Mawaziri kuchukua fedha kutoka makampuni yaliyo chini ya wizara zao ni ufisadi!

Mawaziri kuchukua fedha kutoka makampuni yaliyo chini ya wizara zao ni ufisadi!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya mawaziri kuagiza makampuni na mashirika yaliyo chini ya wizara zao kutoa fedha kugharimia miradi mbalimbali bila utaratibu wa kisheria. Lakini kuna uwezekano mkubwa pia mawaziri huwa wanachukua fedha kutoka makampuni na mashirika kwa ajili yao binafsi! Huu ni ufisadi na lazima ukemewe vikali.

Athari tunazopata wananchi ni kuwa makampuni na mashirika hayo hupandisha gharama za vitu au huduma zao ili kufidia fedha wanazotoa bila utaratibu wa kisheria.

Wananchi tunapolalamika kuhusu ughali wa vitu au huduma tunazopata, mawaziri hutupuuza kwa sababu ya fedha ambazo tayari wanakuwa wamechukua kama rushwa.

Ni majuzi tu tarehe 15/7/2024 Waziri Nape alisema atachukua shilingi milioni 300 kutoka makampuni ya simu ili kugharimia ujenzi wa soko la Kashai mjini Bukoba. Fedha hizi atakazochukua siyo tozo wala kodi na wala siyo msaada ambao makampuni yalipanga kuzitoa kwa utaratibu wao wa kusaidia jamii, bali ni fedha zitakazotolewa kwa amri ya Waziri. Kitakachofuata ni kwa makampuni kutafuta njia za kuzirejesha fedha zao kwa kuwatoza wananchi moja kwa moja au kwa kutoa huduma hafifu!

Huu ni ufisadi na unapaswa kukemewa vikali!

Wananchi hatuna budi kuamka na kuanza kuwàkemea viongozi wanaotusababishia kuongezeka kwa gharama za maisha.
 
Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya mawaziri kuagiza makampuni na mashirika yaliyo chini ya wizara zao kutoa fedha kugharimia miradi mbalimbali bila utaratibu wa kisheria. Lakini kuna uwezekano mkubwa pia mawaziri huwa wanachukua fedha kutoka makampuni na mashirika kwa ajili yao binafsi! Huu ni ufisadi na lazima ukemewe vikali.

Athari tunazopata wananchi ni kuwa makampuni na mashirika hayo hupandisha gharama za vitu au huduma zao ili kufidia fedha wanazotoa bila utaratibu wa kisheria.

Wananchi tunapolalamika kuhusu ughali wa vitu au huduma tunazopata, mawaziri hutupuuza kwa sababu ya fedha ambazo tayari wanakuwa wamechukua kama rushwa.

Ni majuzi tu tarehe 15/7/2024 Waziri Nape alisema atachukua shilingi milioni 300 kutoka makampuni ya simu ili kugharimia ujenzi wa soko la Kashai mjini Bukoba. Fedha hizi atakazochukua siyo tozo wala kodi na wala siyo msaada ambao makampuni yalipanga kuzitoa kwa utaratibu wao wa kusaidia jamii, bali ni fedha zitakazotolewa kwa amri ya Waziri. Kitakachofuata ni kwa makampuni kutafuta kuzirejesha fedha zao kwa kuwatoza wananchi moja kwa moja au kwa kutoa huduma hafifu!

Huu ni ufisadi na unapaswa kukemewa vikali!

Wananchi hatuna budi kuamka na kuanza kuwàkemea viongozi wanaotusababishia kuongezeka kwa gharama za maisha.
Aibu mawaziri wetu kuzibwa midomo kwa fedha za rushwa!
 
Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya mawaziri kuagiza makampuni na mashirika yaliyo chini ya wizara zao kutoa fedha kugharimia miradi mbalimbali bila utaratibu wa kisheria. Lakini kuna uwezekano mkubwa pia mawaziri huwa wanachukua fedha kutoka makampuni na mashirika kwa ajili yao binafsi! Huu ni ufisadi na lazima ukemewe vikali.

Athari tunazopata wananchi ni kuwa makampuni na mashirika hayo hupandisha gharama za vitu au huduma zao ili kufidia fedha wanazotoa bila utaratibu wa kisheria.

Wananchi tunapolalamika kuhusu ughali wa vitu au huduma tunazopata, mawaziri hutupuuza kwa sababu ya fedha ambazo tayari wanakuwa wamechukua kama rushwa.

Ni majuzi tu tarehe 15/7/2024 Waziri Nape alisema atachukua shilingi milioni 300 kutoka makampuni ya simu ili kugharimia ujenzi wa soko la Kashai mjini Bukoba. Fedha hizi atakazochukua siyo tozo wala kodi na wala siyo msaada ambao makampuni yalipanga kuzitoa kwa utaratibu wao wa kusaidia jamii, bali ni fedha zitakazotolewa kwa amri ya Waziri. Kitakachofuata ni kwa makampuni kutafuta kuzirejesha fedha zao kwa kuwatoza wananchi moja kwa moja au kwa kutoa huduma hafifu!

Huu ni ufisadi na unapaswa kukemewa vikali!

