Mawakili wa Mbowe waache maswali yasiyo na msingi, ulizeni maswali ya maana mteja wenu aachiwe haraka

Mawakili wa Mbowe waache maswali yasiyo na msingi, ulizeni maswali ya maana mteja wenu aachiwe haraka

PGO inaweza isifatwe ila isiwe kinga ya kosa lako la msingi.

ndio maana sisi wengine toka mwanzo,tunatafakari tu ukweli wa tuhuma za mbowe.

ni kweli ama si kweli??hapa mawakili wanatakiwa watulie sio kutusherehesha.
Issue hapa ni kesi ndogo,kesi ya msingi bado!Kwenye hii kesi ndogo,upamde wa utetezi unapinga maelezo yaliyochukuliwa kwa watuhumiwa kupokelewa kama kielelezi katika kesi ya msingi!Sasa ili kufanikisha hilo,ni lazima jaji ajiridhishe kuwa kulikuwa na ukiukwaji wa haki katika upatakanaji wa huo ushahidi!Kufanikisha hilo ni muhimu mawakili kuraise issues ili mashahidi wakose Credibility mbele ya Jaji!
Ungekuwa umepitia comments ungeelewa!
 
Haya ndugu mtaalamu wa kross examine unalizwa shahidi eeeh wakati unamkamata mtuhumiwa alikula nini
Jibu energ na nyama choma
Alinunua nani. Afande tayar
Professional za watu ww kibaka......
watu wamesota vyuoni wakisoma hayo mambo na experience kibao
unakuja ww tundu wazi unakejeli
stupid kabisa
 
Mtuhumiwa mlimkamata akiwa anakunywa supu au anatembea? tayari swali hilo la wakili msomi halafu baada ya jibu hakuna kinachofuata yaani alikuwa na maana gani kuuliza swali kama hilo
Ndivyo namna ya uulizaji wa maswali mahakamani. Baada ya jibu, Hakimu au Jaji anapata point na ku note down ukweli au uongo wa shahidi.
 
Niliwaza hivi ila nikahisi kwakuwa ikisikilizwa kwanza kesi ndogo katika kesi ya msingi nikaona bora niache kwanza, ila kwa hisia zangu naona kabisa Mh Mbowe uenda akatiwa hatiani lakini wanajaribu kuwahi asifikie huko na ndiyo maana wameenda kufungua kesi mahakama ya kimataifa kupinga kukatwa kwa Mbowe kama kulikiuka haki zake.
Tukisimama kama nchi, kufungwa kwa Mbowe (kama akifungwa), kutaleta manufaa gani kwa Taifa letu Tanzania??
 
Sidhani kama anafuatilia, naona hata comments hakusoma. Inafahamika hii ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa.
Na nadhani mnakosea pia kusema kesi ndogo ndani ya kesi kubwa, au tafsiri za kiswahili ndiyo shida. Kesi ni moja tu, sema ni hatua za awali za kesi hiyo.

Kesi nyingine ilikuwa ni ile iliyofutwa jana, ile ndiyo ungeweza kuita kesi ndogo ndani ya kesi kubwa, hahah.

Ila ni kweli, siyo mfuatiliaji wa kila siku wa kesi hii. Mimi siku zote mambo ya nchi hii naangalia msingi wa kinachoendelea na kinachoongelewa ni nini. Kwa mtazamo wangu, wengi huwa mnachotwa na vitu vidogo vidogo mnasahau hata mada kuu na ya msingi ni nini.
 
Hayo Maswali yako Unayo-Propose na Kuyaita ya Msingi tofuti na Ya kwenye PGO ni Zero kwa kesi inayomkabili Mbowe na Wenzake. Hayo Maswali yako ni ya Kutafutia kura kwenye Mikutano ya campaign, hivi kwa mashahidi unaotolewa na Mashahidi wa upande wa srikali Utambaulia nini si utakuwa nje ya case. In Short Maswali yako hayana mantiki.

Serikali Imewaleta mashahidi na wanakuwa cross- eximined na Upande wa utetezi kulingana na kile wanachokuja kutestify. Maswali yako yatunze yatatumika siku Mbowe akiwa anaomba kura za uraisi- 2025
Hayo maswali yasipoulizwa na kupata ufafanuzi ndani ya mahakama, hakutakuwa na CHADEMA baada ya kesi hii.
 
