Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Mi nao Hedhi ndy inakusumbua ukimaliza Siku zako Chafu hizo nitag nije tubishane sasa namashaka na ufanisi wa Akili yako
 
Sasa unaukana mstari wa biblia? Shambulia maandiko axhana na mimi.

Mimi naona aliyeandika au aliyetafsiri Biblia anamsingizia maneno Yesu.
 
Biblia huna uwezo wa kuifasiri. Biblia inakuhitaji ushukiwe na Roho Mtakatifu ndipo utaweza kuifasiri na kuyaelewa mafumbo yaliyomo humo.
Porojo hizo. WPI BIBLI imefundisha kuwa hii "biblia" huwezi kuielewa mpaka ushukiwe na roho mtakatifu? Kwanza hata neno 'biblia" huwezi kulikuta ndani ya biblia, ni neno la kigiriki hilo linamaanishia vitabu, au siyo?

Biblia yenyewe tunayoiongelea siyo orijino ni tafsiri ya tafsiri ya tafsiri...

Sema wewe mwenye roho mtakatifu, "makahaba" maana yake nini?
 
UMALAYA ndiyo maana mnaishia kuzalishwa na kutelekezwa...
Mwanaume mwenye akili anaoa na kuishi na mwanamke anayejitambua na menye heshima...
Nyie mbumbumbu mtabak kuwa singo maza
 
UMALAYA ndiyo maana mnaishia kuzalishwa na kutelekezwa...
Mwanaume mwenye akili anaoa na kuishi na mwanamke anayejitambua na menye heshima...
Nyie mbumbumbu mtabak kuwa singo maza
Bwana Yesu asifiwe
 

Wewe Bibi acha kupotosha ,unaqoute kimstari kimoja bila kujua context nzima ya hiyo hoja ya makahaba na watoza ushuru ,yesu alikuwa anazungumza kwa mifano ,hao makahaba na watoza ushuru waliotubu na kuamini wataiona pepo! Ina maana kwenye dini yenu islam watenda dhambi wakija kutubu Mungu hawasamehi?
 
Inategemea unainywea wapi....house furnished with full AC...perfect...sio kwa mtogole huko 😂
Dar hatunywi chai Ila kakako analalamika demu wake kikojozi nenda kamsikize
 
Shemeji njoo huku bwana UONE vikojozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…