Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Wapo ma she wanavaa ajabuajabu ila hawana roho mbaya na tabia zao zimenyooka..nishawahi ona she za hivyo mingi tu.

Lakini kwanini unatukosea tutajadili vp bila macho kupata chakula yake? Unatukosea sana ☹️
pole babu!
 
Huo ndo ukweli,mavazi hayo ya Kikahaba yanawakosesha watu wengi kupata waume wa kuoa, na hata wakiolewa ndoa zao hazidumu,kwani wengi wao huwa wameolewa na majini mahaba,na wanafanya ngono kwenye ndoto! Hivyo ulivyoambiwa ndivyo ilivyo vaa mavazi ya staha utapata mme fasta
tunaongelea malaya walioolewa bwana acha wazimu!
 
Acha kupotosha na kuleta ujuaji feki.
Pale Yesu aliongelea TOBA.

Mathayo 21:28
Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, Mwanangu, leo nenda kafanye kazi katika shamba la mizabibu.

Mathayo 21:29
Akajibu akasema, Naenda, Bwana; asiende.

Mathayo 21:30
Akamwendea yule wa pili, akasema vile vile. Naye akajibu akasema, Sitaki; baadaye akatubu, akaenda.

Mathayo 21:31
Je! Katika hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya babaye? Wakamwambia, Ni yule wa pili. Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.

Mathayo 21:32
Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.
amen brother!
 
Acha kutetea udhaifu wa bibilia hapa walikosea sana kuandika hivi coz wanawapa moyo watendao mabaya wakibadilika wanakuwa watu wa mungu huu ni upambavu ambao hata choon haunyeki,,, mimi sio mkiristo wala muislam, mtu wa din yoyote mwenye ubinadamu napokea mawazo yake mazuri

"Ubinadamu ni bora kuliko udini

Wote tumezaliwa kwa mimba ya miezi 9" udin ustutawale
Biblia sio dhaifu!
 
hakika kwa kiasi flan mavazi nitafsiri ya mtu,japo wengine niuzungu tu ila yatupasa kujistiri
 
Bado una utoto sana kaangalie wazazi wako wanavaaje kwanza.

Hayo mavazi Kwa kutumia akili tu huwezi kuvaa .

Wiki iliyopita tulienda kuzika tulikuwepo mpaka kweny ibada Kwa vile ni mfanyakazi mwenzetu, watu wa dini zote .


Ninachoshangaa wadada kama wote wamevaa hayo mavazi yao ila wanajihstukia mara wafunge kanga miguuni mara hivi ,yaani hawapo comfortable kabisa na wametoka kwao hivyo hivyo ...Sasa yote hayo ya nn?
 
Back
Top Bottom