Professional za watu ww kibaka......
watu wamesota vyuoni wakisoma hayo mambo na experience kibao
unakuja ww tundu wazi unakejeli
stupid kabisa
Kama tundu ni neno la kukera ujue hata chadema kuna tundu
Nikukumbushe tuu hiyio professional hajasoma Kibatala peke ake jinga jinga wewe
 
Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.

Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.

1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?

2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?

3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?

Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.

Mawakili wa Mbowe, acheni kukariri kuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kesi.
M
Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.

Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.

1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?

2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?

3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?

Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.

Mawakili wa Mbowe, acheni kukarmashwakuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kk
 
Nyie Ni vilaza,afande Kingai alisema waliwakamata watuhumiwa wakiwa wanakunywa supu, shaidi mwingine anasema waliwakamata wakati wakiwa wanatembea, Sasa ulitaka waulizwe kuhusu wewe mtoa mada ni kwanini ni mtoto wa haramu!!!!
Mashwari yoko ni mazuri lakini yanatakiwa aurizwe Siro wala siyo mtu mwingine, subili siku yake ifike
 
Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.

Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.

1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?

2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?

3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?

Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.

Mawakili wa Mbowe, acheni kukariri kuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kesi.
Mkuu,umewahi kushatakiwa?Umewahi kwenda mahakamani?Unafikir hayo maswali yakoanatakiwa aulizwe nani?na aulizwe wakati gani?Maswali yako yataulizwa tu tena na magumu kuliko hayo.Kinachofanyika hapo sasa hivi ni Kubomoa KESI kwa upande wa utetezi na KUJENGA kesi kwa upanda wa mashtaka.Technicalities ni moja kati ya groundza kubomoa kesi ya mshtaki wako mahakamani.

Endelea kula mtori,nyama zipo chini kijana.
 
Maswali ya sasa yanalenga kuutupilia mbali ushahidi wa Kingai, halafu kesi ya msingi itaendelea. Ushahidi huo ukitupwa then wanaofuata kutoa ushahidi 'miguu' yao inakuwa myepesi
 
Wanataka kuwaninginiza hakina Kangai na Mahita, naona dalili ya hawa watu 2 kuja kufungiliwa kesi
 
Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.

Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.

1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?

2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?

3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?

Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.

Mawakili wa Mbowe, acheni kukariri kuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kesi.
wew ulitakiwa ukampe mbinu kingai na wenzake namna ya kujibu maswali siyo kuleta unafiki.

Nikuulize wewe central na mbweni wapi kwenye usalama?

Central na mbweni wapi kwenye polisi wengi na silaha nyingi?

Ulishawahi kusikia mtuhumiwa katoroka central?

Toka umezaliwa na kuishi ulishawahi kusikia jamiiforums imefungwa?
 
Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.

Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.

1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?

2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?

3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?

Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.

Mawakili wa Mbowe, acheni kukariri kuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kesi.
wawe objectiv
 
Hayo Maswali yako Unayo-Propose na Kuyaita ya Msingi tofuti na Ya kwenye PGO ni Zero kwa kesi inayomkabili Mbowe na Wenzake. Hayo Maswali yako ni ya Kutafutia kura kwenye Mikutano ya campaign, hivi kwa mashahidi unaotolewa na Mashahidi wa upande wa srikali Utambaulia nini si utakuwa nje ya case. In Short Maswali yako hayana mantiki.

Serikali Imewaleta mashahidi na wanakuwa cross- eximined na Upande wa utetezi kulingana na kile wanachokuja kutestify. Maswali yako yatunze yatatumika siku Mbowe akiwa anaomba kura za uraisi- 2025
Mbowe akifungwa ñi msumari mmoja mkubwa sana umegongewa kichwani kwa hangay..
 
Asante kwa kuliona Hilo hao mawakili wanauliza maswali mepesi ka unyoya wa jogoo kishenzi na kuacha maswali nkonki ka hayo uliyoyaandika Sasa hawako critical kwenye ku frame maswali ya maana
Wewe na mtoa mada hamna uwelewa wakutosha juu ya tasnia nzima ya sheria. Maswari yanayoulizwa sasa ni ya msingi sana juu ya case ndogo ndani ya case kubwa ya UGAIDI. Subiri wanaojua sheria wamalize then you can come up with your conclusion after the judgement.
 
Back
Top Bottom