Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini aitwe mheshimiwa kwa tabia hizo alizoonyesha?Waanika tuhuma dhidi yake, wataka zichunguzweView attachment 2505238
Haiwezekan nchi iwe na wazalendo uchwara, acha inyeshe tu tuone panapovuja!!Duh
Hata Ndugai walianza UVCCM kumkataa kilichofuatia wote tunakielewa
Aliyekuwa Makamu wa Rais enzi hizo uzalendo wake upo wapi?. Huyo ndio suspect no. 1Haiwezekan nchi iwe na wazalendo uchwara, acha inyeshe tu tuone panapovuja!!
Hii kada ya sheria inanishangaza sana.yaani mtu anayetuhumiwa kuminya haki za watu ndie anakuwa Jaji? Sasa huko ana jaji nini?Waanika tuhuma dhidi yake, wataka zichunguzweView attachment 2505238
Wacha inyeshe tujue panapovuja.Aliyekuwa Makamu wa Rais enzi hizo uzalendo wake upo wapi?. Huyo ndio suspect no. 1
Rais alisema vile ana taarifa zoteLazima huyu jamaa ac zake zimenona
Ova
Sema tu kwa vile ni Tanzania.Mfalme hahitaji facts sana kumuondoa, he is a political appointee
Sema tu kwa vile ni Tanzania.
Jaji haondolewi kizembe sehemu nyinginezo.
Bibi amelikoroga, kama alikuwa anaongea tu kuchangamsha genge bila concrete evidence hapo ndio itajulikana. By the way, ina maana kweli Rais hakuona umuhimu wa kutengua uteuzi wake mpaka afundishwe na mawakili?.
Kumuondoa Jaji ndio kuna hatua za kufuata mpaka kuunda Tribunal Board ifuate mchakato wote ila kumuondoa Jaji Mkuu hakuna mchakato wowote wa kufuata. Ibara ya 118 ya Katiba iweka wazi hapo.Sema tu kwa vile ni Tanzania.
Jaji haondolewi kizembe sehemu nyinginezo.