Mawasiliano ndio kigezo kikubwa kinachoonyesha kama kuna mapenzi au ndio yamejifia

muone sasa mbona ulinicheka
 
Chief hiyo kumpenda unajua wewe,,lkn je yeye atajuaje?

Atajua kuwa unampenda kwa kuwasiliana nae na kumpa mda wako period

kitendo cha wewe kumcheki hata kwa sekunde 30 tu kinathamani sana kwake,,tatizo hatuko romantic wengi wetu
 
Bugal
 
Nimeipenda hii
 
Asante sana
 
Naomba tuelewane hapa,,kuwa na mawasiliano mazuri haimaanishi kwamba hakutakuwa na changamoto laa! Na hatumaanishi kuchat kila mda au kupigiana simu kila mara,,kikubwa kuwe na mawasiliano kati yenu

Kuna mtu wangu nilikuwa nampigia na kumwambia "nimekupigia kukwambia nakupenda" ni simu ya sekunde 10 lkn ina impact kubwa sana kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…