saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022