Sasa huko Gambush nani anunue anaejua kusoma na kuelewaMkuuu ili hao wapumbavu wapate Mauzo.
Labda mafisadi watoke wavinunue vyoteee, alafu wakavichome.
Waseme ,Vimenunuliwa.
Mimi huku Sijaona hata mtu mwenye kukizungumzia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hachafuliwi alijichafua kwa kujinyea kwenye suruali aliyokua amevaaHakuna shaka yeyote kwamba harakati hizi za kumchafua Hayati Magufuli,Rais wa awamu ya Tano,kipenzi Cha Watanzania,zimeandaliwa na Morons wa nchi za Magharibi,C.I.A na Mafisadi and given a green light by the current Government.Kuonyesha our opposition to them,we should by the books and burn them.
Alikomeshwa yeye pumbavu zake.Rais Magufuli hachafuki.
wabaya wake wanapaswa waendelee na shughuli zao za kupambana na hali zao.
kama kuwakomesha aliwakomesha na wakawa wadogo zaidi ya piriton
ushauri wangu wasiendelee kupambana na mtu ambaye hayupo bali wapambane na hali zao.
Chato empire.Huwezi kumchafua mtu aliejenga nchi yake kwa moyo wa dhati...angalia project alizoacha...
Sasa waulize hao wanaojiita waandishi wa habari na masponsor wao wameifanyia nini nchi?...
Ndio maana hao wanaojiita wahariri..Meena na wenzie ni takataka tu chini ya jua hili...
Lakini Magufuri alizidi kwa mabaya.Nina mpango wa kuandaa Cha kueleza uzuri wa yule Mwamba licha ya Udhaifu wake lakini alikuwa na Mazuri yake.Kila mmoja ana Udhaifu wake na ndio ubinadamu kuanzia Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete Kila mmoja alikuwa na uzuri wake na mapungufu yake na ndio ubinadamu .Lakini kitendo Cha kuacha kutengeneza Mazuri yako na kukomaa na Mwendazake ni upuuzi mtupu.Kama unaona Kuna sehemu Mwendazake alikwama basi wewe uliyeshika kijiti jitahidi usikwame.
Amekwishakufa na upumbavu wake.Kwa taarifa yako mambo positive aliyofanya JPM yapo wazi kitabu cha nini kwa mfano ? na yataendelea kuishi kizazi kwa kizazi...
Tusubiri Rais Samia nae aandike ya kwake kwenye mioyo ya watu....
kufa sio kukomeshwa kwa sababu hata wewe utakufaAlikomeshwa yeye pumbavu zake.
Ufisadi na uuaji.Magu na Kazi zake zinajulikana Duniani kote, mauzo ya Kazi gani?
kufa sio kukomeshwa kwa sababu hata wewe utakufa
Huwezi kumchafua mtu aliejenga nchi yake kwa moyo wa dhati...angalia project alizoacha...
Sasa waulize hao wanaojiita waandishi wa habari na masponsor wao wameifanyia nini nchi?...
Ndio maana hao wanaojiita wahariri..Meena na wenzie ni takataka tu chini ya jua hili...
ulikuwa unaua nae?Kwani nani amekataza mimi nisifariki?Unapoua watu kwa makusudi kwa sababu umepewa mamlaka basi wewe ni takataka,ndivyo huyo mwehu wenu alivyo ni takataka ambayo haijawahi kutokea Tanzania na haitatokea tena maana Watanzania wamejifunza ni bora mzungu atawale nchi kuliko takataka ile.
Hicho hata wakinipa bure nachoma moto.
Mungu ni shahidi hata mmtetee,hata mtafute ushahidi wa kutunga,hata mmulinde vipi lakini ukweli utasimama pale pale kwani matendo yake ni mhuri.ulikuwa unaua nae?
wewe ni mfano wa watu ambao mnafungwa kwa sababu ya kuongea mambo msiyoweza kuyathibitisha.
wala Mungu hayuko hivo unakosea sana kuandika hayo uloandika Mungu si kama mwanadamuMungu ni shahidi hata mmtetee,hata mtafute ushahidi wa kutunga,hata mmulinde vipi lakini ukweli utasimama pale pale kwani matendo yake ni mhuri.
Kwani nani amekataza mimi nisifariki?Unapoua watu kwa makusudi kwa sababu umepewa mamlaka basi wewe ni takataka,ndivyo huyo mwehu wenu alivyo ni takataka ambayo haijawahi kutokea Tanzania na haitatokea tena maana Watanzania wamejifunza ni bora mzungu atawale nchi kuliko takataka ile.
Sawa dada, nakubali.Kwa vile wewe ni mjinga na mpumbavu.
Sawa kama nakosea Mungu ni shahidi na atanihukumu kwa makosa yangu lakini yule jamaa matendo yake ni mhuri.wala Mungu hayuko hivo unakosea sana kuandika hayo uloandika Mungu si kama mwanadamu
Hivi kwanza wewe una umri gani unayeongea ugolo kiasi hiki.
Na wewe mpumbavu una umri gani?