Zidane ndio rais wa tiefu efu,,Makomeo wamemosama,,Hulk Hogan anamiliki clouds fm ameshirikiana na Matonya kuinunua facebook na wamemtangaza Bashite kuwa presidaa wa mashogateh teh. mara pwa asbh, unaambiwa Mbape ndio Mfalme wa soka wa mwaka. The story will never be the same.
Halafu we jamaa buana unanifurahishaga unavyouliziaga kiukweliukweli,, shauri yako utaambiwa ukapimwe mkojo,,Mkuu tupe dodoso naskia mkuu anaharibiwa, je ni kweli?
Cc Mange kimambi
Cc william Malecela
Cc Le mutuz
Nenda instgram kwa mange kawaharibu kinoma akina le mutuz, etc !Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Hivi na wewe ni mzee mpaka unajua ya Idd Amini?? Ila sasa unachoandika si sawa na umri wako!! Jirekebishe mkuu!!Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Yaani makamba ameona bora apaki bus na nafikiri anajuta kuwa waziriMwigulu Nchemba anawindwa kama kuku atupwe kapuni, mawaziri vijana mwaka huu kazi mnayo.... Makamba nae amepaki akipost fb na tweter......
Wangeanzia hapo kwann ana ulinzi mkubwa kuliko waoUshauri wangu bora waachie ngazi kuliko kuondoka kwa fedheha na kushikiwa bastola kama Nape. Makonda ni mtoto wa Ikulu, pia anaongoza HIT SQUAD, ana ulinzi kuliko wao.
Ni kwel watapoteza kama NapeHao mawaziri wamwache makonda....wasubiri tu awamu yake iishe ndo waje kumsema lkn kwa sasa Makonda ananguvu kuliko hata PM...kumjadili watapoteza vyeo vyao bure watoto wao wafe njaa.
Kwaiyo ndiye Bashite ni maliyamungu wa tz na Idd amini wa tz ndio nani
Makonda angewachapa vipoko hawa jamaa (Hawa mawaziri ambao awamu iliyopita walitesa sana watu na kujidai kuwa wana sifa za urais) hadharani ningefurahi sana kwa muda mfupi.idogo wangeamka akili.Kama wanazubaa makonda afanyeje?
Mkuu wa mkoa majukumu yake na mipaka yake ipojeView attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana