Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Na Ndo unaelezwa pia kwamba kesi hushinda au kushindwa kwenye hizo hizo technicallities! Wanacho fanya kina Kibatala, ni kuonesha, kwa kupitia hizo minor technicalities, kuwa kesi ile ni batili, ya kutunga, yenye nia ovu ya kumuumiza Mwamba! Maswali yako ‘makubwa’ matatu hayana uzito kwenye wigo wa sheria! Mechi inapigwa kwenye details, small ‘magne’ ofNadhani baadhi mmenisoma vibaya pamoja na kwamba nimeeleza mtazamo wangu kuhusu kesi hii ukoje. Angalia hata title ya uzi, nimetoa ushauri ili kesi iende haraka, Mbowe aachiwe huru mapema. Nikasema kwa uzito wa kesi, haiwezi kufutwa kwa sababu ndogo ndogo kama hizo za technicalities za ukamataji. Hii siyo kesi ya kuiba mayai.
Details ndugu yangu!