Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
pole babu!Wapo ma she wanavaa ajabuajabu ila hawana roho mbaya na tabia zao zimenyooka..nishawahi ona she za hivyo mingi tu.
Lakini kwanini unatukosea tutajadili vp bila macho kupata chakula yake? Unatukosea sana ☹️
kama ni rahisi ivyo tangaza na wewe basi!Kweli hali ni ngumu,biashara inatangazwa wazi wazi kweupe peeeeeeee
Amen brother!Biblia huna uwezo wa kuifasiri. Biblia inakuhitaji ushukiwe na Roho Mtakatifu ndipo utaweza kuifasiri na kuyaelewa mafumbo yaliyomo humo.
tunaongelea malaya walioolewa bwana acha wazimu!Huo ndo ukweli,mavazi hayo ya Kikahaba yanawakosesha watu wengi kupata waume wa kuoa, na hata wakiolewa ndoa zao hazidumu,kwani wengi wao huwa wameolewa na majini mahaba,na wanafanya ngono kwenye ndoto! Hivyo ulivyoambiwa ndivyo ilivyo vaa mavazi ya staha utapata mme fasta
amen brother!Acha kupotosha na kuleta ujuaji feki.
Pale Yesu aliongelea TOBA.
Mathayo 21:28
Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, Mwanangu, leo nenda kafanye kazi katika shamba la mizabibu.
Mathayo 21:29
Akajibu akasema, Naenda, Bwana; asiende.
Mathayo 21:30
Akamwendea yule wa pili, akasema vile vile. Naye akajibu akasema, Sitaki; baadaye akatubu, akaenda.
Mathayo 21:31
Je! Katika hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya babaye? Wakamwambia, Ni yule wa pili. Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Mathayo 21:32
Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.
Biblia sio dhaifu!Acha kutetea udhaifu wa bibilia hapa walikosea sana kuandika hivi coz wanawapa moyo watendao mabaya wakibadilika wanakuwa watu wa mungu huu ni upambavu ambao hata choon haunyeki,,, mimi sio mkiristo wala muislam, mtu wa din yoyote mwenye ubinadamu napokea mawazo yake mazuri
"Ubinadamu ni bora kuliko udini
Wote tumezaliwa kwa mimba ya miezi 9" udin ustutawale
NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!Ndo yale mwandishi anamaanisha?!
cc:
Mi sio kahaba, siwezi fanya hvyo asilanikama ni rahisi ivyo tangaza na wewe basi!
Kumbe mimi huenda bado sijaelewa vizuri.NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
HAIYAA!Kumbe mimi huenda bado sijaelewa vizuri.
UJE USOME HADITHI YA KANISAhakika kwa kiasi flan mavazi nitafsiri ya mtu,japo wengine niuzungu tu ila yatupasa kujistiri
ASUBUHI AU JIONI AU MCHANA?!Kwani ukikuta chakula kilicho wazi na kilichofunikwa utakula kipi?
AISEE! BASI USIMHUKUMU MWENZIOMi sio kahaba, siwezi fanya hvyo asilani
hata sielewi nimetamani kumjua mchungaji wake!