Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawaziri wawili wa Tanzania, ni miongoni mwa wahitimu 42 waliotunikiwa shahada ya udaktari wa Falsafa (Phd) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).
Mawaziri hao ni Waziri wa Madini, Dotto Biteko na Selemani Jafo ambaye ni Waziri katika Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira.
Wawili hao wametunikiwa shahada hizo katika mahafali ya 12 ya chuo hicho yaliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga leo Alhamis Desemba 16, 2021.
Wametunukiwa shahada zao na Mkuu wa Chuo hicho, Dk stergomena Tax. Kiongozi mwingine aliyetunikiwa shahada ya uzamivu ni Mbunge wa Dodoma Mjini, Antony Mavunde ambaye ametunikiwa shahada ya uzamivu ya umahiri ya mahusiano ya kimataifa.
Awali, Dk Stergomena alisimikwa kuwa mkuu wa chuo hicho baada ya kuteuliwa na Rais, Samia Suluhu Hassan Juni, mwaka huu, baada ya aliyekuwa mkuu wa chuo hicho, Balozi John Kijazi kufariki dunia Februari, mwaka huu.
Hongera sana mawaziri wetu najua haikuwa rahisi
Pamoja na majukumu yenu mazito ya uwaziri lakini mmeweza kuhitimu masomo yenu
Pesa na madaraka vinafanya kila jambo....Vyuo vyetu inabidi vijitafakari sana. Kuna watu ambao ni wanataaluma full time, lakini wanakuwa na kibarua kigumu sana kupata PhD. Inakuwaje hawa mawaziri wetu, ambao wana full plate of nonacademic responsibilities, wanapata PhD kirahisi rahisi? It’s a very rare thing elsewhere!
Tafuta pesa ndg yangu,Magu yeye nae aliipata ndani ya miaka 3 tu huku akiwa Ni fulltime Waziri.Vyuo vyetu inabidi vijitafakari sana. Kuna watu ambao ni wanataaluma full time, lakini wanakuwa na kibarua kigumu sana kupata PhD. Inakuwaje hawa mawaziri wetu, ambao wana full plate of nonacademic responsibilities, wanapata PhD kirahisi rahisi? It’s a very rare thing elsewhere!
Kwani wanakaa madarasani?Yale yale ya Magufuli na Ben Saanane. Amisoma saa ngapi na alikuwa busy na uwazri? Rubbish!
Lecture au Lecturer? Wewe umesoma shule gani ya kata hiyo jamani?
Povu lote Hilo ni hiyo r?au comment yote? Hivi shule za kata ni shule gani? Hivi humu Jf kila mmoja kasoma International school,humu Jf kila mmoja ana maisha mazuri,humu Jf kila mmoja mtaalamu.Lakini maajabu licha ya kejeli mnazozitoa mnajaa Pm tuwatafutie vibarua.Kiufupi wakati namaliza kusoma aliyeanzisha shule za kata alikuwa anachunga ng'ombe umasaini.Lakini kumbuka waliosoma shule za kata nao wanatusua maisha.Lecture au Lecturer? Wewe umesoma shule gani ya kata hiyo jamani?
wivu ni hatari Sana,na mdomo ulikiponza kichwa!!RIP Ben Saa8,hii mambo ilimponza.
Unafahamu wameanza kusoma lini?Vyuo vyetu inabidi vijitafakari sana. Kuna watu ambao ni wanataaluma full time, lakini wanakuwa na kibarua kigumu sana kupata PhD. Inakuwaje hawa mawaziri wetu, ambao wana full plate of nonacademic responsibilities, wanapata PhD kirahisi rahisi? It’s a very rare thing elsewhere!
Unafahamu wameanza kusoma lini?
Povu lote Hilo ni hiyo r?au comment yote? Hivi shule za kata ni shule gani? Hivi humu Jf kila mmoja kasoma International school,humu Jf kila mmoja ana maisha mazuri,humu Jf kila mmoja mtaalamu.Lakini maajabu licha ya kejeli mnazozitoa mnajaa Pm tuwatafutie vibarua.Kiufupi wakati namaliza kusoma aliyeanzisha shule za kata alikuwa anachunga ng'ombe umasaini.Lakini kumbuka waliosoma shule za kata nao wanatusua maisha.
Inaonyesha una stress Sana za maisha.Mr zero ni wewe unaeshobokea comment za watu.Kazi yako kupitia thread za watu na kutazama Nani kacomment Nini.Acha ushamba Mzee kila mtu na bando lake.Kilaza wewe, ndiyo maana hata kuwapa ajira watu kama nyie ni mzigo tu! Bora muwe mnacheza kamari tu! Kwani kuandika kwa kiswahili nako kulikushinda? Unajifanya mjuaji wakati ni Mr zero!
Plagiarism ulipima kwa njia gani? Umelala yoooWewe hamnazo hujui kuwa plagiarism in academics ni kosa kubwa ka la uhujumu uchumi, wewe unaleta hoja nyepesi ya wivu hauko serious
Plagiarism hata hujui maana yake, ku copy kazi ya mwingine ni kosaPlagiarism ulipima kwa njia gani? Umelala yooo
Ipo software turnitin kila chuo kina % isizid hapo. Nadhani UDSM Ni 25%Plagiarism hata hujui maana yake, ku copy kazi ya mwingine ni kosa
WivuuWewe tu ni mwanaume kama mabinti. Sisi hatuna mpango na hayo ma-PHD ya kuokoteza. Sisi tunachotaka uwajibikaji na utendaji bora. Tunataka watu kama Sokoine. Wasio na tamaa. Hizo PhD za siku hizi hata hazijulikani zina maana gani?.