Hakika hii ntaish nayo, Habar za kusema tabia sio mavazi mara Yesu anaangalia moyo ni Unafiki kabisa.Hii ni kanuni mkuu. Mindest iliyokusukuma kuvaa hivyo ndivyo ulivyo.
Mke wa Yuda alipotaka kunasa mwanaume alivyaa mavazi ambayo yalitafsiri nia yake na akamnasa kwa mavazi yale bahati mbaya akawa amelala na Baba mkwe wake.
Mambo ya imani huitaji ushabiki wala kutumia nguvu nyingi kuyachambua.
Ndo wakagonganie kanisani usiku na modo zao?Watu wadini dunia nzima ndo watu wanafiq so usimwangalia kapola tu
Mtoa mada sioni kama una hoja ya msingi, kama suti ni kipimo cha utu wema jichunguze...Kwani huwa anawavutia kimwili au kiroho?
Leta mrejesho, ashaliwa na Mabwana wangapu uko baada ya Kapola mwenyewe.Namuuliza sasa hivi
Anakula pesa za madini ya Zimbabwe. Halafu kanawaongopea vijana blahblah nyiinngHivi yule ni pastor? Mi nlijua ni motiveshno spika
.Leta mrejesho, ashaliwa na Mabwaba wangapu uko baada ya Kapola mwenyewe.
Hua Na mashaka Nae ....mahubiri yake sanasana hua motivation speech Na watumishi matapelii hua wanakimbilia humo motivation speaking kuhusu kutajirika Bora mwamposa ye ameona asiwe mnafiki kanisani kwake hakuna mahubiri Ni maombezi Na sadaka......A true man of God Hua anapreach about kingdom of God Na habari za wokovu Na kuwaasa watu waache dhambi Na kutubu
Nakubaliana Na wewe....Kwa harakaharaka utagundua Tabia za mtu Kwa kumwangaliavazi yake Na maongezi yakeMavazi ni index ya tabia ya ndani.
Ukivaa kihuni maana yake kuna correlation kati ya uhuni na mavazi yako.
Hii ni universal principle sio kitu cha kujadili. Kuvaa ni tendo. Na Yesu anasema utawatambua kwa matendo yao.
weka picha yake mkuuNilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?
Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.
Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.
Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla
Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU
Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa
Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu
Nawasilisha.
Hakika uko sahih, Haya makanisa ya Kina Tony, kina Mamposa na Wahuni wa aina yake ni kwajil ya Mafisadi, Wazinzi, Wachawi, Wajinga na Malaya.Hua Na mashaka Nae ....mahubiri yake sanasana hua motivation speech Na watumishi matapelii hua wanakimbilia humo motivation speaking kuhusu kutajirika Bora mwamposa ye ameona asiwe mnafiki kanisani kwake hakuna mahubiri Ni maombezi Na sadaka......A true man of God Hua anapreach about kingdom of God Na habari za wokovu Na kuwaasa watu waache dhambi Na kutubu
Yani mchungaji ndo anatongozwa na wadada au yeye ndo anawatuma wadada wamtongozee?
Shule ulienda kusomea ujinga?Yani mchungaji ndo anatongozwa na wadada au yeye ndo anawatuma wadada wamtongozee?
Sijaelewa nani anatongozwa na nani anatongoza, Any way umethibitisha kuna Kugongana baina ya Wachungaji na Waumini.Shule ulienda kusomea ujinga?
Nini hujaelewa hapo🤸
Unaforce mawazo yakoSijaelewa nani anatongozwa na nani anatongoza, Any way umethibitisha kuna Kugongana baina ya Wachungaji na Waumini.
Aaah ashazipiga sana wacha apumzike bila shaka anawakataa Wabovu wabovu, wakali anakula kimya kimya🤣Unaforce mawazo yako
Waumini baadhi wanamtongoza mchungaji lakini yeye anawakataa
Nimetumia lugha nyepesi usipoelewa basiiii
Ati mshamba_mwingine unaona kuna Pastor wa kukataa uchi hapo?Unaforce mawazo yako
Waumini baadhi wanamtongoza mchungaji lakini yeye anawakataa
Nimetumia lugha nyepesi usipoelewa basiiii