Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Garissa na Tanzania wapi na wapi case kufanana sio hoja data zitakuwa tofauti kabisa Jafo zake za Tanzania huyo zake za Kenya huwezi kusema Ni copy and paste mfano mmoja akifanya case study ya Covid 19 ujerumani na mwingine akafanya case study ya Covid 19 Tanzania huwezi sema wa Tanzania ka copy and paste case study ya ujerumani .Ni case tofauti zenye Takwimu tofauti
Jafo alisoma first degree SUA , Bacholar of Human nutrition. Phd yake inatofauti na alichosomea SUA? Au sio lazima viendane
 
Phd unasoma ukiwa Waziri ni ujanja ujanja tuu shule ni zile unakuta mtu kamaliza akiingia kwenye siasa ana kila kitu eti Waziri nani atamnyima wakati vyuo vyenyewe kila kukicha kuna kashfa ya degree za chupi na wengine kuwekewa mitego...bongo mtu anasema ana Phd kichwani mweupe kabisaa..
 
Aise, sasa ana furaha maana ba jes alimbana sana kwa yule dem
 
Unakariri bwashee! Nasema huwezi hata kufikiria kuanza PhD bila kusoma na kusoma ni part of reviewing the literature. Kwanza nikuulize, una PhD au napoteza muda kwa mtu aliyesoma PhD za wenzake.

Wote wababaishaji tu hapa! Mambo waliyofanya akina Isaac Newton, Albert Einstein, Max Planck. Marie-Curie, Schrodinger, Maxwell, Nicola Tesla n.k magwiji kabisa kuwahi kutokea duniani hao watu walikuwa wanafanya literature review kutoka wapi! Kimsingi unatakiwa kubomoa kichwa chako mwenyewe kuliko kudesa kazi za watu kwa kusingizia literature review! Piga kazi yako mwenyewe toka kichwani kama akina Newton ndipo tutajua hiyo ni PhD yako, hakuna cha literature review hapa! Namalizia kusema hapa kuwa hakuna wa kumnanga mwenzake wakati wote mmedesa kazi za watu (plagiarism).
 
Chief ni kwamba watu huwa wanabeba mambo ya mitandaoni mazima mazima, PhD bila research na publication kwenye reputable journal hiyo siyo PhD, Hiyo ni Advanced Masters

Are you among them? Umejyaje kuwa wanabeba mambo mazima mazima mtandaoni kama wewe si mmojawapo!
 
Wote wababaishaji tu hapa! Mambo waliyofanya akina Isaac Newton, Albert Einstein, Max Planck. Marie-Curie, Schrodinger, Maxwell, Nicola Tesla n.k magwiji kabisa kuwahi kutokea duniani hao watu walikuwa wanafanya literature review kutoka wapi! Kimsingi unatakiwa kubomoa kichwa chako mwenyewe kuliko kudesa kazi za watu kwa kusingizia literature review! Piga kazi yako mwenyewe toka kichwani kama akina Newton ndipo tutajua hiyo ni PhD yako, hakuna cha literature review hapa! Namalizia kusema hapa kuwa hakuna wa kumnanga mwenzake wakati wote mmedesa kazi za watu (plagiarism).
Mkuu siyo kwamba literature review inakusaidia kujua utopolo waliofanya wengine ili wewe unyooshe mambo......
 
Hizo PhD za kisiasa peleka huko!! Hakuna profesa hata mmoja aliyewahi ku-deliver nchi hii!! prof Kapuya alitumia helkopta ya jeshi kwenda kusalimia majirani zake Tabora! Profesa Mhongo/mwongo alisema pesa za escrow si za umma wakati ni za umma na zilikuwa zinatunzwa benki kuu, Profesa Lipumba alitumika kusambaratisha chama kikubwa cha upinzani kisha akajikuta ametumika kama ............ kisha kutupwa kwenye dust bin!!! Profesa Kawambwa alichofanya kwenye wizara ya elimu anakijua mwenyewe!! Kwa hiyo hatutegemei msomi wa bongo aliyesoma akiwa na malengo ya kufaulu tu na kufaulu kukawa ndio mwisho wa upeo wake, anaweza kuwa na jambo lolote la maendeleo!!

Hivi Prof. Lipumbu mbona simsikii siku hizi?
 
Barack Obama ni University Professor/ Juryprudence Doctor lakini sijawahi kuona anatumia hizo prefix labda kwenye CV

Sen. Obama, who has taught courses in constitutional law at the University of Chicago, has regularly referred to himself as "a constitutional law professor," most famously at a March 30, 2007, fundraiser when he said, "I was a constitutional law professor, which means unlike the current president I actually respect the Constitution." A spokesman for the Republican National Committee immediately took exception to Obama’s remarks, pointing out that Obama’s title at the University of Chicago was "senior lecturer" and not "professor."
 
Wote wababaishaji tu hapa! Mambo waliyofanya akina Isaac Newton, Albert Einstein, Max Planck. Marie-Curie, Schrodinger, Maxwell, Nicola Tesla n.k magwiji kabisa kuwahi kutokea duniani hao watu walikuwa wanafanya literature review kutoka wapi! Kimsingi unatakiwa kubomoa kichwa chako mwenyewe kuliko kudesa kazi za watu kwa kusingizia literature review! Piga kazi yako mwenyewe toka kichwani kama akina Newton ndipo tutajua hiyo ni PhD yako, hakuna cha literature review hapa! Namalizia kusema hapa kuwa hakuna wa kumnanga mwenzake wakati wote mmedesa kazi za watu (plagiarism).
Ushaandika yako au unasoma za wengine?
 
Hongera kwako Seleman Jafo.PHd hata kama ni ya kudesa bado siyo shule ya kitoto
 
Back
Top Bottom