YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mbeya kuna utalii gani hadi uwanja mkubwa wa kimataifa ujengwr ziwa ngozi kule milimani kileleni porini?Na utalii utakuzwa na barabara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya kuna utalii gani hadi uwanja mkubwa wa kimataifa ujengwr ziwa ngozi kule milimani kileleni porini?Na utalii utakuzwa na barabara?
Mapato dar makubwa yanachangiwa na bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa na viwanda vya pombe na soda ambazo huuzwa Tanzania nzima lakini kwenye mahesabu huonekana yamepatikana Dar sababu viwanda ndipo vilipoMitaa ya dar inachangia pato la taifa kuliko hiyo mwakaleli yako mara mia kadhaa mbele. Kufananisha mwakaleli nakuita mitaa ya dar eti ya wauza maandazi ni ujinga wa kiwango cha juu saana. Mbeya yote kimaingizo haifikii halimashauri moja tu ya dar. Ukibisha tafuta ukweli
Mbali na ziwa Ngozi, kuna Beach za ziwa Nyasa, maua ya Kitulo, Ruaha, kilimo nk.Mbeya kuna utalii gani hadi uwanja mkubwa wa kimataifa ujengwr ziwa ngozi kule milimani kileleni porini?
Wana mdanganya au anajidanganya mwenyewe?Kuna kitu labda kashtuka
Kuwa kuna mahali watu wanamdanganya na kumpeleka kusiko na minong'ono yao ya kumnong'oneza ya uongo
Uongo na udanganyifu huwa una mwisho
Mtu hadanganyiki milele
Mkwere angemaliza kazi yake angejichimbia kwao ""MSOGA" akicheza na wajukuu zake kama alivyochimbia enzi za Magufuli!!! Leo hii Msoga hakukaliki kila leo yupo kisogoni kwa huyu bibi ndio maana anachanganyikiwa!! Ndio maana amemchagulia Samia TISS kachero Mkuu ili aweze kufanya vitu vyake!! He is a devil incarnate.
Mwanademocrasia kwa kuua waandishi wa habari? Mikono yake ina damu ya marehemu Mwangosi ; halafu wewe bwege unamsifia
Mapato dar makubwa yanachangiwa na bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa na viwanda vya pombe na soda ambazo huuzwa Tanzania nzima lakini kwenye mahesabu huonekana yamepatikana Dar sababu viwanda ndipo vilipo
Barabara nyingi mitaa ya Dar es salaam wanejengea wauza vitumbua na maandazi na vibarua walioajiriwa serikalini na kwa wapemba ,wahindi na waarabu wazitumie kwenda vibaruani na kurudi hakuna tija yoyote ya maana ya hizo barabara za lami za uswahilni.Wangejenga ya Mwakaleli ingekuwa na tija
Utajengaje barabara ya lsmi.kwenda mtaani kwa wauza vitumbua,mihogo na chapati tena kwa pesa ya mkopo ambao utalipwa na pesa za kigeni za walima chai wa Mwakaleli?
Maandazina vitumbua na chapati unaweza pata pesa za kulipa mkopo wa pesa za nje serikali inakopa?
Upende usipende akili ya mwanamke ni tofauti na mwanaume!! Waarabu hata siku moja hawawezi kumpa uongozi mwanamke na ndio maana they bully Samia when they interact with her! Just observe the body language in the pictures she took with Maktoum of Dubai!!Mkuu Bulesi Hivi ni kweli wanawake ni rahisi kudanganywa hata akiwa ni mwanamke mtu mzima?
Naibu Waziri Mkuu MsukumaHawa wote ni Wasukuma. Mama anaswagia Sukuma gang ziIzini kwa amri ya IGP
Akili ya mwanamke ipo tofauti kivipi mkuu Bulesi, naomba unifafanulie ili nielewe zaidi?Upende usipende akili ya mwanamke ni tofauti na mwanaume!! Waarabu hata siku moja hawawezi kumpa uongozi mwanamke na ndio maana they bully Samia when they interact with her! Just observe the body language in the pictures she took with Maktoum of Dubai!!
Marahaba LOGIC.Shikamoo siasa
Afanye lolote yeye anapewa bajeti ya kujenga barabara au anakusanya kodi!! Unamlaumu golikipa kwa kutofunga magoli wkt mafowadi wapo!!Atupele Mwakibete halali yake kutemwa hajafanya chochote jimboni kwake
Barabara ya kutoka Katumba hadi mwakaleli taabu tupu wakati hiyo barabara ndiko kunatoka gesi na chai inayoingizia Chi pesa za kigeni kwa wingi
Yaani serikali inavuna pesa kule lakini kutengeneza barabara hawataki na Mwakibete wao
Kila kitu kinalimwa pale parachichi, ndizi, chai, viazi maharage nk nditu na suma kahawa ndiyo sio sana kama vijiji vingine kv Ushirika nkSuma wameacha kulima ndizi siku hizi wanalima parachichi
Sukuma Gang ni kundi ambalo hata ambao sio wasukuma wamoMwakibete ni msukuma?
Munyeti na Biteko hawakua sukuma gang?Sukuma Gang ni kundi ambalo hata ambao sio wasukuma wamo