kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Jingalao hujambo
Aliyetakiwa kutamka hayo ni republic ilisasa utetezi utete kuhusu vikundi hivo
Aliyetakiwa kutamka hayo ni republic ilisasa utetezi utete kuhusu vikundi hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la mtu huakisi kilichomo ndani ya utashi wake! Jingalao linajitanabaisha kwani kweli ni mjinga wetu! Mlilodhani mmelipatia kumbe mmebug big time!Nawashauri mawakili wa Mbowe ambao mara zote wamekuwa wakisaka kiki za mitandaoni waache hizo.
Kesi ya Mbowe ni kubwa yenye kuhitaji weledi.Jina
These are rubbish!1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?
2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?
3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?
Nawashauri mawakili wa Mbowe ambao mara zote wamekuwa wakisaka kiki za mitandaoni waache hizo.
Kesi ya Mbowe ni kubwa yenye kuhitaji weledi.