimi huku Sijaona hata mtu mwenye kukizungumzia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huko Gambush nani anunue anaejua kusoma na kuelewa
 
Hachafuliwi alijichafua kwa kujinyea kwenye suruali aliyokua amevaa
 
Alikomeshwa yeye pumbavu zake.
 
Chato empire.
 
Lakini Magufuri alizidi kwa mabaya.
 
Kwa taarifa yako mambo positive aliyofanya JPM yapo wazi kitabu cha nini kwa mfano ? na yataendelea kuishi kizazi kwa kizazi...
Tusubiri Rais Samia nae aandike ya kwake kwenye mioyo ya watu....
Amekwishakufa na upumbavu wake.
 
Kwani nani amekataza mimi nisifariki?Unapoua watu kwa makusudi kwa sababu umepewa mamlaka basi wewe ni takataka,ndivyo huyo mwehu wenu alivyo ni takataka ambayo haijawahi kutokea Tanzania na haitatokea tena maana Watanzania wamejifunza ni bora mzungu atawale nchi kuliko takataka ile.
kufa sio kukomeshwa kwa sababu hata wewe utakufa
 

Watateseka sana wakitaka kumuua Magufulia. Hawataweza kumuua Magufuli asilani. Wanapomtungia vitabu vya hila ndivyo wanavyomuinua.
 
ulikuwa unaua nae?

wewe ni mfano wa watu ambao mnafungwa kwa sababu ya kuongea mambo msiyoweza kuyathibitisha.
 
ulikuwa unaua nae?

wewe ni mfano wa watu ambao mnafungwa kwa sababu ya kuongea mambo msiyoweza kuyathibitisha.
Mungu ni shahidi hata mmtetee,hata mtafute ushahidi wa kutunga,hata mmulinde vipi lakini ukweli utasimama pale pale kwani matendo yake ni mhuri.
 

Hivi kwanza wewe una umri gani unayeongea ugolo kiasi hiki.
 
Sio kila gazeti ni la kusoma na si kila jambo ni la kubisha. Fanya tafiti mwenyewe ili usipotoshwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…