Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mitaa ya dar inachangia pato la taifa kuliko hiyo mwakaleli yako mara mia kadhaa mbele. Kufananisha mwakaleli nakuita mitaa ya dar eti ya wauza maandazi ni ujinga wa kiwango cha juu saana. Mbeya yote kimaingizo haifikii halimashauri moja tu ya dar. Ukibisha tafuta ukweli
Mapato dar makubwa yanachangiwa na bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa na viwanda vya pombe na soda ambazo huuzwa Tanzania nzima lakini kwenye mahesabu huonekana yamepatikana Dar sababu viwanda ndipo vilipo

Barabara nyingi mitaa ya Dar es salaam wanejengea wauza vitumbua na maandazi na vibarua walioajiriwa serikalini na kwa wapemba ,wahindi na waarabu wazitumie kwenda vibaruani na kurudi hakuna tija yoyote ya maana ya hizo barabara za lami za uswahilni.Wangejenga ya Mwakaleli ingekuwa na tija

Utajengaje barabara ya mjini y kwenda mtaani kwa wauza vitumbua,mihogo na chapati tena kwa pesa ya mkopo ambao utalipwa na pesa za kigeni za walima chai wa Mwakaleli?

Maandazi na vitumbua na chapati unaweza pata pesa za kulipa mkopo wa pesa za nje serikali inakopa?
 
Mkwere angemaliza kazi yake angejichimbia kwao ""MSOGA" akicheza na wajukuu zake kama alivyochimbia enzi za Magufuli!!! Leo hii Msoga hakukaliki kila leo yupo kisogoni kwa huyu bibi ndio maana anachanganyikiwa!! Ndio maana amemchagulia Samia TISS kachero Mkuu ili aweze kufanya vitu vyake!! He is a devil incarnate.
Mwanademocrasia kwa kuua waandishi wa habari? Mikono yake ina damu ya marehemu Mwangosi ; halafu wewe bwege unamsifia

Una ushaidi juu ya madai yako kuhusu Mwangosi! Au unapiga vuvuzela tu. Raisi aliyeanzisha mchakato wa Katiba mpaka ukafikia mahali patamu - unasema siyo mwanademokrasia kwasababu Mwangosi aliuwawa akiwa kwenye purukushani na Polisi. Acha kumbebesha lawama mtu asiyehusika - Mkwere kwa sasa ni raia wa kawaida, na yuko huru
kwenda mahali popote kama Mtanzania yeyote yule. Naona una mfadhaiko wa akili - mpaka lini utatambua kwamba aliyekula Kiapo cha kuongoza nchi hii - si Mkwere.
 
Angekuwa mwanademokrasia asingeweka rasimu ile ya katiba ya wananchi kwapani baada ya kugundua kuwa ingepitishwa angesimamishwa kizimbani ( kama zuma) kwa kuhujumu uchumi akishirikiana na washihiri wa Home Shopping Centre!

Mwangosi aliuawa kwa amri ya Kikwete kwa RPC wa Iringa wa wakati ule na ndio maana baada ya yale mauaji alimpandisha cheo! This mother….,…fu has blood in his hands that will haunt him to his grave.
 
Bishara zilizopo dar maduka kwenye mitaa kama kariakoo na kazalika huko mwakaleki hapawez kuchangia pato kama hiyo mitaa au dar hujawahi kufika nn..?
Mapato dar makubwa yanachangiwa na bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa na viwanda vya pombe na soda ambazo huuzwa Tanzania nzima lakini kwenye mahesabu huonekana yamepatikana Dar sababu viwanda ndipo vilipo

Barabara nyingi mitaa ya Dar es salaam wanejengea wauza vitumbua na maandazi na vibarua walioajiriwa serikalini na kwa wapemba ,wahindi na waarabu wazitumie kwenda vibaruani na kurudi hakuna tija yoyote ya maana ya hizo barabara za lami za uswahilni.Wangejenga ya Mwakaleli ingekuwa na tija

Utajengaje barabara ya lsmi.kwenda mtaani kwa wauza vitumbua,mihogo na chapati tena kwa pesa ya mkopo ambao utalipwa na pesa za kigeni za walima chai wa Mwakaleli?

Maandazina vitumbua na chapati unaweza pata pesa za kulipa mkopo wa pesa za nje serikali inakopa?
 
Muda wowote Gari lina ingia korongoni, Maana hata dereva mwenyewe haangalii linalokwenda.
FB_IMG_1693489134646.jpg
 
Mkuu Bulesi Hivi ni kweli wanawake ni rahisi kudanganywa hata akiwa ni mwanamke mtu mzima?
Upende usipende akili ya mwanamke ni tofauti na mwanaume!! Waarabu hata siku moja hawawezi kumpa uongozi mwanamke na ndio maana they bully Samia when they interact with her! Just observe the body language in the pictures she took with Maktoum of Dubai!!
 
Upende usipende akili ya mwanamke ni tofauti na mwanaume!! Waarabu hata siku moja hawawezi kumpa uongozi mwanamke na ndio maana they bully Samia when they interact with her! Just observe the body language in the pictures she took with Maktoum of Dubai!!
Akili ya mwanamke ipo tofauti kivipi mkuu Bulesi, naomba unifafanulie ili nielewe zaidi?
 
Atupele Mwakibete halali yake kutemwa hajafanya chochote jimboni kwake

Barabara ya kutoka Katumba hadi mwakaleli taabu tupu wakati hiyo barabara ndiko kunatoka gesi na chai inayoingizia Chi pesa za kigeni kwa wingi

Yaani serikali inavuna pesa kule lakini kutengeneza barabara hawataki na Mwakibete wao
Afanye lolote yeye anapewa bajeti ya kujenga barabara au anakusanya kodi!! Unamlaumu golikipa kwa kutofunga magoli wkt mafowadi wapo!!
 
Back
Top Bottom