Wananchi hatuna budi kuamka na kuanza kuwàkemea viongozi wanaotusababishia kuongezeka kwa gharama za maisha.
Pombe aliyokunywa Nape Nnauye jana imetusadia kujua mambo mengi ya sirini, ishukuriwe pombe.
 
Tunamuomba Mhe. Rais akemee hiii tabia na hasa wakati tukielekea Uchaguzi Mkuu unaokuja ya 2025.
 
Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya mawaziri kuagiza makampuni na mashirika yaliyo chini ya wizara zao kutoa fedha kugharimia miradi mbalimbali bila utaratibu wa kisheria. Lakini kuna uwezekano mkubwa pia mawaziri huwa wanachukua fedha kutoka makampuni na mashirika kwa ajili yao binafsi! Huu ni ufisadi na lazima ukemewe vikali.

Athari tunazopata wananchi ni kuwa makampuni na mashirika hayo hupandisha gharama za vitu au huduma zao ili kufidia fedha wanazotoa bila utaratibu wa kisheria.

Wananchi tunapolalamika kuhusu ughali wa vitu au huduma tunazopata, mawaziri hutupuuza kwa sababu ya fedha ambazo tayari wanakuwa wamechukua kama rushwa.

Ni majuzi tu tarehe 15/7/2024 Waziri Nape alisema atachukua shilingi milioni 300 kutoka makampuni ya simu ili kugharimia ujenzi wa soko la Kashai mjini Bukoba. Fedha hizi atakazochukua siyo tozo wala kodi na wala siyo msaada ambao makampuni yalipanga kuzitoa kwa utaratibu wao wa kusaidia jamii, bali ni fedha zitakazotolewa kwa amri ya Waziri. Kitakachofuata ni kwa makampuni kutafuta kuzirejesha fedha zao kwa kuwatoza wananchi moja kwa moja au kwa kutoa huduma hafifu!

Huu ni ufisadi na unapaswa kukemewa vikali!

Wananchi hatuna budi kuamka na kuanza kuwàkemea viongozi wanaotusababishia kuongezeka kwa gharama za maisha.

Watu wanadai alikuwa amelewa .... Anadai alichokisema ulikuwa ni utani. Sijui tangu lini Wamachinga wamekuwa Watani wa Wahaya. Tuanze kwanza kumshauri aachane na POMBE .... Sijui huo Rubisi ulikuwa wa mitaa gani ...!!?
 
Watu wanadai alikuwa amelewa .... Anadai alichokisema ulikuwa ni utani. Sijui tangu lini Wamachinga wamekuwa Watani wa Wahaya. Tuanze kwanza kumshauri aachane na POMBE .... Sijui huo Rubisi ulikuwa wa mitaa gani ...!!?
Nchi ya hovyo sn hii
 
Kuna mzeee mmoja afanya kazi kwenye kampuni ya TUMBAKU ANASEMA WALIAMBIWA NA WAZIRI husika watoe pesa kusaidia bajeti ya ipite anasema makampuni yalitoa kma 700 million kumpitisha bajeti hatar
Mtu anateuliwa baada ya mwaka mmoja ni tajiri kupita kiasi, unajiuliza kwanini kabla hajateuliwa mbona alikuwa ni mtu wa kawaida sn! mfumo umejaa matapeli tupu kuanzia juu kabisa kushuka chini
 
Mtu anateuliwa baada ya mwaka mmoja ni tajiri kupita kiasi, unajiuliza kwanini kabla hajateuliwa mbona alikuwa ni mtu wa kawaida sn! mfumo umejaa matapeli tupu kuanzia juu kabisa kushuka chini
Kweli mfumo mbovu wa serikari yoteee ni ubepari ndio unafany kila kitu kiwe hivyo
 
Pombe aliyokunywa Nape Nnauye jana imetusadia kujua mambo mengi ya sirini, ishukuriwe pombe.
Na ndiyo sababu wako tayari kuua watu ili kulinda nafasi zao! Mtu kama Nape hawezi kuishi bila kuwalamba miguu Marais, Magufuli alimdhalilisha sana lakini bado alivumilia!
 
Na ndiyo sababu wako tayari kuua watu ili kulinda nafasi zao! Mtu kama Nape hawezi kuishi bila kuwalamba miguu Marais, Magufuli alimdhalilisha sana lakini bado alivumilia!
Na yule mzee angekuwa mukaka angemuinamisha huyu bumumnda.
 
Watu wanadai alikuwa amelewa .... Anadai alichokisema ulikuwa ni utani. Sijui tangu lini Wamachinga wamekuwa Watani wa Wahaya. Tuanze kwanza kumshauri aachane na POMBE .... Sijui huo Rubisi ulikuwa wa mitaa gani ...!!?
Kumbuka aliwahi kusema CCM ilishinda kwa goli la mkono! Kwa hiyo anatueleza kuwa hata uchaguzi unaokuja mambo ni yale yale hazitaangaliwa kura ndani ya sanduku la kura bali watamuandaa mtu wa kutangaza ushindi.
 
Ni total corruption na inaonekana ni starndard procedure kwa hawa mawaziri wetu, wakuu wa mikoa angalia makonda alivyokuwa dsm alia anakusanya hadi makochi toka gsm danube kwa nguvu.
 
Back
Top Bottom