Mawasiliano ndio kigezo kikubwa kinachoonyesha kama kuna mapenzi au ndio yamejifia

Eeeeh kumbe,,basi ngoja niunganishe good morning nyingine kwenye good night ya jana, ambayo hata haikujibiwa, pamoja na good morning ya jana.
Mpendwa ikiwezekana unamuonganishia za wiki nzima ,yeye si anajifanya yupo bize
 
Sio kweli uwezi kumpima mpenzi wako kwa kuwasiliana na simu mara kwa mara apana na ninaevidence ya ili.
Chief hapa hatumaanishi kila mda mnawasiliana hapana,lakini average kwa siku walau mara mbili basi,,,sasa kama hamchekiani kabisa basi ujue hilo penzi lipo ICU linapumulia gas
 
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Nna gozi langu tunachunana miaka 45 sasa.
Mpe mpwa game. Mtoto akililia wembe sharti apewe. We kumpa mechi ya kirafiki mtoto ajionee mema ya wakubwa utapungukiwa kitu gani. We unadhani ataweza ikeshea huyo, watoto kama hawa unawapa mechi ya kibabe ili wawe na adabu pale wanapoona wakubwa zao.

Sasa unavyokimbia nani atamtia adabu ya kisawa sawa kijana wetu?
 
kampe wewe, unangoja nini?

Mimi siyo mama huruma.
 
hapo kuna mmoja karogwa!..😂
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…