Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Shida ya vyeo vya kupewa inabidi kujivua nguo hata mbele ya watoto ili kumfurahisha aliyekupa cheo. Kwa nafasi yake hakutakiwa kuliongelea kwa vyombo vya habari kwa sababu suala liko mahakamani
 
Mwambie mkuu wa mijibwa ya CCM awazuie hao mawakili
 
Mama Samia either amekubali kudanganywa kindezi na hard-liners ndani ya taasisi za juu au hana total control juu ya baadhi ya mambo nyeti. Vitu vingine ni kujitafutia unnecessary attention zinazojenga taswira negative na kufuta yote mazuri yaliyokuwa yameanza kuonekana. Hata kama Mama anataka kustamp her authority, sio kwa vitu kama hivi.

Yaani wale Mashekhe wa uamsho sio magaidi ila Mbowe ni gaidi? Tell it to the birds..
 
twahitaji hekima katika yote yatuzungukayoo
 
CCM, ushawishi uliisha toka 2010.
Kilichopo sasa ni kuhangaikia moyo wao tu.
Tume ya uchaguzi imetumika, imeshindikana.
Hela yetu ya serikali imetumika, imeshindikana.
Jeshi limetumika, imeshindikana
Mahakama imetumika, imeshindikana.
Watakapo kuja kutafuta mwafaka kwa mazungumzo na makundi mbalimbali, itakuwa washa chelewa.
Kilichobakia ni kuondolewa kwa nguvu na kudhalilishwa kusiko kifani na kinyume na haki za binadamu.
Tusubiri hiyo siku haipo mbali.
Tulisema hivi hivi kwa mwenda zake, werevu wslishituka ,ila walevi wa madaraka wajabakia na hangover zao.
 
"kutokakana na uwepo wa janga la corona mahakama imeruhusu jumla ya watu wasiozidi kumi na tano kutoka pande zote mbili, kuhudhulia kesi unayomkabili Mh. Mbowe, 5/8/2021" Jaji

Corona!! Corona!!! Corona!!!....... [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Afrika ina vituko sana.
Wale wazungu wanaotusema na kutunanga, wanapoteza muda tu. Hizi mbichwa ni kizungumkuti.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…