Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Bishara zilizopo dar maduka kwenye mitaa kama kariakoo na kazalika huko mwakaleki hapawez kuchangia pato kama hiyo mitaa au dar hujawahi kufika nn..?
Hayo maduka yanachangia pesa za ndani sio za nje kama mwakaleli

Kariokoo ni watumiaji tu wa pesa za kigeni sio waingizaji

Wakitaka kuagiza bidhaa nje huhitaji pesa za kigeni ambazo wakulima wa Mwakaleli wa chai na gesi ndio huingiza na kuwawezasha wao kupata hizo pesa za kigeni kwenda kununua hizo bidhaa zao wanauza kariakoo

Kudharau maeneo yanaingiza pesa za kigeni na kujengea barabara nzuri machinga wa kariakoo ambao hawaingizi hata mia pesa ya kigeni na wauza maandazi na vitumbua uswahilini Dar na kuacha Barabara ya Katumba Mwakaleli sio sahihi kabisa
 
Ardhi ni rasilimali nyeti Sana.

Iweje wizara ya ardhi kuongozwa na watu Kama Angelina Mabula au Jerry Slaa?

Wizara ya ardhi inahitaj mtu msomi, mwenye misimamo na Makin kabisa.
 
Swala sio udini kipindi wakishika waislamu.mikashifa mikubwa ya kutisha mingi mno sijui loliondo,sijui wanyama kubebwa ,sijui mikataba ya IPTL ,Sijui bandari

Inachosha ujue

Swala sio nani yuko juu na wengi nani tumechoka mikashifa mikubwa ya wizi kuwa mingi ya kuibia wananchi mchana kweupe

Hata wangejaa waislamu watupu hakuna shida kama rasilimali za nchi zinakuwa salama

Huoni vice versa sasa unachokizungumza??

Wanaoshika uongozi ni waislam na wezi wengi ni wakristo patamu hapo
 
Back
Top Bottom