Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Ni rahisi tu kupata majibu ya hili tukufaham majawabu ya haya:
Mwajiri wa Mbunge ninani, na Ofisi ya Mbunge inapaswa kuwa wapi?
Kwangu Mimi, kituo Cha kazi Cha Mbunge ni Kule alikochaguliwa. Uwaziri ni jukumu la matokei ya ubunge wake.
Kwaiyo, wanastahili kulipwaaaaa.
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
KATIBA MPYA NI SASA
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Naunga mkono hoja
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Tukijadili posho za Rais, waziri mkuu, mawaziri, jaji mkuu, spika, wakuu wa vyombo vya ulinzi na wengine wenye mamlaka kama hayo, ni vigumu kupata ukweli halisi.
Hawa wanaweza kujipangia pesa nyingi sana, zinazojulikana na zisizojulikana.
Cha muhimu ni kupambana nao waongoze kwa haki na uadilifu katika mambo ya wazi.
Kipaumbele kiwe kuwadhibiti kama wakitoa maamuzi ya hovyo, yasiyo ya haki na yaliyo kinyume na katiba au sheria, hayo ya vipato yatakuwa yamekwisha moja kwa moja.
 
Tukijadili posho za Rais, waziri mkuu, mawaziri, jaji mkuu, wakuu wa vyombo vya ulinzi na wengine wenye mamlaka kama hayo, ni vigumu kupata ukweli halisi.
Hawa wanaweza kujipangia pesa nyingi sana, zinazojulikana na zisizojulikana.
Cha muhimu ni kupambana nao waongoze kwa haki na uadilifu katika mambo ya wazi.
Kipaumbele kiwe kuwadhibiti kama wakitoa maamuzi ya hovyo, yasiyo ya haki na yaliyo kinyume na katiba au sheria, hayo ya vipato yatakuwa yamekwisha moja kwa moja.
Lakini mbona wenzetu wanawaadhibu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo ubadhirifu wa fedha, rushwa na kujilimbikizia mali, wao wanajuaje kuwa hawa jamaa wanakula kuliko urefu wa kamba zao?
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
***** zao, wanatukamua tozo kila uchwao ili wajineemeshe wao na familia zao
 
Tatizo mambo haya huwa tunakosa wa kutusemea hata wale tunaoamini ni watetezi wetu hukuti kupigia kelele masuala haya.
Iko hivi, hii nchi ina watu ambao akili zao zimelala sana. Unaweza kumtetea mtu maskini ili apate haki yake halafu mtu huyohuyo anayetetewa anakuponda vibaya. Hivyo acheni wakae Kimya tu, tena baada ya kuona wananchi wengi hawajielewi nao wameona waunge tu juhudi wapambanie familia zao.

Kina Zito, Mdee na wenzake wa Covid 19, Kafulila, Mbatia, Mbowe, Lisu, Lema, Kitila Mkumbo, Nassary, Msigwa, Heche, Wilbroad Slaa, Waitara nk nk nk nk ukifuatilia siasa zao za nyuma kwa kiasi kikubwa unashawishika kuwa walikuwa na dhamira ya kweli LAKINI BAADA YA KUCHOSHWA NA UMBUMBUMBU WA WATU ambao hawajielewi hata 1/4 nao wameona waunge juhudi waziwazi na wengine wanaunga juhudi nyuma ya bazia kimyakimya.
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Tatizo yeye kakuta huu mfumo na nina imani haujaanza juzi au jana tuwangoje wajuaji waje kufafanua
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Ungekia waziri usingesema yote haya
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Huyo Heche aache unafiki. Zito kabwe aliwahi jieleza wabunge uharali wa kutopokea hiyo posho ya "Makalio"

Hao hao kina Heche waliungana na upande wapili kumshambulia Zito nakumuita majina mabaya.

Leo anataka kutushawishi tumuonee huruma? Kwani Chadema haikua nawa bunge wanao ishi Dododoma?
 
Bungeni ni sehemu ya kazi, tena yeye ndio msimamizi mkuu wa shughuli za serikali bungeni so ni sehemu ya ofisi yake. Hastahili kuwa na perdiem...
Bungeni ni sehemu ya kazi. Wabunge wa Chadema hiyo hoja waliikataa.
Kumbuka posho ya waziri mukuu, ni sawa na ya kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni.
 
Back
Top Bottom