Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Kama ni msamaha kina Kingai na wenzake ndiyo wanatakiwa kuomba msamaha kwa kutesa watu na familia zao bila sababu. Mbowe hana sababu ya kuomba msamaha kwa sababu hana kosa
 
Nadhani walimmisslead. Alipohojiwa na BBC alisema "nadhani wenzake (Mbowe) wanatumikia vifungo vyao" . Hivyo alijua kuwa tayari wamehukumiwa na ni wafungwa na siyo mahabusu
 
Even if ikiwa hivyo. Next time mbowe anatafuta walinzi awe extra careful maana now ajue vyombo vinatafuta kila upenyo wa kumuweka ndani
 
Kwani kuna dhambi gani Mbowe kumtumia Urio pesa? Lakini pia upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa hizo pesa zimetumika kufadhili vitendo vya kigaidi.
Subirini kesho- ndiyo mjadala utanoga
 
Je unajua kwamba Samia Suluhu Hassan akihojiwa na BBC SWAHILI, alisema kwamba MBOWE ni GAIDI?

Je MBOWE kaacha lini ugaidi? Naomba majibu, na nitakudai
Lissu akizungumza na Samia alitaja hiyo kesi kama haina maana. Hii ina maana hata maoni ya mama kuhusu hiyo kesi hayakuwa sawa, alipotoshwa na waliofungua kesi sababu rais siye aliyefungua kesi ila wakamuingiza mkenge.
 
Kuna sababu zozote wametoa??
Mawakili wa mashitaka wanadai ushahidi wao umekamilika, hivyo mahakama ione kwamba Mbowe na watuhumiwa wengine wana kesi ya kujibu. Sababu yao ni kiwango cha ushahidi kimejitosheleza kuishawishi mahakama kutoa maamuzi na kuwaona washitakiwa wana kesi ya kujibu.
 
Hoja nzuri sana. Nadhani hata wale wenye ubishi wa kisiasa, wasome hapa ili tusonge mbele kama Taifa. Tuanze upya.
 
Hata mimi sijaelewa hapa, siasa ni michezo kama michezo nyingine.

Tumsubiri chifu arudi nchini tuone kama atasema lolote.
Judge anatoa uamuzi tr 18/02/2022. Chifu akihojiwa na Sudi Mnete wa DW, amesema kesi iko mahakamani na iachwe iamue kama watuhumiwa wana hatia au la. Chifu kajiweka mbali na hili. Watu wasimuingize huku kwa aina yoyote ya maamuzi ya mahakama.
 
Judge anatoa uamuzi tr 18/02/2022. Chifu akihojiwa na Sudi Mnete wa DW, amesema kesi iko mahakamani na iachwe iamue kama watuhumiwa wana hatia au la. Chifu kajiweka mbali na hili. Watu wasimuingize huku kwa aina yoyote ya maamuzi ya mahakama.
Ati chifu kajiweka mbali😂 yeye ndo mtoa order kutoka juu leo kajiweka mbali, siasa zina vituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…